Waliopitisha nyara zilizonaswa Uswisi wachunguzwa
WIZARA ya Maliasili na Utalii imeanza kufanya uchunguzi kwa kushirikiana na mamlaka mbalimbali, ikiwemo Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) na vyombo vya ulinzi na usalama ili kubaini waliohusika na upitishwaji wa nyara za serikali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) hivi karibuni.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMASTAA MATAJIRI WACHUNGUZWA
10 years ago
Habarileo03 Feb
Majaji waliotajwa Escrow wachunguzwa
JAJI Mkuu, Mohamed Chande Othman amesema Kamati ya Maadili ya Majaji imeanza kushughulikia tuhuma za kinidhamu na kimaadili dhidi ya majaji wawili wa Mahakama Kuu, waliotajwa kupata mgawo katika fedha zilizochukuliwa kutoka akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
11 years ago
Habarileo10 Jul
Majeruhi wa bomu la Arusha wachunguzwa
MAJERUHI wa bomu lililolipuliwa katika mgahawa wa Vama Traditional Indian Cuisine jijini Arusha juzi, wanachunguzwa na Jeshi la Polisi na Idara ya Uhamiaji.
10 years ago
GPLMatola, Pazi wachunguzwa Simba
9 years ago
BBCSwahili27 Sep
FIFA:Blatter na Platini wachunguzwa
10 years ago
Habarileo12 Oct
Wanawake 200 wachunguzwa saratani
WANAWAKE zaidi ya 200 jana walijitokeza katika kambi ya bure ya uchunguzi wa saratani ya matiti katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es salaam, kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi pamoja na kupata ushauri kuhusu saratani ya matiti.
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
Watoto 60 wachunguzwa moyo Muhimbili
JUMLA ya watoto 60 wamefanyiwa uchunguzi wa afya ya moyo bure, Madaktari Bingwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili na watakaobainika watapatiwa matibabu. Watoto hao ni wale ambao wazazi wao wanakipato...
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Ujumbe wa kibaguzi kwa Welbeck wachunguzwa.
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Mabilioni Uswisi yachotwa