Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasusia mechi kufuatia matamshi ya kibaguzi

Wachezaji wa Los Angeles Clippers nchini Marekani wanasusia kucheza baada ya mmiliki wa timu hiyo kutuhumiwa kwa kosa la matamshi ya kibaguzi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Maaskofu:Mahakama ya Kadhi ya Kibaguzi

alexmalasusaJUKWAA la Wakristo Tanzania (TCF) limepinga muswada unaopendekeza kuanzishwa Mahakama ya Kadhi, likiitaka Serikali iuondoe bungeni kwa madai kuwa ni wa kibaguzi na upo kinyume na matakwa ya Katiba.
Muswada wa Marekebisho ya Sheria Mbalimbali ya 2014, unapendekeza pamoja na mambo mengine, marekebisho ya Sheria ya Tamko la Sheria za Kiislamu ya mwaka 1964.
Maaskofu na wajumbe wa jukwaa hilo walikutana Januari 20, mwaka huu jijini Dar es Salaam na kushauri Serikali iondoe muswada huo bungeni...

 

10 years ago

Mwananchi

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ni ya kibaguzi?

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) ya mjini The Hague ilianza kazi zake karibu miaka 15 iliyopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ujumbe wa kibaguzi kwa Welbeck wachunguzwa.

Polisi mjini wa Manchester wanafanya uchunguzi kusuhu ujumbe wa kibaguzi katika mtandao wa kijamii wa twitter kwa Danny Welbeck.

 

10 years ago

BBCSwahili

FA:Matamshi ya unyanyasaji yaripotiwe

Chama cha soka England, FA, kimewataka mashabiki kutoa taarifa kuhusu unyanyasaji wa kijinsia katika michezo

 

9 years ago

BBCSwahili

Matamshi ya Trump yagawanya watu

Watu katika maeneo mbalimbali duniani wamepokea matamshi ya Donald Trump kwamba Waislamu wazuiwe kuingia Marekani kwa hisia tofauti.

 

9 years ago

BBCSwahili

Clinton amkashifu matamshi ya Trump

Hilarry Clinton amemkashifu Donald Trump na kumuita kuwa mtu hatari kwa kutoa matamshi ya ubaguzi

 

11 years ago

BBCSwahili

Matamshi kuhusu ubakaji yakera India

Matamshi ya mwanasiasa mmoja mwanamke nchini India kuwa wanawake huchangia kwa wao wenyewe kubakwa yamelaaniwa vikali

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Matamshi ya Chris Brown yakera

Sijui,lakini nadhani Janga la Ebola ni njia moja ya kudhibiti idadi ya watu duniani,janga hili linatisha kweli,'' aliandika Brown.

 

9 years ago

Mwananchi

Pinda: Mnisamehe kwa matamshi niliyoyatoa

Waziri Mkuu Mizengo Pinda, jana alitumia Ibada ya Shukrani iliyofanyika katika Parokia ya Hananasifu, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, kumshukuru Mungu kwa kumwezesha kulitumikia Taifa kwa zaidi ya miaka 15 na kuwaomba Watanzania wamsamehe kwa matamshi aliyoyatoa akiwa kiongozi, huenda yaliwakwaza baadhi yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani