Marufuku kutumia watoto kujinufaisha
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imepiga marufuku watoto kuchukuliwa na kutumiwa kwa maslahi ya watu wengine na kujinufaisha kimapato.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
‘Polisi jamii marufuku kutumia silaha’
KAMISHNA wa Polisi Jamii nchini, Musa Ally Musa, amepiga marufuku Polisi Jamii kutumia silaha za mapanga katika ulinzi badala yake watumie filimbi. Musa alitoa agizo hilo jijini Dar es Salaam...
9 years ago
Habarileo10 Nov
‘Marufuku kutumia ramani ya Tanzania isiyo sahihi’
SERIKALI imesema itavichukulia hatua vyombo vya habari pamoja na watu watakaobainika kutumia ramani ya Tanzania ambayo sio sahihi.
9 years ago
StarTV22 Aug
Wanasiasa wapigwa marufuku kutumia maeneo ya shule kupiga kampeni
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mji wa Tarime na msimamizi wa uchaguzi Venance Mwamengo amevitaka vyama vya siasa kuacha kutumia maeneo ya shule na vyuo kuendesha mikutano yao ya kampeni ili kuepuka kuvuruga masomo kwa wanafunzi husika.
Amesema hayo wakati mgombea ubunge katika Jimbo la Tarime Mjini Ester Matiko alipochukua fomu ya kuwania ubunge.
Mwamengo amesema kwamba hata ruhusu ratiba ya chama chochote cha siasa, kuendesha mikutano yao ya kampeni katika maeneo ya taasisi yoyote ya...
9 years ago
MichuziNI MARUFUKU WATOTO KUMILIKI LESENI ZA MADINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5PP5UPPnpFw/XpAXEwhG4WI/AAAAAAALmtM/uOSWbOnx2wkpPIYqrMU2O68lDXXaBkqNgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-18-768x432.jpg)
RC SHINYANGA APIGA MARUFUKU WATOTO MINADA YA MIFUGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-5PP5UPPnpFw/XpAXEwhG4WI/AAAAAAALmtM/uOSWbOnx2wkpPIYqrMU2O68lDXXaBkqNgCLcBGAsYHQ/s640/1-18-768x432.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Bi. Zainabu Tellack akiongea na wafanyibiashara wa mnada wa mifugo wa Muhunze ulioko Wilayani Kishapu jana alipofika katika mnada huo kujionea namna bora ya uzingatiaji wa maelekezo ya Serikali kuhusu kujikinga na mlipuko wa ugonjwa wa Corona.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2AAA-1024x768.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jzO88GV301k/U5IpzDA-OmI/AAAAAAAFoIU/3McoCA8P-2M/s72-c/Wachimbaji+wadogo+kijiji+cha+Ngasamo+2.jpg)
Serikali yapiga marufuku ajira za watoto kwenye migodi
![](http://1.bp.blogspot.com/-jzO88GV301k/U5IpzDA-OmI/AAAAAAAFoIU/3McoCA8P-2M/s1600/Wachimbaji+wadogo+kijiji+cha+Ngasamo+2.jpg)
Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia madini Stephen Masele amekemea vikali tabia ya wamiliki wa migodi kuajiri watoto wenye umri wa chini ya miaka 18 kwani inarudisha maendeleo ya watoto hao na kwa jamii kwa ujumla inayowategemea
Waziri Masele ameyasema hayo kwenye ufunguzi wa semina iliyoshirikisha wachimbaji wadogo, madiwani, viongozi wa vijiji, wilaya, madiwani pamoja na viongozi wa vyama vya siasa inayoendelea katika jimbo la Mwibara wilaya...
10 years ago
Mtanzania20 Mar
Silaha bandia za watoto marufuku Julai mwaka huu
Na Fredy Azzah, Dodoma
IFIKAPO Julai Mosi mwaka huu endapo mwanao atabainika kuwa na silaha bandia (mwanasesere) atakuwa amefanya kosa la jinai, kwa vile Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Silaha na Risasi umepiga marufuku uingizwaji na matumizi yake nchini.
Muswada huo uliopitishwa na Bunge jana utaanza kutumika Julai mwaka huu, pamoja na mambo mengine, unalenga kuziba mianya ya kuingiza silaha bandia nchini.
Mbali na hilo, Muswada huo unasema mtu akibainika kuwa ni mlevi...
11 years ago
Habarileo22 Feb
Waonywa kuwa macho na wanaotaka kujinufaisha
WATANZANIA wenye asili ya Burundi wameaswa kutowasikiliza watu wachache wanaotaka kujinufaisha kupitia kwao.
11 years ago
Habarileo23 Feb
Anayeishi chooni Hai ataka kujinufaisha
BAADA ya mvua kubwa na upepo mkali iliyosababisha maafa katika maeneo mengi ya wilaya ya Hai, hali hiyo imeanza kutumiwa ndivyo sivyo na baadhi ya wananchi wakitegemea kunufaika na misaada mbalimbali.