Wakazi Missenyi wawahofia askari wa Uganda
WATANZANIA waishio mpakani mwa nchi za Tanzania na Uganda eneo la Mtukula lililopo wilayani Missenyi, Kagera, wamesema wamechoshwa na vitendo vinavyofanywa na askari wa Uganda kuingia upande wa Tanzania kukamata...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Wakazi Missenyi na hofu ya mradi mpya wa maji
“NASHANGAA kitendo kilichofanywa na Halmashauri ya Missenyi kuingilia kati mradi wa maji wa wananchi ulioanza miaka 42 iliyopita.” Hivyo ndivyo anavyosema Patricia Edward ambaye ni miongoni mwa wakazi wa Kata...
9 years ago
BBCSwahili09 Sep
Al Shabaab wadai kuteka askari wa Uganda
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-VVz0AoxKNek/VRwRT1euv7I/AAAAAAAAR3M/TN16CzqfFfY/s72-c/Slain%2Bpolice.jpg)
IGP MANGU AONGOZA WAKAZI WA DAR ES SALAAM NA PWANI KUAGA MIILI YA ASKARI WALIOUAWA KINYAMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-VVz0AoxKNek/VRwRT1euv7I/AAAAAAAAR3M/TN16CzqfFfY/s640/Slain%2Bpolice.jpg)
10 years ago
Habarileo26 Feb
DC Missenyi aahidi kufuata sheria, taratibu
MKUU mpya wa Wilaya ya Missenyi mkoani Kagera, Fadhir Nkurlu amewaahidi wananchi wa wilaya hiyo na uongozi wa mkoa huo kufanya kazi kwa misingi ya sheria na taratibu za nchi pasipo kumuonea mtu.
11 years ago
MichuziKIINGLISHI KILIVYOWAGOMBANISHA ASKARI POLISI NA ASKARI WA MANISPAA YA MOSHI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-giEl4pM0Peo/VUktPMvzU8I/AAAAAAAHVms/ApUHji43qrs/s72-c/unnamed.jpg)
DC WA MISSENYI AWAPATIA MATIBABU YA BURE WATU WENYE UALBINO
![](http://3.bp.blogspot.com/-giEl4pM0Peo/VUktPMvzU8I/AAAAAAAHVms/ApUHji43qrs/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-iYgpoawGKBA/VUktPeBlVgI/AAAAAAAHVmw/HBdV--OBFM8/s640/unnamedmmm.jpg)
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9eFBgkrbGd8/XtXqN8azKNI/AAAAAAALsRk/tN8bfSaBifYhRkrvNfZXgD_4kFPNG4vcACLcBGAsYHQ/s72-c/10501513-1037-4c3f-878d-fa89536a3cde.jpg)
BILIONI 15.1 KUMALIZA KERO YA MAJI MIJI YA KYAKA BUNAZI - MISSENYI.
Wananchi na Wakazi wa Miji ya Kyaka, Bunazi na maeneo ya jirani, Wilayani Missenyi Mkoani Kagera huenda wakaondokana na changamoto ya upatikanaji wa Huduma ya Maji inayowakabili kwa sasa, kufuatia kuanza Kwa utekelezaji wa mradi mkubwa wa Maji ikiwa ni ahadi ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli aliyoitoa kwa wakazi hao, akiwa ziarani Mkoani Kagera Mwaka Jana.
Mradi huo mkubwa unaotarajiwa kukamilika Juni 2021, umezinduliwa rasmi na Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Prof....
10 years ago
Dewji Blog06 May
DC wa Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu awapatia matibabu ya bure walemavu wa ngozi
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu.
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu akimpatia mmoja wa walemavu wa ngozi kadi za afya zitakazowawezesha kupata matibabu bure wao pamoja na wategemezi wao katika vituo vya huduma za afya za serikali na zile binafsi vilivyosajiliwa na mfuko wa afya ya jamii (CHF).
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu (wa nne kutoka kulia walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na walemavu wa ngozi pamoja na viongozi wa dini na serikali za mitaa...