Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu wang’aka kutopandishwa daraja

BAADHI ya walimu katika Halmashauri ya Wilaya Muleba mkoani Kagera wameilalamikia serikali kwa kushindwa kuwapandisha madaraja waliostahili tangu Julai mwaka jana hadi sasa kiasi cha kushusha ufanisi wa kazi. Mwenyekiti...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

RC ataka bidhaa kutopandishwa bei

MKUU wa Mkoa (RC) wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma, amewataka wafanyabiashara mkoani hapa kuacha kupandisha bei ya vyakula katika kipindi hiki cha Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya, na kwamba...

 

10 years ago

Vijimambo

PICTURE OF THE DAY - MISS LUPS AKA DR LUPS AKA TWITWI

Picture of the Day, Miss Lups Ndani ya 2014 Harley Davidson Motor Cycle Ready to Roll.


Ms Lups Exploring the streets of area code 413 (Toronto) and the best way to explore the streets of Toronto is to look at signs signs and signs...

 

10 years ago

Vijimambo

Mr.Tz aka SanTz NEW VIDEO: Micharazo B.O.B ft Mr.Tz aka SanTz - True Story



Team 26 , introducing member wa B.O.B Click huko marekani, Mr.Tz aka SanTz

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akionesha sehemu ambazo daraja hilo jipya litakapojengwa pembezoni mwa daraja Selander kuanzia hospitali ya Aghakan hadi barabara Kenyata. Sehemu ya Daraja hilo pekee litakuwa na urefu wa km 1.03 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka Serikali ya Korea Kusini pamoja na Wizara ya Ujenzi mara baada ya kusaini Mkataba wa Muhtasari wa Majadiliano leo jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius...

 

5 years ago

Michuzi

JAFO AITAKA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU KUTATUA CHANGAMOTO ZA WALIMU NCHINI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Selemani Jafo ameutaka uongozi mpya wa Tume ya Utumishi wa Walimu kutatua changamoto za walimu ili kuwatia moyo katika kutimiza majukumu yao.

Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakati wa kuapishwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Walimu .

Jafo amesema kuwa Tume hiyo ndani ya wiki moja ikafanyie kazi mashauri ya rufaa 110 ili walimu waweze kutekeleza majukumu yao katika ubora unaohitajika.

Akizungumza amesema kuwa Tume inatakiwa kufanya kazi kwa weledi wa hali...

 

10 years ago

Mwananchi

Walimu Nachingwea wataka hisa Benki ya Walimu ziuzwe kwa simu

Walimu wilayani hapa wamekiomba Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kuweka utaratibu utakaowawezesha walimu walioko pembezoni kununua hisa katika Benki ya Walimu ikiwamo ya kutumia kutumia mitandao ya simu za mkononi.

 

11 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa walimu wazoefu kuwasimamia walimu wapya shuleni

Mwalimu mahiri ni mwalimu mwenye uwezo wa kumudu kufundisha somo lake kikamilifu na kisha kutoa maarifa sahihi kwa mujibu wa maelekezo ya silabasi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi shule ya Rweikiza wang’aa

WANAFUNZI  wote waliohitimu elimu ya msingi mwa huu katika shule ya msingi Rweikiza, iliyopo Kata ya Maruku, Wilaya ya Bukoba  mkoani Kagera, wamepata kiwango cha alama ‘A’. Huu ni mwaka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

14 wang’ara Siku ya Gofu

WACHEZAJI 14 kati ya 52 wa mchezo wa gofu jijini Dar es Salaam ambao walishiriki mashindano yaliyojulikana kama ‘Siku ya Gofu’, mwishoni mwa wiki waliibuka kidedea baada ya kufanya vizuri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani