Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliopitisha nyara zilizonaswa Uswisi wachunguzwa

WIZARA ya Maliasili na Utalii imeanza kufanya uchunguzi kwa kushirikiana na mamlaka mbalimbali, ikiwemo Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) na vyombo vya ulinzi na usalama ili kubaini waliohusika na upitishwaji wa nyara za serikali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) hivi karibuni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MASTAA MATAJIRI WACHUNGUZWA

Stori: MAKONGORO OGING’ KIMENUKA! Jeshi la Polisi Tanzania kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za serikali zimeanza kuwachunguza watu wenye majina makubwa ‘mastaa’ Bongo ambao wameibuka na utajiri wa ghafla, Uwazi limeambiwa. Masanja Mkandamizaji. Kwa mujibu wa chanzo nyeti ambacho kiko ‘jikoni’ kwenye jeshi hilo, mbali na mastaa, wengine ambao tayari orodha yao ipo ni wafanyabiashara,...

 

10 years ago

Habarileo

Majaji waliotajwa Escrow wachunguzwa

Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muunngano wa Tanzania Mohamed Chande OthumanJAJI Mkuu, Mohamed Chande Othman amesema Kamati ya Maadili ya Majaji imeanza kushughulikia tuhuma za kinidhamu na kimaadili dhidi ya majaji wawili wa Mahakama Kuu, waliotajwa kupata mgawo katika fedha zilizochukuliwa kutoka akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

 

11 years ago

Habarileo

Majeruhi wa bomu la Arusha wachunguzwa

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah MwambeneMAJERUHI wa bomu lililolipuliwa katika mgahawa wa Vama Traditional Indian Cuisine jijini Arusha juzi, wanachunguzwa na Jeshi la Polisi na Idara ya Uhamiaji.

 

10 years ago

GPL

Matola, Pazi wachunguzwa Simba

Kocha mzawa wa kikosi cha Simba, Selemani Matola. Martha Mboma na Sweetbert Lukonge
MAKOCHA wazawa wa kikosi cha Simba, Selemani Matola na Idd Pazi, wanachunguzwa na uongozi wa klabu hiyo baada ya kudaiwa kuwa wanaihujumu ili ishindwe kufanya vizuri katika mechi zake za Ligi Kuu Bara. Makocha hao pia waliwahi kuitumikia Simba kama wachezaji miaka ya nyuma na sasa ni makocha wakisaidiana na Mzambia, Patrick Phiri kukinoa kikosi...

 

9 years ago

BBCSwahili

FIFA:Blatter na Platini wachunguzwa

Rais wa FIFA Sepp Blatter na rais wa UEFA Michel Platini wanachunguzwa na kamati ya nidhamu ya FIFA

 

10 years ago

Habarileo

Wanawake 200 wachunguzwa saratani

WANAWAKE zaidi ya 200 jana walijitokeza katika kambi ya bure ya uchunguzi wa saratani ya matiti katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es salaam, kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi pamoja na kupata ushauri kuhusu saratani ya matiti.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watoto 60 wachunguzwa moyo Muhimbili

JUMLA ya watoto 60 wamefanyiwa uchunguzi wa afya ya moyo bure, Madaktari Bingwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili na watakaobainika watapatiwa matibabu. Watoto hao ni wale ambao wazazi wao wanakipato...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ujumbe wa kibaguzi kwa Welbeck wachunguzwa.

Polisi mjini wa Manchester wanafanya uchunguzi kusuhu ujumbe wa kibaguzi katika mtandao wa kijamii wa twitter kwa Danny Welbeck.

 

11 years ago

Mwananchi

Mabilioni Uswisi yachotwa

Mabilioni ya shilingi yaliyowekwa na Watanzania katika benki za Uswisi yameanza kuhamishwa kimyakimya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani