Wanafunzi 204 darasa moja
UKIINGIA katika darasa la elimu ya awali la shule za Chemchem, iliyopo katika Manispaa ya Tabora, huwezi kuamini kama ile ni sehemu ya wanafunzi kupata elimu. Unaweza ukadhani ni mkutano...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo06 Jan
DARASA MOJA, WANAFUNZI 370
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2578232/highRes/914255/-/maxw/600/-/9l27an/-/darasa.jpg)
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Nusu ya wanafunzi darasa la saba hawawezi Kiingereza cha darasa la pili
10 years ago
Vijimambo24 Nov
UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI DARASA LA KISWAHILI DMV
UONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV UNAWATAARIFU
KUHUSU UFUNGUZI RASMI WA MADARASA YA LUGHA YA KISWAHILI
Uandikishaji wa shule ya kujifunza lugha ya kiswahili utaanza rasmi tarehe 1/12/2014
Kutakuwa na madarasa mawili kila Jumamosi kuanzia tarehe 10/1/2015 saa 9:00 mchana hadi saa 11:00 Jioni.
Kuandikisha watoto wa miaka 3 hadi 5 wasiliana naBernadeta Kaiza namba (240) 704-5891.Kwa umri wa miaka 6 na kuendelea, hata watu wazima wasiliana na Asha Nyang’anyi namba (301) 793-2833.
...
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Kila la heri wanafunzi darasa la saba
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Mvuto wa Darasa:Wanafunzi hufanya vyema
9 years ago
StarTV09 Sep
Hali ya Wanafunzi wa darasa la 7 wanaofanya mitihani yao ya mwisho
Ikiwa ni siku ya kwanza ya watahiniwa wa Darasa la Saba kufanya mtihani wao wa kuhitimu elimu ya msingi nchi nzima, baadhi ya Shule za msingi jijini Dar Es Salaam zimeoneka kuwa katika hali ya utulivu na amani .
Wanafunzi wameendelea na maandalizi ya mtihani huo, wengine wakiwa wamekaa katika makundi wakijadiliana namna walivyoanza mtihani wengi wao wakiwa na matarajio ya kufanza vyema katika mitihani hiyo.
StarTv imepita katika Shule ya Msingi Kinondoni iliyopo katika Manispaa ya...
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
Wanafunzi 808,111 wa darasa la saba kufanya mitihani leo
NA RACHEL KYALASERIKALI imewataka wakaguzi wa elimu katika ngazi zote nchini, kuhakikisha idadi ya wanafunzi 808,111 wanaopaswa kufanya mtihani wa darasa la saba inatimia.Aidha, imewataka wakaguzi hao kuchukua hatua kali dhidi ya wazazi na walezi watakaowaelekeza wanafunzi hao kufanya vibaya katika mitihani hiyo kama ambavyo imekuwa ikitokea kwa sababu zisizo za msingi.Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, alisema jana kuwa, kumekuwa na tabia ya baadhi ya wazazi na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_1HS6SSHyJ0/VBByDntmu8I/AAAAAAAAXEQ/n8gH9mAZJLM/s72-c/22222.jpg)
WANAFUNZI WANAOMALIZA DARASA LA SABA TUWATUNZE KIMAADILI WAKISUBIRI MATOKEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-_1HS6SSHyJ0/VBByDntmu8I/AAAAAAAAXEQ/n8gH9mAZJLM/s1600/22222.jpg)
Hii ni idadi tu ya wale ambao wamejisajili kufanya mitihani hiyo kwa mawa huu na Baraza la Mitihani kuwatambua katika takwimu zao hapa nchini kwa mwaka huu wa 2014 lakini huenda vijana waliostahili kumaliza elimu hiyo ingekuwa kubwa zaidi ukilinganisha na wale waliojindikisha darasa la kwanza 2007.
Nimesema watoto wetu wanamaliza kwakua tu na mimi katika hao 808,111 bimnti yangu ni mmoja wapo wa...
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Wanafunzi darasa la kwanza hadi la saba wasomea madarasa matatu