Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu walia uhaba wa nyumba Bunda

WALIMU wa shule ya Msingi Nafuba, iliyoko katika kisiwa ndani ya Ziwa Victoria, Wilaya ya Bunda mkoani Mara, wanafanya kazi katika mazingira magumu, ikiwa ni pamoja na familia mbili kuishi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Uhaba wa nyumba za walimu washusha Kiwango cha taaluma Tanga

 Wilaya ya Mkina mkoani Tanga inakabiliwa na uhaba wa nyumba za walimu wa sekondari hatua inayoathiri kukua kwa kiwango cha taaluma kutokana na walimu hao kuishi mbali na shule wanazofundisha.

Kutokana na hali hiyo wilaya imeanza kutafuta misaada kutoka kwa wafadhili kwa kuwa kiwango kinacholetwa na serikali kila mwaka kwa ajali ya ujenzi wa nyumba hizo ni kidogo kikilinganishwa na mahitaji yaliyopo.

Mahafali ya kidato cha nne shule ya sekondary Mkinga hapo wilayani Mkinga Mkoani Tanga...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rahaleo walia na uhaba wa majengo

KITUO cha Kanisa la Evangelist Assemblies of God Tanzania (EAGT) cha   Rahaleo Mtwara hakina majengo ya kuwalelea watoto yatima takriban 53 kituoni hapo. Hayo yalibainishwa mwishoni mwa wiki na mkurugenzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Upungufu wa walimu tatizo Bunda

IDARA ya Elimu katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara, inakabiliwa na changamoto  mbalimbali ikiwamo upungufu wa walimu, migogoro ya mipaka ya maeneo ya shule, utoro wa wanafunzi na kitengo cha...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

DUCE kupunguza uhaba wa walimu


NA EMMANUEL MOHAMED


CHUO Kikuu Kishiriki cha Elimu,(DUCE), kimeanza mkakati wa kupunguza uhaba wa walimu wa masomo ya sayansi nchini kwa kuongeza udahili wa wanafunzi wa masomo hayo. Mkakati huo umeongeza wadahiliwa 1700 wa masomo hayo kwa mwaka huu, katika chuo hicho, huku kukiwa na jumla ya walimu 20,000 wa masomo hayo nchi nzima. Hayo yalielezwa na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, (UDSM), Profesa Rwekaza Mukandala, jana , wakati akiwakaribisha wanafunzi wa mwaka wa kwanza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunda yapata walimu wapya 223

SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, imeipatia Wilaya ya Bunda jumla ya walimu wapya 223, wakiwemo wa sekondari 137 na shule za msingi 86. Mkurugenzi Mtendaji wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbasa alia uhaba wa walimu Biharamulo

MBUNGE wa Biharamulo, Dk. Anthony Mbasa (CHADEMA), ameitaka serikali ieleze ni lini itaweza kupambana na uhaba wa walimu wa fani mbalimbali wilayani Biharamulo. Pia ametaka kuelezwa serikali ina mpango gani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uhaba wa walimu katika mataifa maskini

Ripoti ya UN imeonya kwamba uhaba wa walimu katika nchi zinazostawi utakithiri kutokana na ongezeko la watoto wa kwenda shule.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Boxpedia’ dawa ya uhaba wa walimu wa sayansi

>Alipojiunga na Shule ya Sekondari ya Lumuli iliyopo  mkoani Iringa,   Ombeni Sanga alikuwa na matarajio makubwa ya kusoma masomo ya sayansi, ili baadaye aje kuwa mvumbuzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo haya yanachangia uhaba wa walimu wa sayansi

Kwa mujibu wa sera mpya ya elimu na mafunzo ya mwaka 2014, asilimia tano ya wanafunzi wanaomaliza elimu ya msingi ndiyo wanaofika mpaka kidato cha tano na sita. Asilimia nne wanajiunga na masomo ya elimu ya juu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani