Walaani waangalizi, vifaa kukamatwa
WAANGALIZI wa uchaguzi wa ndani kupitia mtandao wa asasi za kiraia (TACCEO) unaoratibiwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) umelaani kitendo cha kukamatwa kwa waangalizi pamoja na vifaa vya uangalizi na Jeshi la Polisi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog01 Nov
TACCEO yalaani kukamatwa waangalizi wa uchaguzi
10 years ago
Michuzi25 Dec
SUPER D AMPIGA TAFU YA VIFAA BONDIA MUSSA CHITEPETE WA SONGEA VIFAA
KOCHA wa mchezo wa masumbwi nchini,Rajabu Mhamila 'Super D' kwa kushirikiana na marafiki zake wa kwenye mtandao wa kijamii wa whatsapp wamemkabidhi vifaa bondia Mussa Chitepete wa Songea kwa ajili ya kuhamasisha mchezo wa masumwi nchini
vifaa hivyo vilivyotolewa na super D kwa kushilikiana na mdau mkubwa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mkumba ambaye ndie muhamasishaji mkubwa katika mtandao huo kwa ajili ya kusaidia mabondia
baada ya kukabidhiwa msaada huo bondia Mussa...
10 years ago
Vijimambo25 Dec
KOCHA SUPER D AMPIGA TAFU YA VIFAA BONDIA MUSSA CHITEPETE WA SONGEA VIFAA
Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kwa kushilikiana na marafiki zake wa kwenye mtandao wa...
9 years ago
Habarileo25 Oct
Waangalizi uchaguzi waridhika
WAANGALIZI wa Uchaguzi Mkuu kutoka nchi za Maziwa Makuu, wameridhishwa na kutosheka na hali ya utulivu na kukomaa kwa demokrasia nchini, wakati wote wa kampeni licha ya kuwepo na tofauti za kisera.
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Waangalizi waibana ZEC
9 years ago
Habarileo30 Oct
Waangalizi wasifia uchaguzi
UMOJA wa Waangalizi wa Ndani wa Uchaguzi Tanzania (CEMOT), umepongeza mchakato wa uchaguzi wakisema sheria na kanuni vimezingatiwa na kuheshimiwa.
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Albino walaani unyanyapaa
CHAMA cha Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi nchini (Albino-TAS), Mkoa wa Mwanza, kimelaani unyanyapaa wanaofanyiwa na kuiomba serikali kuwapatia huduma bora za kiafya na elimu. Wameomba pia kusaidiwa vyumba kwa...
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Wajumbe walaani vurugu
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba amelaani vikali vitendo vya vurugu, kejeli na matusi vinavyofanywa na baadhi ya wajumbe wa bunge hilo. Akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada...
11 years ago
BBCSwahili29 Jun
Waangalizi waane waachiliwa Ukraine