Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajumbe walaani vurugu

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba amelaani vikali vitendo vya vurugu, kejeli na matusi vinavyofanywa na baadhi ya wajumbe wa bunge hilo. Akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Vijana wazalendo wa vyuo vya elimu ya juu Dar walaani vurugu zinazojitokeza Bunge ,maalum la Katiba

IMG_4427

Mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Gulatone Masiga akifafanua jambo kwa waandishi wa Habari(hawapo pichani), kushoto ni Acbert Sweya kutoka Chuo Kikuu cha Kampala.wakati wa Mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Leo Jijini Dar es Salaam.

IMG_4422

Tamko La Wanafunzi by moblog

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya: Wajumbe wa ODM wazua vurugu

Vurugu zimezuka katika uchaguzi wa chama kikuu cha upinzani cha ODM nchini Kenya kufuatia madai ya udanganyifu katika uchaguzi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wajumbe Kundi la 201 watoa tamko dhidi ya wanaolichafua Bunge Maalum la Katiba na Wajumbe wa kundi hilo

PIX 1

Askofu Amos Muhagachi akitoa tamko juu ya tuhuma mbalimbali dhidi ya kundi la 201 la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba jana 03 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika, Mjini Dodoma.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.

WAWAKILISHI wa Taasisi za dini wa Bunge Maalum la Katiba toka wajumbe 201 wametoa tamko lao dhidi ya tuhuma mbalimbali zinazoendelea katika kulichafua Bunge hilo ikiwemo baadhi ya wajumbe wa kundi hilo wakituhumiwa kudaiwa kupewa rushwa.

Tamko hilo limetolewa jana 03 Septemba,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Albino walaani unyanyapaa

CHAMA cha Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi nchini (Albino-TAS), Mkoa wa Mwanza, kimelaani unyanyapaa wanaofanyiwa na kuiomba serikali kuwapatia huduma bora za kiafya na elimu. Wameomba pia kusaidiwa vyumba kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Walaani waangalizi, vifaa kukamatwa

WAANGALIZI wa uchaguzi wa ndani kupitia mtandao wa asasi za kiraia (TACCEO) unaoratibiwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) umelaani kitendo cha kukamatwa kwa waangalizi pamoja na vifaa vya uangalizi na Jeshi la Polisi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Upinzani Nigeria walaani uvamizi

Chama cha upinzani nchini Nigeria, kimelaani uvamizi uliofanywa na maafisa wa usalama dhidi ya ofisi zake mjini Lagos mwishoni mwa wiki.

 

9 years ago

Mwananchi

Wahariri walaani waandishi kuzomewa

Dar es Salaam. Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limelaani tukio la wafuasi wa CCM kuwazomea waandishi wa habari wa ITV waliokwenda kufuatilia mapokezi ya Rais mteule, Dk John Magufuli katika ofisi ndogo za CCM, Lumumba, Oktoba 30.

 

10 years ago

Habarileo

Wahariri walaani waandishi kupigwa

WATU mbalimbali wamelaani kitendo cha waandishi wa habari kupigwa na polisi wakati wakifuatilia tukio la Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kuhojiwa na polisi na miongoni mwao ni Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) ambalo limesema linapeleka malalamiko rasmi kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu kuhusu waandishi hao kupigwa na askari wa jeshi hilo huku wakimtaka kufumua jeshi hilo na kulipanga upya.

 

9 years ago

Habarileo

Wahariri walaani mwandishi kupigwa

JUKWAA la Wahariri Nchini (TEF), limewataka wanahabari kuwa makini na maisha yao wakati huu wa mchakato wa uchaguzi sambamba na kulaani kitendo cha vijana wa Chadema cha kumshambulia na kumpiga mwandishi wa magazeti ya Uhuru na Mzalendo, Christopher Lissa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani