Waonywa kuwa macho na wanaotaka kujinufaisha
WATANZANIA wenye asili ya Burundi wameaswa kutowasikiliza watu wachache wanaotaka kujinufaisha kupitia kwao.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Feb
Wananchi 1,000 wagundulika kuwa na matatizo ya macho
KITUO cha Afya cha MEDEWELL cha mjini Kibaha mkoani Pwani, kimeendesha kambi ya macho ya wiki moja ambapo zaidi ya wananchi 1,000 waliogundulika kuwa na matatizo ya macho wamepatiwa miwani bure.
10 years ago
VijimamboMadaktari wa Macho kutoka Shirika la Specsavers Watowa Huduma ya Macho kwa Wananchi Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar
11 years ago
Habarileo21 Mar
Marufuku kutumia watoto kujinufaisha
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imepiga marufuku watoto kuchukuliwa na kutumiwa kwa maslahi ya watu wengine na kujinufaisha kimapato.
11 years ago
Habarileo23 Feb
Anayeishi chooni Hai ataka kujinufaisha
BAADA ya mvua kubwa na upepo mkali iliyosababisha maafa katika maeneo mengi ya wilaya ya Hai, hali hiyo imeanza kutumiwa ndivyo sivyo na baadhi ya wananchi wakitegemea kunufaika na misaada mbalimbali.
9 years ago
Vijimambo15 Oct
CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WATANZANIA WENYE UALIBINO ZISIWE CHANZO CHA KUJINUFAISHA
Na Mwandishi Maalum, New York
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Uwakilishi wake wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, umekemea mwenendo na tabia zinazofanywa na baadhi ya Asasi zisizo za kiserikali za kupotosha ukweli kuhusu changamoto zinazowakabili watu wenye ualibino lakini kubwa zaidi kutaka kujinufaisha kupitia matatizo yao.
Aidha Tanzania, pamoja na kukiri kwamba kuna tatizo la watu wenye ualibino la kupoteza maisha...
10 years ago
Dewji Blog21 Aug
Alhaj Ali Hassan Mwinyi asema bado viongozi wanatumia madaraka yao kujinufaisha
Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi (katikati) akifungua semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akifungua semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Kamishna...
11 years ago
BBCSwahili11 Apr
Ukraine yawatuliza wanaotaka kujitenga
11 years ago
Mwananchi25 Mar
UVCCM: Wapuuzeni wanaotaka kuwayumbisha
10 years ago
Dewji Blog30 Oct
Mugabe awakosoa wanaotaka kumrithi
Na Mwandishi wetu
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe (pichani) amewakosoa wanaoanzisha mchakato wa kuwania nafasi ya kumrithi kwenye uenyekiti wa chama tawala cha ZANU PFnchini humo.
Akiwahutubia wananchi hii leo kwa njia ya televisheni Rais Mugabe amesema kuwa wako watu ndani ya chama tawala cha ZANU PF ambao wanawania nafasi za juu na hata wako tayari kuwaondoa viongozi wa ngazi za juu ili waweze kufikia malengo yao.
Rais Mugabe amesema amepambana na hata kufungwa jela kwa miaka kadhaa kwa...