Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walaani waangalizi, vifaa kukamatwa

WAANGALIZI wa uchaguzi wa ndani kupitia mtandao wa asasi za kiraia (TACCEO) unaoratibiwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) umelaani kitendo cha kukamatwa kwa waangalizi pamoja na vifaa vya uangalizi na Jeshi la Polisi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

TACCEO yalaani kukamatwa waangalizi wa uchaguzi

Mmoja wa Wakurugenzi wa Mtandao wa Asasi za Kiraia za Uangalizi wa Chaguzi (TACCEO), Hebron Mwakagenda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Makao Makuu ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Dar es Salaam jana, kuhusu Polisi kudaiwa kufanya uvamizi na kuwakamata waangalizi, vifaa binafsi na vifaa vya Kituo cha Uangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa 2015 katika kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Mbezi jijini Dar es Salaam. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa LHRC, Imelda...

 

10 years ago

Michuzi

SUPER D AMPIGA TAFU YA VIFAA BONDIA MUSSA CHITEPETE WA SONGEA VIFAA

Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa mchezo wa masumbwi nchini,Rajabu Mhamila 'Super D' kwa kushirikiana na marafiki zake wa kwenye mtandao wa kijamii wa whatsapp wamemkabidhi vifaa bondia Mussa Chitepete wa Songea kwa ajili ya kuhamasisha mchezo wa masumwi nchini
vifaa hivyo vilivyotolewa na super D kwa kushilikiana na mdau mkubwa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mkumba ambaye ndie muhamasishaji mkubwa katika mtandao huo kwa ajili ya kusaidia mabondia
baada ya kukabidhiwa msaada huo bondia Mussa...

 

10 years ago

Vijimambo

KOCHA SUPER D AMPIGA TAFU YA VIFAA BONDIA MUSSA CHITEPETE WA SONGEA VIFAA

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akimkabidhi vifaa bondia Mussa Chitepete wa Songea vilivyotolewa na Super D kwa kushilikiana na marafiki zake wa kwenye mtandao wengine kulia ni Kiliani Shayo na Rajabu Mkamba ambaye ni mdau mkubwa wa kuhamasisha kusaidia mchezo wa masumbwi Picha na SUPER D BOXING 
Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kwa kushilikiana na marafiki zake wa kwenye mtandao wa...

 

9 years ago

Habarileo

Waangalizi uchaguzi waridhika

WAANGALIZI wa Uchaguzi Mkuu kutoka nchi za Maziwa Makuu, wameridhishwa na kutosheka na hali ya utulivu na kukomaa kwa demokrasia nchini, wakati wote wa kampeni licha ya kuwepo na tofauti za kisera.

 

9 years ago

Mwananchi

Waangalizi waibana ZEC

Waangalizi wa kimataifa wa Uchaguzi Mkuu nchini wameitaka Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kueleza sehemu ambazo zilikuwa zina ukiukwaji wa taratibu na kuonyesha uwazi katika kufikia uamuzi wake wa kufuta matokeo ya uchaguzi wa rais wa visiwa hivyo na wawakilishi.

 

9 years ago

Habarileo

Waangalizi wasifia uchaguzi

UMOJA wa Waangalizi wa Ndani wa Uchaguzi Tanzania (CEMOT), umepongeza mchakato wa uchaguzi wakisema sheria na kanuni vimezingatiwa na kuheshimiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Albino walaani unyanyapaa

CHAMA cha Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi nchini (Albino-TAS), Mkoa wa Mwanza, kimelaani unyanyapaa wanaofanyiwa na kuiomba serikali kuwapatia huduma bora za kiafya na elimu. Wameomba pia kusaidiwa vyumba kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajumbe walaani vurugu

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba amelaani vikali vitendo vya vurugu, kejeli na matusi vinavyofanywa na baadhi ya wajumbe wa bunge hilo. Akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada...

 

11 years ago

BBCSwahili

Waangalizi waane waachiliwa Ukraine

Shirika la usalama na ushirikiano wa ulaya OSCE limesema kuwa waasi mashariki mwa Ukraine wamewaachilia waangalizi wengine wanne .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani