Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapiganaji wa Kurdi washikilia Monsul

Wapiganaji wa Ki Kurdi waliopo kaskazini mwa iraq wamesema kuwa kwa sasa wanadhibiti eneo lote la bwawa la Monsul.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Nani kamuua Aylan Kurdi?

Na Rashid Abdallah ‘Kukimbia kosa’ mfano wake ni kile kinachofanywa na watu wa Mashariki ya Kati kisha lawama zao wanazitupa kwa Wazungu.Wamemuua mtoto wao kisha lawama zao wanamuelekezea Uncle Sam na vibaraka wake. Picha ya maiti […]

The post Nani kamuua Aylan Kurdi? appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Habarileo

Undugu wa Tanzania washikilia Muungano

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Riziki Said LulidaWAKATI hoja za kubatilisha Muungano uliodumu kwa miaka 50 sasa zikizidi kupoteza nguvu, Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Riziki Said Lulida, ameonya Watanzania kuacha kubaguana kwa misingi ya upande wa Muungano kwa kuwa wao ni ndugu wa damu.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa washikilia msimamo wao

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeshikilia msimamo wake kuwa uko tayari kufanya mazungumzo ya kumaliza mpasuko uliojitokeza katika Bunge Maalumu la Katiba na siyo kurudi bungeni.

 

10 years ago

Habarileo

CUF ‘washikilia’ urais wa Ukawa

Wafuasi wa vyama vinavyounda Ukawa.KITENDAWILI cha Chama cha Wananchi (CUF) kuridhia hoja ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kusimamisha mgombea mmoja wa nafasi ya urais kwa upande wa vyama vya upinzani, kinatarajiwa kuteguliwa Jumamosi ya wiki ijayo, ambapo Baraza Kuu la Uongozi wa Taifa wa chama hicho litakaa kujadili na kutoa uamuzi.

 

11 years ago

Habarileo

Wasomi washikilia Serikali moja

WASOMI wa Taasisi ya Utafiti ya Umoja wa Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki na Kusini (ESAURP) , wametoa msimamo wao na kutaka mfumo wa Serikali moja, huku wakipinga wa Serikali tatu uliopendekezwa katika Rasimu ya Katiba iliyotolewa hivi karibuni na Tume ya Marekebisho ya Katiba.

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi Ulaya washikilia watu 17

Polisi katika nchi sita za Ulaya wamewakamata watu 17, kwa tuhuma za kupanga mashambulizi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakurdi washikilia Bwawa muhimu Iraq

Bwawa hilo ni muhimu kwa maji na umeme na kwamba endapo lingeachwa na kulifumua kingo zake lingesababisha mafuriko

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi Sudan Kusini washikilia mji wa Bor

Waasi Sudan Kusini wametwaa mji wa Bor uliopo kilimita 200 kaskazini mwa mji mkuu Juba

 

11 years ago

Habarileo

Polisi washikilia vijana wawili kwa noti bandia

Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Ahmed MsangiPOLISI mkoani hapa inawashikilia vijana wawili kwa tuhuma za kukutwa na noti bandia zenye thamani ya Sh 285,000.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani