Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wananchi tumieni huduma za kifedha’

WATANZANIA wameshauriwa kupata huduma za kifedha kwa kuwa ni njia salama ya kuhifadhi fedha zao kwa maendeleo yao ya baadaye. Wito huo ulitolewa jijini Dar es Salaam jana na Meneja...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

VODACOM YATOA MADA KUHUSIANA NA HUDUMA ZAKE KWENYE WARSHA YA KUSHIRIKISHANA NJIA ZA KUBORESHA NA KUPANUA HUDUMA ZA KIFEDHA

  Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania ,Kelvin Twissa akitoa mada juu ya huduma zinazotolewa na kampuni yake wakati wa Warsha ya kushirikishana uzoefu kuhusu njia za kuboresha na kupanua huduma za kifedha kwa biashara ndogo na za kati hapo jana. Warsha hiyo iliandaliwa na Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) na kudhaminiwa na Vodacom.Kushoto ni muongozaji  wa mada Felix Mlaki  na Katikati ni Mtaalamu toka Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE)Moreme Marwa.  Mmoja wa...

 

10 years ago

GPL

VODACOM YATOA MADA KUHUSIANA NA HUDUMA ZAKE KWENYE WARSHA YA KUSHIRIKISHANA NJIA ZA KUBORESHA NA KUPANUA HUDUMA ZA KIFEDHA‏

Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania ,Kelvin Twissa akitoa mada juu ya huduma zinazotolewa na kampuni yake wakati wa Warsha ya kushirikishana uzoefu kuhusu njia za kuboresha na kupanua huduma za kifedha kwa biashara ndogo na za kati hapo jana. Warsha hiyo iliandaliwa na Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) na kudhaminiwa na Vodacom.Kushoto ni muongozaji  wa mada Felix Mlaki  na Katikati ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Huduma jumuishi za kifedha kuinua uchumi

HIVI karibuni Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kwa kushirikiana na wadau wa sekta binafsi na umma, walizindua Mpango wa Taifa wa Huduma Jumuishi za Kifedha, lengo likiwa ni kuboresha ustawi...

 

11 years ago

Mwananchi

BoT: Kuboresha huduma za kifedha ngazi ya kaya

Ushiriki na kuwajumuisha watu wengi zaidi katika utumiaji wa huduma za kifedha ni muhimu kwa ukuaji wa uchumi kwa lengo la kuboresha ustawi wa watu binafsi, kaya na shughuli za kibiashara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Umoja Switch, Vodacom waboresha huduma za kifedha

KAMPUNI ya  Umoja Switch na  Kampuni ya mawasiliano ya simu ya Vodacom Tanzania wamezindua huduma ya kuchukua fedha  kwenye mashine za Umoja Switch (ATM) kupitia huduma ya M-Pesa. Huduma hiyo...

 

11 years ago

Michuzi

Kairuki: Wananchi tumieni wasaidizi wa kisheria kutatua migogoro

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Jasmine Kairuki akiongea na waandishi wa habari katika mkutano wa majumuisho ya ziara yake ya siku tano katika taasisi zinazotoa msaada wa kisheria jijini Dar es Salaam. Ziara hiyo imemalizika leo (Ijumaa, Julai 18, 2014). Wengine ni Wajumbe wa Bodi ya Sekretarieti ya Msaada wa Kisheria (LAS) Dkt. Hellen Kijo-Bisimba (kulia) na Bi. Theodosia Muhulo.Kupata taarifa kamili BOFYA HAPA

 

10 years ago

Michuzi

VODACOM NA TIGO WAUNGANA KUTOA HUDUMA BORA ZA KIFEDHA

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza (kushoto, aliyekaa) na Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez (kulia, aliyekaa), wakitia saini mkataba wa makubaliano ya kutoa huduma za kutuma na kupokea fedha na miamala mbalimbali ya malipo zinazotolewa na makampuni yao kupitia huduma ya M-Pesa na Tigopesa. Wanaoshuhudia kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Sheria wa Vodacom Tanzania, Ngayama Matongo na kulia ni Meneja wa Chapa ya Tigo, William Mpinga.Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom...

 

10 years ago

Vijimambo

AIRTEL YAINGIA MKATABA NA FINCA WA KUTOA HUDUMA ZA KIFEDHA

 Meneja Mahusiano wa Kampuni ya simu ya Airtel, Jackson Mmbando (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu ushirikiano wa Airtel na Finca kutoa huduma za kifedha. Kutoka kulia ni , Vivian Temi na Meneja wa Huduma ya Airtel Money, Stephen Kimea.
 Meneja wa Huduma ya Airtel Money, Stephen Kimea (wa pili kushoto), akizungumza katika mkutano huo kuhusu huduma hiyo. Kulia ni Msimamizi Kitengo cha Huduma kwa Wateja wa Benki ya Finca Microfinance, Vivian...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL YASHIRIKIANA NA FINCA KUTOA HUDUMA ZA KIFEDHA‏

Meneja  Masoko wa Airtel Money Bwana Stephen  Kimea  (wa pili kushoto) pamoja na Meneja wa kanda ya Dar es saalam  wa Finca Microfinance Benki  Bi Sarah Daffer  kwa pamoja wakionyesha kipeperushi cha huduma mpya waliyoizundua  itakayowawezesha wateja wa Finca kuhamisha pesa kwenye akaunti zao za benki kwenda kwenye akaunti ya Airtel Money, na kuhamisha pesa kutoka Airtel money akanti kwenda akanti ya ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani