Wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa watoboa siri
WANAFUNZI waliofanya vizuri kitaifa wa darasa la saba mwaka jana ambao wote wanatoka Shule ya Tusiime ya Tabata, Dar es Salaam, wameelezea siri ya mafanikio yao kuwa ni kusoma kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
JK kukabidhi zawadi wanafunzi waliofanya vizuri
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kutoa zawadi kwa wanafunzi na shule zilizofanya vizuri katika mitihani ya kuhitimu darasa la saba na kidato cha nne kwa mwaka 2013 wakati wa kilele cha...
10 years ago
MichuziWANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI KITAALUMA CHUO KIKUU CHA USHIRIKA (MOCU) WAKABIDHIWA ZAWADI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Bongo524 Nov
Wasanii wa filamu 10 waliofanya vizuri mwaka 2014
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Pinda atoa tuzo kwawaajiri waliofanya vizuri 2014
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Kazi na Ajira , Gaudencia Kabaka (kulia kwake) wakiwa pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya simu ya VODACOM ambayo iliiibuka mshindi wa jumla katika hafla ya kutoa tuzo kwa waajiri waliofanya vizuri kwa mwaka 2014 iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam Desemba 11, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Kazi na Ajira , Gaudencia Kabaka (kulia kwake) wakiwa katika picha ya pamoja na...
5 years ago
Michuzi
KALIUA YATOA MILIONI 10 WALIMU WALIOFANYA VIZURI KATIKA
NA TIGANYA VINCENT
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kaliua imetoa shilingi milioni 10 za motisha na vyeti kwa shule za msingi na sekondari zilizofanya vizuri katika mitihani ya kitaifa.
Kauli hiyo imetolewa jana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua Dkt. John Pima wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo.
Alisema kuwa lengo la kutoa fedha hizo ni kutoa motisha kwa ajili ya kuwahamisha walimu waongeze juhudi ili kuondoa daraja sifuri na daraja la nne.
Dkt. Pima alisema...
9 years ago
MichuziWahitimu wa Chuo Kikuu cha Ardhi waliofanya Vizuri wanyakua Tuzo mbalimbali
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Mastaa waliofanya siri kuficha mimba, watoto 2015
Jenifer Kyaka.
Mayasa mariwata
MIONGONI mwa vioja vilivyotikisa mwaka 2015 ni kitendo cha baadhi ya mastaa wa filamu Bongo kuyapiga chenga madai ya kubeba mimba na kuzaa huku wengine wakificha watoto wao, kwa kutotaka waonekane sura pasipo kuwa na sababu za msingi.
Katika makala haya, yanachambua baadhi ya mastaa waliofanya hivyo;
AUNT EZEKIEL
Staa huyu asiyechuja, gumzo kubwa lilianza baada ya kupewa ujauzito na dansa...
10 years ago
Bongo510 Jan
Video: Models 10 wa video za muziki Tanzania waliofanya vizuri/wanaovutia zaidi 2014/2015