Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakamatwa kwa kukosa nidhamu Uturuki

Wanawake 2 waliomfanyia ishara mbaya ya mkono waziri mkuu wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan wakati wa maandamano ya kupinga serikali wamekamatwa na polisi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SABA WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA UTENGENEZAJI WA NOTI BANDIA ZA DOLA ZA KIMAREKANI WAKAMATWA

Kamishna wa polisi kanda maalum ya Dar es Salaam akionesha noti bandia zilizokamatwaJeshi la Polisi katika Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata kundi la watu saba wanaotengeneza noti bandia za dola ya Kimarekani huko maeneo ya Sinza katika Hotel iitwayo Mombasa Kinondoni, jijini Dar es Salaam. 
Watuhumiwa hao walikamatwa mnamo tarehe 04/8/2014 wakiwa na noti bandia zipatazo 10,640 za dola mia (100) ambazo ni sawa na dola 1,064,000 ambazo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania...

 

10 years ago

BBCSwahili

TFF yaadhibu kwa utovu wa nidhamu

Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) limetoa adhabu kwa vilabu, kocha na mchezaji kwa utovu wa nidhamu .

 

9 years ago

BBCSwahili

UN yawafutwa kazi 5 kwa utovu wa nidhamu

Wafanyikazi 4 wa umoja wa mataifa wamefutwa kazi baada ya kutizama filamu ya ngono kwenye mtandao wa intanet wa shirika hilo

 

9 years ago

Bongo5

Jose Mourinho ashtakiwa kwa utovu wa nidhamu na FA

Chama cha soka nchini Uingereza FA kimemshtaki meneja wa Chelsea Jose Mourinho kutokana na utovu wa nidhamu baada ya matamshi yake juu ya maafisa wa soka wa FA kuhusika kwenye kichapo cha goli 3-1 dhidi ya Southampton siku ya Jumamosi. FA imedai kuwa maoni hayo yalikuwa yakijaribu kuashiria kwamba kulikua na upendeleo kwa upande fulani. […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nidhamu mbaya mkopo ni sumu kwa wakopaji

LICHA ya  mkopo kuwa msaada mkubwa kwa wananchi, wakiwemo wafanyabiashara lakini hugeuka shubiri kwa baadhi ya wakopaji ambao wamekuwa hawana nidhamu ya mkopo. Ukweli ni kwamba hata kwenye maeneo tunamoishi...

 

10 years ago

BBCSwahili

TFF yaadhibu tisa kwa utovu wa nidhamu

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania limetoa adhabu kwa watu tisa kwa kupatikana na hatia ya makosa ya kinidhamu.

 

10 years ago

StarTV

TFF yatoa adhabu kwa watovu wa nidhamu

Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) limetoa adhabu kwa timu, viongozi na wachezaji kwa utovu wa nidhamu,.

Kwa mujibu wa Afisa Habari wa TFF, Baraka Kizuguto, Ruvu Shooting imepigwa faini ya sh. 300,000 (laki tatu- wastani wa dola 180) kwa kuzingatia Kanuni ya 14(9) ya Ligi Kuu kwa kutoingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo (changing room) katika mechi namba 149 dhidi ya Kagera Sugar iliyochezwa Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga

Pia Ruvu Shooting imepigwa faini ya sh. 500,000 (laki...

 

10 years ago

Mwananchi

Tume yasisitiza nidhamu kwa watumishi wa Mahakama

Tume ya Watumishi wa Mahakama, imewataka watumishi wake kusimamia nidhamu na uwajibikaji wenye tija, kwani kwa kufanya hivyo kutapunguza malalamiko kutoka kwa wananchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani