Wasusia mechi kufuatia matamshi ya kibaguzi
Wachezaji wa Los Angeles Clippers nchini Marekani wanasusia kucheza baada ya mmiliki wa timu hiyo kutuhumiwa kwa kosa la matamshi ya kibaguzi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania27 Jan
Maaskofu:Mahakama ya Kadhi ya Kibaguzi
JUKWAA la Wakristo Tanzania (TCF) limepinga muswada unaopendekeza kuanzishwa Mahakama ya Kadhi, likiitaka Serikali iuondoe bungeni kwa madai kuwa ni wa kibaguzi na upo kinyume na matakwa ya Katiba.
Muswada wa Marekebisho ya Sheria Mbalimbali ya 2014, unapendekeza pamoja na mambo mengine, marekebisho ya Sheria ya Tamko la Sheria za Kiislamu ya mwaka 1964.
Maaskofu na wajumbe wa jukwaa hilo walikutana Januari 20, mwaka huu jijini Dar es Salaam na kushauri Serikali iondoe muswada huo bungeni...
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ni ya kibaguzi?
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Ujumbe wa kibaguzi kwa Welbeck wachunguzwa.
10 years ago
BBCSwahili06 Mar
FA:Matamshi ya unyanyasaji yaripotiwe
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Matamshi ya Trump yagawanya watu
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Clinton amkashifu matamshi ya Trump
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Matamshi kuhusu ubakaji yakera India
10 years ago
BBCSwahili14 Oct
Ebola:Matamshi ya Chris Brown yakera
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Pinda: Mnisamehe kwa matamshi niliyoyatoa