Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda: Mnisamehe kwa matamshi niliyoyatoa

Waziri Mkuu Mizengo Pinda, jana alitumia Ibada ya Shukrani iliyofanyika katika Parokia ya Hananasifu, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, kumshukuru Mungu kwa kumwezesha kulitumikia Taifa kwa zaidi ya miaka 15 na kuwaomba Watanzania wamsamehe kwa matamshi aliyoyatoa akiwa kiongozi, huenda yaliwakwaza baadhi yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

FA:Matamshi ya unyanyasaji yaripotiwe

Chama cha soka England, FA, kimewataka mashabiki kutoa taarifa kuhusu unyanyasaji wa kijinsia katika michezo

 

9 years ago

BBCSwahili

Matamshi ya Trump yagawanya watu

Watu katika maeneo mbalimbali duniani wamepokea matamshi ya Donald Trump kwamba Waislamu wazuiwe kuingia Marekani kwa hisia tofauti.

 

9 years ago

BBCSwahili

Clinton amkashifu matamshi ya Trump

Hilarry Clinton amemkashifu Donald Trump na kumuita kuwa mtu hatari kwa kutoa matamshi ya ubaguzi

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Matamshi ya Chris Brown yakera

Sijui,lakini nadhani Janga la Ebola ni njia moja ya kudhibiti idadi ya watu duniani,janga hili linatisha kweli,'' aliandika Brown.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasusia mechi kufuatia matamshi ya kibaguzi

Wachezaji wa Los Angeles Clippers nchini Marekani wanasusia kucheza baada ya mmiliki wa timu hiyo kutuhumiwa kwa kosa la matamshi ya kibaguzi

 

11 years ago

BBCSwahili

Matamshi kuhusu ubakaji yakera India

Matamshi ya mwanasiasa mmoja mwanamke nchini India kuwa wanawake huchangia kwa wao wenyewe kubakwa yamelaaniwa vikali

 

10 years ago

Mwananchi

Upotoshaji matamshi, tahajia ya Kiswahili, unaweza kuepukwa

Katika makala yaliyotangulia, nilieleza juu ya hatua zilizochukuliwa na viongozi wa nchi za Jumuia ya Afrika Mashariki(EAC) katika kukienzi Kiswahili.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wenger atakiwa afafanue matamshi kuhusu dawa

Meneja wa Arsenal Arsene Wenger ametakiwa afafanue kuhusu matamshi aliyoyatoa kuhusu matumizi ya dawa za kutitimua misuli.

 

5 years ago

BBCSwahili

Matamshi ya Muigizaji Vanessa Hudgens kuhusu Corona yakera wengi

Muigizaji Vanessa Hudgens ameomba msamaha baada ya kusema kuwa kila mtu atakufa hata kukiwa hakuna virusi vya Corona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani