Wananchi Kilombero walilia umeme
Na Mwandishi Wetu, Kilombero
WANANCHI wa Kijiji cha Mpanga wilayani Kilombero mkoani Morogoro wamelalamikia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kushindwa kufikisha umeme katika shule ya Sekondari ya Mtenga kijijini hapo.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, wananchi hao walisema hawaelewi kwa nini shule hiyo imeondolewa katika orodha ya shule zinazotarajia kupata umeme licha ya umuhimu uliopo hususan suala la matumizi ya maabara.
Akizungumza kwa niaba ya wananchi hao, mkazi wa kijiji...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Wenye viwanda Arusha walilia umeme
11 years ago
Habarileo31 Mar
Vijiji 6 Kilombero kupelekewa umeme wa Kihansi
VIJIJI sita vya Wilaya ya Kilombero, mkoani hapa vinavyopitiwa na njia kuu ya umeme kutoka Kihansi, vinatarajia kunufaika na nishati hiyo mara baada ya kukamilika kwa ujenzi wa msongo wa kilovoti 33.
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Wananchi Dumila ‘walilia’ makazi
5 years ago
MichuziWANANCHI WA MAKONGOLOSI CHUNYA WALILIA BARABARA
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Wananchi 342 Misenyi walilia fidia
Na Mwandishi Wetu, Misenyi
WANAKIJIJI 342 wa vijiji vya Bulembo, Mushasha na Bugolola waliofanyiwa tathimini kwa ajili ya kupisha ujenzi wa Ndege wa Kimataifa wa Omukajunguti wilayani Misenyi mkoani Kagera, wamesema wanakerwa na udanganyifu mkubwa unaofanywa na Serikali juu ya malipo ya fidia kwa miaka sita sasa.
Wanakijiji hao walikutana juzi katika ofisi ya Kata ya Mushisha ili kujadili hatima yao ambapo kwa kauli moja, waliamua kuunda kamati ya watu 16 ili kufuatilia fidia ya malipo...
10 years ago
Uhuru Newspaper02 Sep
Wananchi Kilombero wamfagilia JK
Na Igamba Libonge, Kilombero
RAIS Jakaya Kikwete ameelezwa kuwa ni kiongozi aliyejitosa kikamilifu kuwakomboa Watanzania kiuchumi na kuwafanya hivi sasa watembee kifua mbele.
Kauli hiyo imetolewa na mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM kutoka wilaya ya Kilombero, Kanali Mstaafu, Haruni Kondo wakati wa sherehe maalumu ya kumpongeza Rais Kikwete kwa kufanya ziara wilayani Kilombero.
Ziara hiyo imeleta matumaini makubwa kwa wakazi wa Kilombero, hasa utimizaji wa ahadi za Rais Kikwete...
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Wananchi walilia mradi wa kilimo cha mpunga
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Wananchi Pwani waonywa kujiunganishia umeme
WANANCHI wilayani Kibaha Mkoa wa Pwani wameonywa kuachana na vitendo vya kijiunganishia nyaya za umeme kinyume cha taratibu na sheria kwani kufanya hivyo kunaweza kuleta madhara makubwa ya kutokea kwa...