Walimu walia uhaba wa nyumba Bunda
WALIMU wa shule ya Msingi Nafuba, iliyoko katika kisiwa ndani ya Ziwa Victoria, Wilaya ya Bunda mkoani Mara, wanafanya kazi katika mazingira magumu, ikiwa ni pamoja na familia mbili kuishi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV12 Oct
Uhaba wa nyumba za walimu washusha Kiwango cha taaluma Tanga
Wilaya ya Mkina mkoani Tanga inakabiliwa na uhaba wa nyumba za walimu wa sekondari hatua inayoathiri kukua kwa kiwango cha taaluma kutokana na walimu hao kuishi mbali na shule wanazofundisha.
Kutokana na hali hiyo wilaya imeanza kutafuta misaada kutoka kwa wafadhili kwa kuwa kiwango kinacholetwa na serikali kila mwaka kwa ajali ya ujenzi wa nyumba hizo ni kidogo kikilinganishwa na mahitaji yaliyopo.
Mahafali ya kidato cha nne shule ya sekondary Mkinga hapo wilayani Mkinga Mkoani Tanga...
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Rahaleo walia na uhaba wa majengo
KITUO cha Kanisa la Evangelist Assemblies of God Tanzania (EAGT) cha Rahaleo Mtwara hakina majengo ya kuwalelea watoto yatima takriban 53 kituoni hapo. Hayo yalibainishwa mwishoni mwa wiki na mkurugenzi...
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Upungufu wa walimu tatizo Bunda
IDARA ya Elimu katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara, inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwamo upungufu wa walimu, migogoro ya mipaka ya maeneo ya shule, utoro wa wanafunzi na kitengo cha...
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
DUCE kupunguza uhaba wa walimu
NA EMMANUEL MOHAMED
CHUO Kikuu Kishiriki cha Elimu,(DUCE), kimeanza mkakati wa kupunguza uhaba wa walimu wa masomo ya sayansi nchini kwa kuongeza udahili wa wanafunzi wa masomo hayo. Mkakati huo umeongeza wadahiliwa 1700 wa masomo hayo kwa mwaka huu, katika chuo hicho, huku kukiwa na jumla ya walimu 20,000 wa masomo hayo nchi nzima. Hayo yalielezwa na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, (UDSM), Profesa Rwekaza Mukandala, jana , wakati akiwakaribisha wanafunzi wa mwaka wa kwanza...
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Bunda yapata walimu wapya 223
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, imeipatia Wilaya ya Bunda jumla ya walimu wapya 223, wakiwemo wa sekondari 137 na shule za msingi 86. Mkurugenzi Mtendaji wa...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Mbasa alia uhaba wa walimu Biharamulo
MBUNGE wa Biharamulo, Dk. Anthony Mbasa (CHADEMA), ameitaka serikali ieleze ni lini itaweza kupambana na uhaba wa walimu wa fani mbalimbali wilayani Biharamulo. Pia ametaka kuelezwa serikali ina mpango gani...
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Uhaba wa walimu katika mataifa maskini
10 years ago
Mwananchi09 Jun
‘Boxpedia’ dawa ya uhaba wa walimu wa sayansi
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Mambo haya yanachangia uhaba wa walimu wa sayansi