Wakata mapanga ng’ombe, wachoma mtumbwi
WANANCHI katika Kijiji cha Mugara, Kata ya Iramba wilayani hapa wamewakatakata kwa mapanga ng’ombe wawili wa wavuvi waliodaiwa kufanya uvuvi haramu na kuteketeza kwa moto mtumbwi wao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
Mradi wa kopa ng'ombe lipa ng'ombe TZ
10 years ago
Bongo521 Oct
YP kuagwa TCC Chang’ombe na kuzikwa kesho (Oct 22) katika makaburi ya Chang’ombe
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ge9WkNua4TrIj1XiuyTi-iv6DWHXHXZPe0B*lBsmG5H*MSdeEdTRBvMaMXfJk*IQ6vci1GyBXc1nRGB9k6vPsqtozGTAcb9H/Mastaa.jpg)
MASTAA WAKATA MAUNO MBELE YA JK
10 years ago
Habarileo06 Mar
Wanajeshi waliohukumiwa kifo wakata rufaa
WANAJESHI wawili waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Swetu Fundikira ambaye ni mtoto wa ndugu wa marehemu Chifu Abdallah Fundikira, wamekata rufaa kupinga adhabu hiyo.
11 years ago
GPLUCHONGAJI WA BARABARA WAKATA MABOMBA YA MAJI KIJITONYAMA
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Mawakili wakata rufaa kesi ya bilionea Msuya
NA SAFINA SARWATT, MOSHI.
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Moshi imeahirisha kesi ya mauaji ya bilionea Erasto Msuya, baada ya upande wa utetezi kukata rufaa kutokana na kutoridhishwa na uamuzi uliotolewa wa kutupilia mbali ombi lao la kutopokewa kwa maelezo ya mshtakiwa wa tatu.
Upande wa utetezi unaongozwa na jopo la mawakili wanne ambao ni Hudson Ndusyepo anayemwakilisha mshtakiwa wa kwanza, Majura Magafi anayewawakilisha mshtakiwa wa pili na tano, Emmanuel Safari anayemwakilisha...
11 years ago
Habarileo08 May
Mtumbwi wapinduka Kilombero na kuua
MTU mmoja amekufa na wengine watatu wameokolewa baada ya mtumbwi waliokuwa wakiutumia kupinduka katika Mto Kilombero mkoani Morogoro.
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Ajali ya mtumbwi yaua watatu
WATU watatu wamefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kutoka Kitongoji cha Ngw’ale kuelekea Mtwara Mjini kuzama baada ya kukumbwa na upepo mkali. Kamanda wa Polisi...
10 years ago
VijimamboVIJANA WAKATA RUFAA MECHI KURUDIWA JUMAPILI MEADOWBROOK
Timu ya Vijana hatimae rufaa yake imekubaliwa na mechi yao na Wazee DMV kurudiwa siku ay Jumapili July 19, 2015 katika uwanja wa Meadowbrook Park.
Mechi inatarajiwa kuwa kali na inatarajiwa kuanza saa 11:45 jioni(5:45pm). Mechi iliyopita Vijana japo walitanguliakufunga magali lakini baadae kuzidiwa na kujikuta kufungwa magali 5-3 na timu ya Wazee iliyotumia uzoefu wao kuonyesha makali yao.
Mechi inatarajiwa kuwa kali na ya kulipiza kisassi.