‘Wakulima jifunzeni ujasiriamali’
Serikali imewataka vijana wa Kitanzania na wakulima wanawake kujifunza ujasiriamali kupitia shindano la Maisha Plus Mama Shujaa wa Chakula ili waweze kujifunza mbinu za kukabiliana na changamoto za maisha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Apr
‘Jifunzeni mzani wa Vigwaza’
WAKALA wa Barabara Tanzania (TANROADS) mkoani Pwani, umewataka wasafirishaji kusoma na kuzingatia maelekezo wanayopewa ili kutosababisha foleni ya magari katika mzani mpya wa Vigwaza ambao umejengwa kisasa kwa lengo la kupunguza foleni.
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
‘Jifunzeni kusaidia si kuomba msaada’
MEYA wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa, amewataka Watanzania kujenga utamaduni wa kutoa misada badala ya kutegemea ufadhili kutoka nje ya nchi. Silaa alisema hayo kwenye hafla ya makabidhiano ya...
10 years ago
CloudsFM14 Apr
Dk Fenella: Wasanii jifunzeni muziki wa live
Dk Fenella alitoa kauli hiyo usiku wa juzi, wakati akifunga shindano la Club Raha Leo, lililoanza Januari 17, mwaka huu, likiwa na wasanii 60 na kukamilika juzi, likiwa na wasanii 21 ambapo 10 kati yao walipata zawadi ya fedha.
Alisema muziki wa live una wigo mpana kwa mwanamuziki na watu wanaomzunguka, kwa kuwa kupitia yeye...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
‘Madaktari wazawa jifunzeni upasuaji wa matobo’
KUTOKANA na uhaba wa huduma za upasuaji kwa njia ya matobo nchini, madaktari wazawa 200 kutoka hospitali mbalimbali wameshauriwa kujifunza aina hiyo ya upasuaji inayopunguza gharama za wagonjwa wasio na...
10 years ago
Mtanzania14 Apr
Dk Fenella: Wasanii jifunzeni muziki wa live
Na Festo Polea
WAZIRI wa Habari, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara, amewataka wasanii mbalimbali nchini wajifunze muziki wa moja kwa moja ‘live’ ili wajijenge kimuziki.
Dk Fenella alitoa kauli hiyo usiku wa juzi, wakati akifunga shindano la Club Raha Leo, lililoanza Januari 17, mwaka huu, likiwa na wasanii 60 na kukamilika juzi, likiwa na wasanii 21 ambapo 10 kati yao walipata zawadi ya fedha.
Alisema muziki wa live una wigo mpana kwa mwanamuziki na watu wanaomzunguka, kwa kuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-khhhI_M1gkA/XqWiOgLf4yI/AAAAAAALoS0/x2E0npYmGdI3bSCwvDe_EcbCAw1qoRHHQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_1374-1-768x512.jpg)
KUSAYA: VIJANA JIFUNZENI KILIMO BIASHARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-khhhI_M1gkA/XqWiOgLf4yI/AAAAAAALoS0/x2E0npYmGdI3bSCwvDe_EcbCAw1qoRHHQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_1374-1-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_1376-2-1024x682.jpg)
Kijana Hefsida Olloo (Kushoto)akitoa maelezo ya nanma alivyofanikiwa kuzalisha nyanya katika kitalu kwenye kambi Atamizi ya SUA .Hefsida ni mhitimu wa Shahada ya Sayansi katika Hisabati toka Chuo Kikuu cha Dodoma mwaka 2018 aliyeamua kufanya kilimo biashara.Kulia ni Katibu...
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Watendaji Polisi jifunzeni kwa RPC wa Mbeya
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q93gbVMHzZk/VoAwJrpwjsI/AAAAAAAIO8A/SO56oVSetb0/s72-c/1b149d1d-4f59-4ada-9092-3e2919959d41.jpg)
BENKI YA WAKULIMA YAMWAGA MIKOPO KWA WAKULIMA
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji
![IMG_0113](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0113.jpg)