Wanajeshi wastaafu wakerwa na Ukawa
WANAJESHI wastaafu nchini wamevitaka vyama vinavyounda umoja wa Ukawa kufuta usemi wake kwamba wapo wanajeshi wastaafu waliojiunga nao kwa ajili ya kusaidia mikakati ya kufanikisha ushindi wao.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Wapinzani watetea wanajeshi wastaafu
KAMBI rasmi ya upinzani bungeni, imeitaka serikali kuwa makini na maisha ya wanajeshi wastaafu ambao wamekuwa wakiishi kwa kuombaomba. Kutokana na mwenendo huo, kambi hiyo imepanga kufanya maandamano nchi nzima...
11 years ago
Dewji Blog04 Aug
Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu wanajeshi wastaafu kudai Sh. Milioni 3
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene.
Gazeti la Kiingereza la The East African, Toleo Na. 1030 lililochapishwa mwishoni mwa wiki, Jumamosi, Julai 26, 2014, limeandika habari yenye kichwa cha habari “Ex-soldiers want $3m for covert Congo operation”, ikiwa na maana kuwa wanajeshi wastaafu wanadai kulipwa dola za Marekani milioni tatu kwa kushiriki operesheni ya siri katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
Inadaiwa katika habari hiyo kwa zaidi ya wanajeshi 400...
11 years ago
Habarileo![](http://www.habarileo.co.tz/images/mhashamu-Gervas-Nyaisonga.jpg)
Maaskofu wakerwa na wabunge
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Wakerwa na uzembe Moshi
9 years ago
Habarileo06 Jan
Wadau wakerwa na Sh 1,200 DART
NAULI ya Sh 1,200 iliyopendekezwa na watoaji wa huduma ya usafiri wa mabasi yaendayo haraka (UDA RT) imepingwa na wadau wa sekta ya usafiri, badala yake wameshauri iwe kati ya Sh 400 na 500 kutimiza malengo ya kusaidia wananchi wa kipato cha kawaida.
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Wanawake wakerwa na mauaji Misri
11 years ago
Habarileo14 Jun
Wawakilishi wakerwa kupapaswa uwanjani
BAADHI ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameitaka Wizara ya Mawasiliano na Miundombinu kuweka vifaa vya kisasa vya ukaguzi kwa abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar na kuacha tabia ya kuwakagua abiria kwa kuwapapasa mwili.
10 years ago
Habarileo26 Nov
Wakerwa wanafunzi kuwa vibarua
WANANCHI katika kijiji cha Karukekere wilayani Bunda, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha wanafunzi wa Shule ya Msingi Karukekere, kudaiwa kufanyishwa kazi za vibarua vya kulima na kazi nyingine na walimu wa shule hiyo.
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Wabunge wakerwa matumizi ya dola