Ujumbe wa kibaguzi kwa Welbeck wachunguzwa.
Polisi mjini wa Manchester wanafanya uchunguzi kusuhu ujumbe wa kibaguzi katika mtandao wa kijamii wa twitter kwa Danny Welbeck.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Cexwr4lo6uo/VMEcHzblfxI/AAAAAAAG_AU/4n9IOJRTEIY/s72-c/1625.jpg)
Nkamia alaani vikali maneno ya kibaguzi kwa wachezaji, aitaka TFF ichukue hatua
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cexwr4lo6uo/VMEcHzblfxI/AAAAAAAG_AU/4n9IOJRTEIY/s1600/1625.jpg)
Akizungumza na Ripota wa Globu ya Jamii, Naibu Waziri wa Habari, Juma Nkamia amesema kuwa TFF isikae kimya kutokana na matamshi ya udhalilishaji juu ya Tambwe na kuiagiza TFF kuchukua hatua za kinidhamu haraka iwapo itathidibitika...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar10 Sep
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Nao Wamuonya Lowassa Kwa Kauli ya Kibaguzi Kanisani
Mwenyekiti wa NEC Damian Lubuva Wednesday, September 9, 2015 TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kitendo kilichofanywa na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa cha kuomba kura kwa kuwataka waumini wa madhehebu ya Kilutheri kumchagua […]
The post Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Nao Wamuonya Lowassa Kwa Kauli ya Kibaguzi Kanisani appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ni ya kibaguzi?
10 years ago
Mtanzania27 Jan
Maaskofu:Mahakama ya Kadhi ya Kibaguzi
JUKWAA la Wakristo Tanzania (TCF) limepinga muswada unaopendekeza kuanzishwa Mahakama ya Kadhi, likiitaka Serikali iuondoe bungeni kwa madai kuwa ni wa kibaguzi na upo kinyume na matakwa ya Katiba.
Muswada wa Marekebisho ya Sheria Mbalimbali ya 2014, unapendekeza pamoja na mambo mengine, marekebisho ya Sheria ya Tamko la Sheria za Kiislamu ya mwaka 1964.
Maaskofu na wajumbe wa jukwaa hilo walikutana Januari 20, mwaka huu jijini Dar es Salaam na kushauri Serikali iondoe muswada huo bungeni...
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Wasusia mechi kufuatia matamshi ya kibaguzi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IlN0UevPKmZe7v8RY9n0i4sg59LW*k6uwOK9qVp*ZM68Ubtsz1KZ2tkbfr7L-LcMBLUy2vXuXX*Os01QUuNJrNgX3kAQjXUS/madawa.jpg?width=650)
MASTAA MATAJIRI WACHUNGUZWA
10 years ago
Habarileo03 Feb
Majaji waliotajwa Escrow wachunguzwa
JAJI Mkuu, Mohamed Chande Othman amesema Kamati ya Maadili ya Majaji imeanza kushughulikia tuhuma za kinidhamu na kimaadili dhidi ya majaji wawili wa Mahakama Kuu, waliotajwa kupata mgawo katika fedha zilizochukuliwa kutoka akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dy9ynGgwNlSby1nVIIa6a0oQBmQL3fwXRlEMZYa6wijBtJ7PoeT-DiAUkHcFqZu0bdl7RQHAlwYS16Lc5EEin9vfsUXaQFu2/matola.jpg)
Matola, Pazi wachunguzwa Simba
10 years ago
Habarileo12 Oct
Wanawake 200 wachunguzwa saratani
WANAWAKE zaidi ya 200 jana walijitokeza katika kambi ya bure ya uchunguzi wa saratani ya matiti katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es salaam, kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi pamoja na kupata ushauri kuhusu saratani ya matiti.