Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanachuo wa Garissa waombewa.

Wakristo nchini Kenya wametumia misa za sikukuu ya pasaka kuwaomboleza wanafunzi wa chuo kikuu cha Garissa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MASTAA WAOMBEWA KANISANI

Stori: Shani Ramadhani na Chande Abdallah VIFO mfululizo vya mastaa wa filamu za Kibongo vinaumiza, vinatisha na vinawanyima usingizi wasanii ambapo sasa wameamua kuitikia wito na kuingia kanisani kuombewa, Risasi Mchanganyiko lina mkoba wenye kila kitu. ...Maombi mazito yakifanyika kwa Dotnata kutoka kwa Mchungaji Mbeyela.  Wasanii waliotangulia mbele za haki kwa kufuatana ni Adam Kuambiana, Sheila Leo Haule...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyota watano waombewa ITC

WACHEZAJI watano wameombewa Hati ya Uhamisho ya Kimataifa (ITC) Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuwawezesha kucheza soka ya kulipwa nje ya Tanzania. Ofisa habari wa TFF, Boniface Wambura, aliwataja nyota...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waliopoteza maisha katika ajali Ikungi waombewa

DSC08218

Diwani wa kata ya Mungaa Matheo Alex akizungumza kwenye hafla ya sala kuwaombea watu waliopoteza maisha baada ya kugongwa na basi la kampuni ya summary aprili 28 mwaka huu.Sala hiyo maalum,imefanyika jana eneo ilikotokea ajali hiyo.

DSC08209

Mke wa marehemu mwenyekiti wa kijiji cha Utaho Paulo Hamisi (41) aliyefariki dunia kwa kugongwa na basi la Summry Aprili 28 mwaka huu. DSC08213 Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Utaho tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi,waliohudhuria sala maalum ya kuwaombea ndugu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanachuo wakosa mikopo TZ

Wanachuo zaidi ya elfu ishirini nchini Tanzania wamekosa mikopo ya elimu kutoka bodi ya mikopo nchini humo kutokana na ufinyu wa bajeti serikali

 

10 years ago

BBCSwahili

wanachuo 58 wapotea Mexico

Polisi wa kusini mwa Mexico wanawasaka wanafunzi 58 ambao hawajulikani waliko tangu yalipotokea mapigano baina ya polisi .

 

11 years ago

GPL

WANACHUO NIT WAGOMA

Wanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) wanaolipiwa na Bodi ya Mikopo wakimsikiliza Makamu Mkuu wa Chuo hicho aliyekuwa akiongea nao. Makamu Mkuu wa Chuo akijaribu kuwatuliza wanachuo hao kwa kuwaahidi kushughulikia suala…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanachuo 115 watapeliwa

TAASISI ya Sayansi ya Afya ya Chuo Kikuu cha Eckernforde Tanga, inatuhumiwa kuwatapeli wanachuo zaidi ya 115 iliyowadahili na kukaa chuoni hapo miezi sita kisha kuwafukuza kwa madai kuwa hawana...

 

10 years ago

Habarileo

Wanachuo wasubiri fedha ya mafunzo

WANAFUNZI wa ualimu zaidi ya 2,000 wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) hawataenda shule walizopangiwa kwa ajili ya mafunzo mpaka serikali itakapowalipa fedha zao za kujikimu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani