Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wamuomba Zitto ajenge daraja

WAKAZI wa kata ya Mgumile iliyoko manispaa ya Kigoma Mjini wamemuomba mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia chama cha ACT Wazalendo, Kabwe Zitto atakapoingia madarakani kuwajengea daraja katika mto Luiche ili waondokane na adha za kuishi mithili ya kisiwani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Wakazi na wananchi wa Mbweni JKT wilayani Kinondoni wamuomba DC Makonda apige jicho mradi wa daraja uliokwama


Licha ya mtaa wa Mbweni JKT, jijini Dar es Salaam kujengwa majumba ya kifahari na kupatikana pia nyumba za viongozi mbalimbali wa serikali, miundo mbinu yake, hususan daraja linalojengwa katika eneo hilo ili kuwafanya wananchi wapite kwa urahisi kusua sua. Kwa miaka kadhaa sasa ujenzi wa daraja hilo umesimama.


Pichani ni gari la mwananchi na mkazi wa eneo hilo akipta kwenye maji ambayo mara kadhaa hujikuta wamesimama kwa saa kadhaa, hususan kama eneo hilo litajaa baada ya eneo hilo kujaa...

 

10 years ago

Michuzi

KILA MTU AJENGE CHAMA KWA NAFASI YAKE-PROFESA LIPUMBA.

LIP1Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wafuasi wa chama hicho waliojitokeza katika makao makuu ya chama hicho yaliyopo Buguruni jijini Dar es salaam,na kuwaambia kuwa CUF ni Taasisi,hivyo wanachama wote wanatakiwa kukijenga chama hicho wawe na vyeo ama wasiwe na vyeo kazi kubwa ni kukijenga chama cha CUF,Pro Lipumba aliyasema maneno hayo bila kutoa ufafanuzi wa kina.
Profesa Lipumba alitakiwa kuzungumza na waandishi wa habari katika makao...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akionesha sehemu ambazo daraja hilo jipya litakapojengwa pembezoni mwa daraja Selander kuanzia hospitali ya Aghakan hadi barabara Kenyata. Sehemu ya Daraja hilo pekee litakuwa na urefu wa km 1.03 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka Serikali ya Korea Kusini pamoja na Wizara ya Ujenzi mara baada ya kusaini Mkataba wa Muhtasari wa Majadiliano leo jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius...

 

11 years ago

CloudsFM

MAFIKIZOLO WAMUOMBA KOLABO DIAMOND

Kundi la Mafikizolo la Afrika Kusini limemuomba kolabo Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz ambapo jana (June 9) waliingia katika studio ya Oskido iliyoko Johannesburg kurekodi wimbo huo.“We doing a collaboration with Diamond,the song is sounding awesome yes” aliandika Theo Kgosinkwe wa Mafikizolo katika moja ya picha wakiwa studio na Diamond.Collabo hiyo ya Mafikizolo na Diamond itampa nafasi nzuri zaidi Platnumz sababu ya ukubwa walionao wanamuziki hao wa Afrika Kusini.
Mafikizolo ni...

 

11 years ago

Habarileo

Wanaharakati wamuomba Dk Shein atete na wanaCUF

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed SheinWANAHARAKATI wamemuomba Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, kwa nafasi yake ya Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa, kuzungumza na wajumbe wa Bunge hilo ambao ni wabunge na wawakilishi kutoka CUF, kurudi katika vikao vya bunge hilo vinavyoendelea Dodoma.

 

10 years ago

Habarileo

Wananchi wamuomba Rais Kikwete kuwanusuru

WANANCHI zaidi ya 350 wanaoishi katika Kitongoji cha Nyansirori, Kijiji cha Mikomariro, Wilaya ya hapa, mkoani Mara, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kuingilia kati wasihamishwe katika kitongoji hicho, kutokana na agizo la halmashauri ya wilaya hiyo.

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Chato wamuomba Dk. Magufuli kuimarisha viwanda

Wakazi wa Wilaya ya Chato Mkoani Geita wamemuomba Rais mteule wa Tanzania   Dokta John Pombe Magufuli kuhakikisha analitilia mkazo suala la viwanda ambalo ni mhimili wa maendeleo ambao unakuza uchumi wa wananchi na nchi kwa ujumla.

Wameongeza kuwa zipo nguzo nyingine za maendeleo lakini hakuna hata moja inayoweza kushinda nguvu ya viwanda katika kiuchumi kwa kuongezea bidhaa thamani.

Wakizungumza wakati wa kusheherekea ushindi wa rais mteule Dk John Pombe Magufuli wamesema watanzania wengi...

 

9 years ago

Mwananchi

Kigera wamuomba Lukuvi kunusuru nyumba za maskini

Wakazi wa Kata ya Kigera, Manispaa ya Musoma mkoani Mara wamemuomba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kusaidia kutatua mgogoro wa ardhi.

 

9 years ago

StarTV

TALGWU wamuomba Rais Magufuli kusaidia malipo yao ya bilioni 18.

Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa TALGWU kimemuomba Rais John Magufuli kuingilia kati madai yao ili waweze kulipa malimbikizo yao ya zaidi ya Shilingi Bilioni 18 za wafanyakazi wa serikali za mitaa kabla ya kumalizika kwa Desemba mwaka huu.

Fedha hizo ambazo ni madai ya Agosti 2011 hadi Aprili mwaka 2012 zinadaiwa kuwa ni malimbikizo ya mishahara ya wafanyakazi ya likizo, masomo, uhamisho wa wafanyakazi pamoja na matibabu na kwamba zisipolipwa TALGWU inakusudia kuingia kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani