Azzan aziumbua kampuni za udalali
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadiki ameagizwa kusimamisha mara moja kazi inayofanywa na kampuni za udalali ya kukamata magari yanayodaiwa kukiuka sheria barabarani, badala ya kutekeleza jukumu walilopewa la kuondoa gereji bubu mitaani na barabarani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Dec
Kampuni za udalali zazuiwa kukamata magari Dar
10 years ago
Habarileo30 Aug
JK- Viongozi acheni udalali wa ardhi
RAIS Jakaya Kikwete amewaonya viongozi wa ngazi mbalimbali nchini, wakiwemo wa Halmashauri kuacha mara moja tabia ya kujigeuza kuwa madalali wa kuuza mapori ya ardhi, bali wazingatie suala la umuhimu wa kuweka akiba kwa ajili ya vizazi vijavyo.
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
UONGOZI WA TANZANIA: Udalali, ukuwadi na ujinga
ILI Tanzania iendelee, pamoja na mambo mengine, inahitaji uongozi bora (Mwalimu Nyerere, 1992). Hata hivyo, Tanzania imekwama kwenye uongozi! Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali yake umeshindwa kujenga...
10 years ago
MichuziRC GAMA AKANA KUFANYA UDALALI WA ARDHI
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
SIKU moja baada ya kambi rasmi ya Upinzani Bungeni kumlipua mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama kwa madai ya kufanya udalali na ufisadi katika uporaji wa ardhi ya wananchi ,mkuu huyo amejitokeza
mbele ya wanahabari na kukanusha tuhuma...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Lankii kutoka udalali hadi ujasiriamali wa kimataifa
UJASIRIAMALI una maana pana, miongoni mwa hizo ni kuwa na hamasa kubwa ya kuleta mabadiliko chanya katika uchumi. Pia katika hali nyingine mjasiriamali anaweza kuwa mtu yeyote anayejishughulisha katika sekta...
10 years ago
VijimamboMKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AKANA KUFANYA UDALALI WA ARDHI
Na Dixon Busagaga
SIKU moja baada ya kambi rasmi ya Upinzani Bungeni kumlipua mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama kwa madai ya kufanya udalali na ufisadi katika uporaji...
10 years ago
Mwananchi21 Nov
Wamachinga wamgeuka Azzan Zungu
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Maswali kumi kwa mbunge Idd Azzan
10 years ago
GPLIDD AZZAN ASHTUSHWA KUPIGWA ZENGWE LA KUTOGOMBEA