Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi wanapobebeshwa mzigo ulioishinda serikali

MAPEMA mwaka 2009 alipokuwa anahitimisha ziara ya mikoa ya Kanda ya Ziwa ambako alishuhudia ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alijikwaa ulimi akasema;...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wananchi Ubumu wakaribia kutua mzigo’

WANANCHI wa Kata ya Ibumu, Wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa wamesema wanakaribia kutua mzigo na kupunguza uchovu walionao unaosababishwa na utawala dhalimu wa kiimla waliokuwa wakitawaliwa katani humo. Wananchi hao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Warioba: Serikali tatu si mzigo

MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba nchini, Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, ametetea muundo wa serikali tatu kuwa hauna gharama, tofauti na inavyotafsiriwa na wengi. Mbali na kutetea gharama...

 

10 years ago

Mtanzania

Wafugaji, wakulima waibebesha mzigo Serikali

wafugajiNa Mauli Muyenjwa, Dar es Salaam
JAMII ya wakulima na wafugaji wamedai kutokumalizika kwa migogoro ya ardhi kati ya jamii hizo, inatokana na viongozi wa Serikali kushindwa kutimiza wajibu wao.
Kauli hiyo ilitolewa na mwakilishi wa wakulima kutoka Wilaya ya Kilosa, Airu Mustafa katika kongamano la mwisho la Kigoda cha Mwalimu Nyerere lililofanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) jana.
Alisema suluhisho pekee la tatizo hilo, ni kutowapa nafasi watu wanaotaka uongozi katika uchaguzi mkuu...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM itatua mzigo wa makosa ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?

Machi mwaka huu Chama cha Mapinduzi (CCM) kinatarajia kuanza rasmi mchakato wake wa kura ya maoni ya kuwapata wagombea wa nafasi za ubunge na udiwani watakaopeperusha bendera ya chama hicho kwenye Uchaguzi Mkuu.

 

10 years ago

Mwananchi

Uhaba wa dawa, vifaa tiba mzigo kwa Serikali

Suala la uhaba wa dawa na vifaa tiba katika hospitali nchini ikiwamo Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, limeonekana kuielemea Wizara ya Afya baada ya Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid kuthibitisha, huku akidai kuwa Serikali itapeleka fedha kwa awamu Bohari ya Kuu ya Dawa ili kupunguza uhaba huo.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAWAPUNGUZIA MZIGO WAJASILIAMALI WADOGO, KUSAJILI KEMIKALI KWA SH.ELFU KUMI

USAJILI kwa wajasiliamali wadogo wanaotumia kemikali katika kuzalisha bidhaa mbalimbali kwa sasa ni shilingi elfu kumi kwa kemikali moja kwani serikali inabeba majukumu la kila mjasiliamali mdogo hapa nchini.
Hayo yamesemwa na Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko wakati akifunga mafunzo kwa wajasiliamali wadogo jijini Dar es Salaam leo huku akitoa vyeti kwa kila mshiriki wa mafunzo hayo juu matumizi sahihi ya kemikali wanazotumia kutengeneza bidhaa mbalimbali.
"Kwa kila kemikali kwa...

 

9 years ago

CCM Blog

KAMATI KUU YA CCM YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI NA WASAIDIZI WAKE, NI KWA KUSIMAMIA VYANZO VYA MAPATO YA SERIKALI, KUDHIBITI MATUMIZI YA SERIKALI NA UHIMIZAJI WANANCHI KUFANAYA KAZI KWA BIDII



Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akizungumza na Waandishi wa Habari, leo kwenye ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam. (Picha na Bashir Nkoromo)IFUATAYO NI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KAMA ILIVYOWASILISHWA LEO NA KINANA  Jana tarehe 07/12/2015 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ilifanya kikao chake cha kawaida mjini Dar es salaam kwa siku moja. Kikao hicho kiliongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wailaumu serikali

WANANCHI  wa vijiji vya Kata ya Maguha na Magubike wilayani Kilosa mkoani Morogoro wameilaumu serikali kuwatelekeza kwa kutowapa elimu ya sera na sheria za ardhi mbali na umuhimu wake katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani