Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi 1,000 wagundulika kuwa na matatizo ya macho

KITUO cha Afya cha MEDEWELL cha mjini Kibaha mkoani Pwani, kimeendesha kambi ya macho ya wiki moja ambapo zaidi ya wananchi 1,000 waliogundulika kuwa na matatizo ya macho wamepatiwa miwani bure.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Madaktari wa Macho kutoka Shirika la Specsavers Watowa Huduma ya Macho kwa Wananchi Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar

Daktari wa Shirika la Spacsaver Ingrid Stenersen akimfanyia uchunguzi mmoja ya wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki waliofika Skuli ya Sekondari ya eneo hilo kupatiwa huduma ya macho.Daktari wa macho kutoka Shirika la Spacsaver Petter Daniesin akimfanyia vipimo mtoto Sabrina Abdalla Salum katika zoezi linalofanyika Skuli ya Sekondari ya Kiembesamaki.Wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki wakiwa katika mistari wakisubiri huduma ya kupima macho inayotolewa kwa ushirikiano na madaktari kutoka...

 

5 years ago

Michuzi

WAJUMBE KAMATI YA WAWAKILISHI CCM ZANZIBAR WATENGA MILIONI 33,000,000/- ZITAKAZOTUMIKA UTENGENEZAJI WA BARAKOA NA KUSAMBAZWA KWA WANANCHI

 Mfanyabiashara Mohamed Ibrahim Raza akionyesha Uzalendo wake wa kukubali kusaidia mchango wowote utaohitajika na Serikali katika Ustawi wa Jamii Nchini. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Kulia akionyeshwa moja ya aina ya vitakasa mikono vilivyotolewa na Mfanyabiashara Mzalendo Nchini Mohamed Ibrahim Raza {Raza Lee} kusaidia mapambano dhidi ya kuangamiza Virusi vya Corona Nchini.Kati kati yao ni Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Twataka serikali itakayoondoa matatizo ya wananchi

ILI nieleweke, nitaanza makala yangu kwa mfano wa timu ya kandanda na benchi la ufundi likiongozwa na mwalimu ambaye pia huitwa kocha. Kazi ya kocha na benchi lake la ufundi...

 

11 years ago

Habarileo

Waonywa kuwa macho na wanaotaka kujinufaisha

WATANZANIA wenye asili ya Burundi wameaswa kutowasikiliza watu wachache wanaotaka kujinufaisha kupitia kwao.

 

10 years ago

GPL

SHABIBY: NAYAJUA VIZURI MATATIZO YA WANANCHI WANGU

Mheshimiwa Ahmed Mabhut Shabiby. Stori: Dustan Shekidele
Gairo ni miongoni mwa wilaya mpya nchini Tanzania ambayo ilianzishwa rasmi mwaka 2012 katika eneo ambalo awali lilikuwa ni Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro. Gairo inapatikana Kaskazini Magharibi mwa mkoa huo. Wiki iliyopita, Uwazi lilichanja mbuga hadi katika jimbo hilo linaloongozwa na Mheshimiwa Ahmed Mabhut Shabiby kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambapo...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE WA KINONDONI AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKIANA KATIKA MATATIZO

MBUNGE wa Kinondoni,Idd Azzan amewataka wananchi kuwa na ushirikiano wakati wa matatizo ili kuwafariji wahanga waliopata majanga.
Mh.Azzan aliyasema hayo jana wakati alipowatembelea wananchi wake waliopata mafuriko pamoja na wale ambao nyumba zao zimezingirwa na maji,amesema kuwa sasa ni wakati wa watu kusaidia wenzao waliopata na maafa.
Amesema kuwa ametoa mpira wa kutolea maji kutokana na kuepusha na magonjwa ya mlipuko yatakayotokana na maji  yaliyojaa katika mitaa iwamo Kipindupindu na...

 

10 years ago

Mwananchi

Bajeti hii isiwe kiini macho kwa wananchi

Jana Waziri wa Fedha, Saada Mkuya aliwasilisha bajeti kuu ya Serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2015/16.

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA WANANCHI CUF CHASISITIZA KUWA KATIKA UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI ( UKAWA )

1Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Bara, Magdalena Sakaya, akizungumza na waandishishi wa habari, Dar es Salaam leo kuhusu masuala ya kuwa katika Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa Uchaguzi na Mipango wa CUF, Shaweji Mketo na kulia ni Naibu Mkurugenzi wa Habari wa CUF Taifa, Abdul Kambaya.2Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakiwa katika mkutano huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani