Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliokufa Makka

Waende pema peponi, walioaga dunia, Umewaita Manani, ibada wakiwania, Basi iwe fueni, kwao tunatarajia, Waliokufa Makka, waende pema peponi.  

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Waliokufa hijja Makka wafikia 22

IDADI ya mahujaji wa Tanzania waliopoteza maisha katika ajali iliyotokea Saudi Arabia imefikia 22.

 

9 years ago

Habarileo

Mahujaji 18 waliopotea Makka watambuliwa

SIKU moja baada ya Serikali kutangaza kuwa mahujaji 50 wa Tanzania waliokuwa katika Mji Mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia, hawajulikani walipo tangu kutokea kwa tukio la kukanyagana na kusababisha vifo vya watu 769, imesema imepokea majina 18 ya watu ambao hawajulikani walipo.

 

9 years ago

Mtanzania

Msikiti wa Makka waanguka, waua 65

makkah1MAKKA, SAUDI ARABIA

MSIKITI Mkuu wa Makka ambao waumini wa dini ya kiislamu wamekuwa wakiutumia kufanyia Hija umeanguka na kuua watu 65 huku wengine wanane wakijeruhiwa vibaya katika tukio lililotokea jana nchini Saudi Arabia.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirika la utangazaji la Uingereza, BBC chanzo cha tukio hilo ni winchi lililokuwa linatumika katika ukarabati wa msikiti huo kupata hitilafu na kuangukia jengo la msikiti huo.

Mamlaka za usalama nchini humo zimethibitisha kutokea...

 

9 years ago

Habarileo

Mahujaji waliofia Makka wafikia 11

SERIKALI imepokea majina matatu ya mahujaji wengine wa Tanzania, waliokufa kutokana na tukio la kukanyagana lililotokea eneo la Mina, katika mji Mtakatifu wa Makka, Saudia Arabia Septemba 24, mwaka huu, hivyo kufanya idadi ya mahujaji wa Tanzania waliopoteza maisha nchini humo kufikia 11.

 

9 years ago

Mtanzania

Watanzania wafa wakihiji Makka

AZIZA MASOUD NA BASIL MSONGO (TUDARCO).

MAHUJAJI watano kutoka Tanzania wamekufa juzi wakati wakishiriki ibada ya hija inayofanyika Makka, nchini Saudi Arabia.

Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana ilisema kwa mujibu wa taarifa kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini humo, mahujaji hao ni miongoni mwa wengine 717 kutoka mataifa mbalimbali waliofariki dunia, huku zaidi ya 800 wamejeruhiwa kutokana na msongamano mkubwa wa...

 

9 years ago

GPL

MAHUJAJI WANNE WATANZANIA WAFARIKI, MAKKA

Miili ya mahujaji walikufa kwenye tukio hilo. Miili ya mahujaji walikufa kwenye tukio hilo ikiwa imefunikwa. Muonekano wa umati wa mahujaji katika mji wa Makka. Makka, Saudi Arabia MAHUJAJI  wane Watanzania wamethibitishwa kufariki dunia katika tukio la kukanyagana lililotokea jana huko Mina katika mji wa mtakatifu wa Makka nchini saudi Arabia. Watanzania hao waliopoteza maisha ni miongoni mwa mahujaji 717 kutoka sehemu...

 

9 years ago

Mwananchi

Matukio yaliyogharimu maisha ya mahujaji Makka

Ni faraja kwa waumini wa dini ya Kiislamu kuhiji mji mtakatifu wa Makka, Saudi Arabi. Siyo tu kwa sababu ya  yakutimiza wajibu wao kama Waislamu, lakini hija ni moja ya nguzo muhimu za dini hiyo.

 

9 years ago

Habarileo

Mamia ya mahujaji wafa kwa kukanyagana Makka

MAHUJAJI wapatao 700 wamepoteza maisha baada ya kukanyagana katika mji wa Mina ulioko nje kidogo ya Makka, ambapo watu 2,000,0000 wana swali ibada ya hija.

 

9 years ago

GPL

MAJUTO AREJEA TOKA MAKKA SHAVU DODO!

Gladness Mallya na Hamida Hassan MABADILIKO! Baada ya kunusurika kwenye vifo vya mkanyagano vilivyoua mahujaji zaidi ya 4000 waliokwenda kuhiji katika mji wa Mina, Makka nchini Saudi Arabia, staa wa filamu za Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ amerejea salama akiwa shavu dodo na kusema ameachana na maisha ya zamani, sasa amekuwa mtu wa tofauti kabisa. Staa wa filamu za Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ alipowasili toka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani