Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi bado wanafanyishwa kazi

Na Albano Midelo WALIMU katika shule za msingi nchini  wamekuwa wanaendelea kuwafanyisha kazi  watoto wa shule za msingi bila kuzingatia muda wa masomo hali ambayo inachangia kushusha kiwango cha elimu nchini. Mwandishi wa makala haya ameshuhudia hivi karibuni wanafunzi karibu wote shule ya msingi Mfuate pichani juu iliyopo kata ya Likuyuseka wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma wakifanyishwa kazi ya kubeba tofali muda wa masomo. Mkazi wa kijiji cha Likuyu ambaye hakutaka jina lake kuandikwa...

KwanzaJamii

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Maandaamano bado Hong kong :Wanafunzi

Hong Kong imeitisha mazungumzo maalumu na viongozi wa wanafunzi wanaoongoza maandamano.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi 230 bado wametekwa Nigeria

Takriban wanafunzi 230 waliotekwa nyara Nigeria hawajapatikana kinyume na taarifa ya serikali kuwa ni wanafunzi 85 pekee ambao hawajapatikana

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi 66 kidato cha tatu Muungano bado kufika shule

DSC03697

Mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari ya muungano  kata ya Iseke wilaya Ikungi mkoa wa Singida, Rajabu Ali, akifafanua jambo kwenye mkutano wa wazazi wa shule ya sekondari hiyo uliofanyika kwenye chumba cha darasa katika shule hiyo. Kulia ni mkuu wa shule ya sekondari muungano Mwl. Augustino Mkhotya na kushoto ni mmoja wa walimu wa shule hiyo.

Na Nathaniel Limu, Ikungi

WANAFUNZI 66 waliopaswa kuanza kidato cha tatu katika shule ya Sekondari Muungano kata ya Iseke wilaya ya Ikungi mkoa wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga: Kazi bado ngumu

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm, amekiri Ligi Kuu ni ngumu na kwamba hadi sasa hakuna timu ambayo imejihakikishia kutwaa ubingwa wa ligi hiyo inayofikia tamati Aprili 19. Yanga...

 

10 years ago

Mwananchi

Julio: Bado nina kazi ngumu Coastal

Kocha wa muda wa Coastal Union ya Tanga, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amesema ana kibarua kizito kuhakikisha Coastal Union inamaliza ligi ikiwa katika nafasi tatu za juu.

 

9 years ago

StarTV

Uhaba wa walimu, malipo, vitendea kazi bado changamoto

Changamoto zinazoikabili sekta ya elimu nchini zinachangia kurudisha nyuma sekta hiyo na kusababisha wanafunzi kutotambua mahitaji yao baada ya kuhitimu masomo.

Miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja na uhaba wa walimu, uwepo wa mitaala isiyokidhi mahitaji ya kielimu, ucheleweshwaji wa malipo kwa walimu na uhaba wa vitabu na vitendea kazi mashuleni.

Changamoto nyingine ni mazingira magumu ya kazi kwa walimu, wingi wa idadi ya masomo kwa wanafunzi pamoja na urundikanaji wa watoto...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prof, Jay bado alia wizi kazi za wasanii

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, bado anaendelea kuumizwa na wizi wa kazi za wasanii huku akidai kwamba mamlaka husika zimeshindwa kutatua tatizo hilo. Profesa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hongereni wabunge, hongera rais lakini kazi bado ipo

HONGERENI sana wabunge. Hongera pia Rais Jakaya Kikwete kwa kuwafukuza kazi mawaziri wanne. Nilijisikia faraja kuona wabunge wa upinzani na chama tawala wakiwa wamoja katika hilo. Hongera Amiri Jeshi Mkuu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani