Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakili aidai Fastjet Sh60 mil kwa usumbufu

Wakili wa kujitegemea, John Mhozya amefungua kesi ya madai ya zaidi ya Sh60 milioni dhidi ya Shirika la Ndege la Fastjet katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Singida waokoa Sh60 milioni za sherehe

Uongozi wa Mkoa wa Singida umefuta matumizi ya zaidi ya Sh60 milioni kwa ajili ya kugharamia sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya mkoa huo tangu kuanzishwe kwake.

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Mwakyembe awapongeza FastJet kwa huduma nzuri kwa wateja

Mbili (1)

Wafanyakazi wa kampuni ya FastJet wakipita mbele ya mgeni rasmi ambae ni Waziri wa Uchukuzi Mh.Harrison Mwakyembe wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani.

Moja 1

Waziri wa Uchukuzi Harrison Mwakyembe akizungumza na wafanyakzi wa kampuni ya ndege  ya FastJet wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani ambapo aliipongeza kampuni hiyo kwa kutoa huduma kwa bei rahisi kwa wasafiri pembeni yake ni Mwenyekiti wa  Bunge ya Miundombinu,  Peter Serukamba.

nne

Waziri wa Uchukuzi HarrisonMwakyembe...

 

10 years ago

TheCitizen

TRL’s Sh60 billion Wagons deal sealed without any checks

A deal to buy 299 freight wagons worth close to Sh60 billion from India was full of irregularities, according to an initial investigation report by the Public Procurement Regulatory Authority (PPRA).

 

11 years ago

Mwananchi

Aidai halmashauri Urambo Sh500 milioni

 Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Mahakama Kuu Kanda ya Tabora inadaiwa fidia ya Sh500 milioni kutokana na uzembe wa mtumishi wake na kumsababishia mlalamikaji ulemavu wa maisha.

 

9 years ago

Mwananchi

Mlinzi aidai shule Sh105 milioni

Mlinzi wa Shule ya Sekondari Nkoanrua iliyopo katika Halmashauri ya Meru mkoani hapa, Naftali Ole Lomaiyani amemuomba Rais Jakaya Kikwete kuamuru alipwe Sh105 milioni anazodai kutokana na kazi yake hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

Diwani aidai CCM fidia ya bilioni nne

Diwani wa CCM kata ya Magomeni, Julian Bujugo
Diwani wa CCM kata ya Magomeni Dar es Salaam, Julian Bujugo, amekishtaki chama hicho akitaka kimlipe fidia ya Shilingi bilioni nne kwa kumsababishia hasara.

Bujugo, aliwaambia wanahabari kuwa amefungua shauri la madai na mlalamikiwa ni Jumuiya ya Wazazi ya CCM.

Alisema hatua hiyo inatokana na jumuiya hiyo chini ya Mwenyekiti wake, Abdallah Bulembo, ‘kumpora’ Chuo cha Kilimo na Mifugo Kaole cha mjini Bagamoyo, ambacho ni mali ya jumuiya hiyo.

Hata...

 

11 years ago

Habarileo

Wakili kizimbani kwa kumjeruhi 'housegirl'

WAKILI wa kujitegemea, Yasinter Rwechungura (44) amefikishwa Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam kujibu mashitaka ya kujeruhi mfanyakazi wake wa ndani.

 

10 years ago

Habarileo

Wakili: Gwajima yupo tayari kwa mahojiano

Josephat GwajimaMAHOJIANO baina ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima na Polisi yanatarajiwa kuendelea leo katika Kituo Kikuu cha Polisi, jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Dewji Blog

Usalama ni muhimu zaidi kwa Fastjet!

Fastjet-A319-Cabin-Crew-24

Ndege ya Fastjet FJA FN141 inayofanya safari kati ya Dar es Salaam na Mwanza, ikiwa imebeba abiria 142 iliruka kutoka airport ya kimataifa ya Julius Nyerere mida ya takribani saa 12:49 asubuhi siku ya Alhamisi ya tarehe 4 Disemba 2014.Muda mfupi baada ya ndege kuruka chombo hicho kilikumbana na ndege aliyekuwa akiruka. Kama sehemu ya maangalizi rubani wa ndege hiyo aliamua kugeuza safari na kurudi katika uwanja wa Julius Nyerere,  Dar es Salaam.

 Ndege ilitua salama bila kashikashi zozote...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani