Wamachinga wamgeuka Azzan Zungu
>Uongozi wa soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (Machinga Complex) umesikitishwa na kauli ya Mbunge wa Ilala, Azzan Zungu dhidi ya Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe kuwa yeye ndiyo chanzo cha vurugu za wamachinga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema11 Nov
CCM Mbeya wamgeuka mgombea wao
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Mbeya Mjini kimechanganyikiwa kwa kukosa suluhisho la kushindw
Felix Mwakyembe
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Watangaza nia vijana wamgeuka Pinda
WATANGAZA nia vijana kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamemgeuka mtangaza nia mwenzao ambaye pia ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kwa kauli aliyowahi kuitoa bungeni mjini Dodma, maarufu kama ‘piga tu’, wakisema haifai na ni aibu kwa kiongozi.
Vijana hao kwa nyakati tofauti walitoa kauli hiyo jana mjini Dodoma katika ukumbi wa Chimwaga kwenye mdahalo ulioandaliwa na kipindi cha Mikikimikiki 2015 kinachorushwa na kituo cha Star TV.
Kauli hizo zilikuja baada ya mwanafunzi mmoja wa Chuo...
10 years ago
Habarileo21 Nov
Azzan aziumbua kampuni za udalali
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadiki ameagizwa kusimamisha mara moja kazi inayofanywa na kampuni za udalali ya kukamata magari yanayodaiwa kukiuka sheria barabarani, badala ya kutekeleza jukumu walilopewa la kuondoa gereji bubu mitaani na barabarani.
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Maswali kumi kwa mbunge Idd Azzan
10 years ago
GPLIDD AZZAN ASHTUSHWA KUPIGWA ZENGWE LA KUTOGOMBEA
9 years ago
Mwananchi28 Oct
Idd Azzan aanguka Kinondoni, Cuf yachukua
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/IDD-AZZAN-1.jpg)
IDD AZZAN APOKELEWA KWA KISHINDO KIJITONYAMA
11 years ago
GPLIDD AZZAN: TAMASHA LA MATUMAINI LIFANYIKE NCHI NZIMA
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-swn5nM1eTjA/VjBImwWtDaI/AAAAAAABYHc/KIvzjEUmlT0/s72-c/2.jpg)
IDD AZZAN APIGWA CHINI KINONDONI, CUF YACHUKUA
![](http://4.bp.blogspot.com/-swn5nM1eTjA/VjBImwWtDaI/AAAAAAABYHc/KIvzjEUmlT0/s640/2.jpg)
Wimbi la vyama vya upinzani kushinda ubunge jijini Dar es Salaam limeendelea baada ya mgombea ubunge kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maulid Mtulia kutangazwa mshindi wa nafasi hiyo katika jimbo la Kinondoni, akimshinda mgombea wa CCM, Idd Azzan.
Akitangaza matokeo hayo usiku wa kuamkia leo, msimamizi wa uchaguzi katika jimbo hilo ambaye pia ni mkurugenzi wa manispaa ya Kinondoni, Mussa Natty amesema, Mtulia amepata kura 70, 337 huku Azzan aliyekuwa anatetea kiti chake akipata...