Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakurdi washikilia Bwawa muhimu Iraq

Bwawa hilo ni muhimu kwa maji na umeme na kwamba endapo lingeachwa na kulifumua kingo zake lingesababisha mafuriko

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ufaransa kuwahami wakurdi Iraq.

Rais wa Ufaransa Francois Hollande ametangaza kuwa atawahami wakurdi Iraq

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakurdi Iraq wakomboa mpaka Syria

Wanajeshi wa kikurdi Iraq wameripotiwa kukomboa tena mpaka muhimu kuingia nchini Syria kutoka kundi la dola la kiislam Islamic state

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakurdi wa Iraq kusaidia wenzao Syria

Inakadiriwa wapiganajiwapatao mia moja na hamsini wa Kikurdi wako njiani kupambana na wanamgambo wa dola ya kiislam huko Syria.

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema: Kupendeza ni Muhimu Ila Kuelimika ni Muhimu Zaidi

Mrembo na Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ameandika hayo mtandaoni mara baada ya kuweka picha  hiyo hapo juu akiwa anapiga kitabu.

“Kupendeza ni muhimu ila kuelimika ni muhimu zaidi. Je, unajaribu kujifunza kitu kipya kila siku?” Wema alihoji na kuendelea “Elimu haina mwisho na mie binafsi najifunza mengi kwa kaka angu….
 Jitahidi kujiendeleza kimawazo na hautakwama ukikutana na vikwazo!”…..

Nadhani kila mmoja wetu atauzingatia ujumbe huu, hongera sana Wema.

Mzee wa...

 

11 years ago

Habarileo

Wasomi washikilia Serikali moja

WASOMI wa Taasisi ya Utafiti ya Umoja wa Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki na Kusini (ESAURP) , wametoa msimamo wao na kutaka mfumo wa Serikali moja, huku wakipinga wa Serikali tatu uliopendekezwa katika Rasimu ya Katiba iliyotolewa hivi karibuni na Tume ya Marekebisho ya Katiba.

 

10 years ago

Habarileo

CUF ‘washikilia’ urais wa Ukawa

Wafuasi wa vyama vinavyounda Ukawa.KITENDAWILI cha Chama cha Wananchi (CUF) kuridhia hoja ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kusimamisha mgombea mmoja wa nafasi ya urais kwa upande wa vyama vya upinzani, kinatarajiwa kuteguliwa Jumamosi ya wiki ijayo, ambapo Baraza Kuu la Uongozi wa Taifa wa chama hicho litakaa kujadili na kutoa uamuzi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi Ulaya washikilia watu 17

Polisi katika nchi sita za Ulaya wamewakamata watu 17, kwa tuhuma za kupanga mashambulizi.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa washikilia msimamo wao

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeshikilia msimamo wake kuwa uko tayari kufanya mazungumzo ya kumaliza mpasuko uliojitokeza katika Bunge Maalumu la Katiba na siyo kurudi bungeni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa Kurdi washikilia Monsul

Wapiganaji wa Ki Kurdi waliopo kaskazini mwa iraq wamesema kuwa kwa sasa wanadhibiti eneo lote la bwawa la Monsul.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani