Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanamgambo wapuuza amri ya Ukraine

Wanamgambo wenye mwelekeo wa Urusi wameendelea kuyakalia majengo ya serikali ya Ukraine

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

CCM wapuuza ‘mafuriko’ Ukawa

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesisitiza kuwa kitashinda Uchaguzi Mkuu mwaka huu kwa sababu kina mtandao mkubwa wa wanachama kuanzia ngazi ya chini na kwamba kufurika kwa wananchi katika mikutano ya Mgombea Urais wa Chadema, Edward Lowassa sio ushindi, kikisema kura ni mahesabu.

 

9 years ago

Habarileo

Wapuuza kejeli uteuzi makatibu

WADAU wa masuala ya siasa nchini wameeleza kuridhishwa na uteuzi wa idadi kubwa ya makatibu wakuu huku wakisisitiza kwamba Rais John Magufuli apewe muda pamoja na Baraza lake la Mawaziri wafanye kazi hatimaye wapimwe kwa ufanisi wao na si kwa ukubwa au udogo wa baraza.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbowe, Lukuvi wapuuza posho

KIONGOZI wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amesema kuwa ushiriki wake katika kamati iliyoundwa kuweka msimamo kuhusu posho za wabunge umesaidia sana kuhakikisha msimamo wa chama chake unawasilishwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji wapuuza agizo Burundi

Wapinzani wa raisi wa Burundi wamepuuza agizo la serikali la kuwataka wasitishe maandamano ya wiki mbili

 

10 years ago

BBCSwahili

Pakistan:Wanamgambo kifungoni

Wanamgambo wa Taliban waliohusika na shambulizi la miaka mitatu iliyopita dhidi ya Malala Yousafzai wahukumiwa kifungo

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yashambulia Wanamgambo wa IS

Ndege za Marekani zimeshambulia wanamgambo wa kundi la Islamic state kaskazini mwa Iraq

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanamgambo wavamia kiwanda Cameroon

Maafisa nchini Cameroon wanasema kuwa kumekuwa na shambulizi katika kiwanda kimoja cha raia wa Uchina kazkazini mwa taifa hilo.

 

9 years ago

Habarileo

‘Elimisheni wanamgambo waache unyanyasaji’

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umezitaka Halmashauri za Wilaya, Manispaa, Miji na Majiji nchini kujipanga na kuwaelimisha wanamgambo waache mara moja tabia ya kuwanyanyasa wajasiriamali wakiwemo wamachinga na mamalishe.

 

10 years ago

BBCSwahili

Libya kuwakabili wanamgambo,Tripol

Serikali ya Libya imesema imeamuru vikosi vyake kuingia mjini Tripoli kupambana na wanamgambo wenye silaha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani