Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi washawishiwa kufurika Muungano 51

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck SadikiWANANCHI wa Mkoa wa Dar es Salaam na viunga vyake wametakiwa kufika kwa wingi katika sherehe za maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zitakazofanyika kesho katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wagonjwa wazidi kufurika Mwananyamala yafurika

Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam, imezidi kufurika wagonjwa, huku baadhi yao wakilala chini hali inayoweza kusababisha maambukizi ya magonjwa mbalimbali.

 

11 years ago

Habarileo

Warioba- Muungano ni wa wananchi

MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba amesema faida kubwa iliyopatikana katika miaka hamsini ya Muungano, ni kuungana kwa wananchi. Amesema hayo jana alipokuwa akiwasilisha Rasimu ya Katiba Mpya katika Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma.

 

11 years ago

GPL

MASTAA KUFURIKA... DAR LIVE SIKU YA KRISMASI

Na Mwandishi wetu
BURUDANI juu ya burudani! Mastaa mbalimbali wa filamu wanatarajiwa kufurika kwa wingi ndani ya Ukumbi wa Dar Live Mbagala-Zakhem jijini Dar, siku ya Krismasi katika tamasha maalumu lililopewa jina la Mtoko wa Mastaa, likiambatana na shoo ya nguvu yenye mchanganyiko wa Bongo Fleva, Hip Hop na Taarabu kutoka kwa wasanii nguli wa miondoko hiyo. Wema Sepetu. Siku hiyo, mashabiki watapata nafasi ya kupiga picha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maoni ya wananchi kuhusu Muungano

JUMATANO iliyopita tulichapisha mojawapo ya hotuba za Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere aliyoitoa mwaka 1995 kuhusu Muungano. Kwa mtazamo wake, Muungano ukivunjika, matokeo yake ni kusambaratika kwa Watanganyika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muungano uamuliwe kwa kura za wananchi

MVUTANO wa muundo wa serikali mbili au tatu uliogubika Bunge Maalumu, umelifanya Baraza la Mahusiano ya Dini mbalimbali kwa Amani Tanzania (IRCPT), kutaka kura ya maoni ifanyike ili wananchi waamue...

 

10 years ago

Michuzi

Maoni ya Kinana juu ya muungano baada ya wananchi wa scotland kupiga kura

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Mtongani alitoa maoni yake juu ya kura iliyopigwa na wananchi wa Scotland kuunga mkono Muungano dhidi ya wale waliotaka kujitenga.
Kinana alisema amekuwa akipigiwa simu siku nzima na waandishi wa habari kutaka kusikia maoni yake juu ya kura iliyopigwa Scotland.
Wananchi wa Scotland wamepiga kura na kuunga mkono muungano wa miaka 307 baina ya nchi hiyo na Uingereza katika...

 

10 years ago

Vijimambo

MAONI YA KINANA BAADA YA WANANCHI WA SCOTLAND KUPIGA KURA KUUNGA MKONO MUUNGANO


Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Mtongani alitoa maoni yake juu ya kura iliyopigwa na wananchi wa Scotland kuunga mkono Muungano dhidi ya wale waliotaka kujitenga.

Kinana alisema amekuwa akipigiwa simu siku nzima na waandishi wa habari kutaka kusikia maoni yake juu ya kura iliyopigwa Scotland.

Wananchi wa Scotland wamepiga kura na kuunga mkono muungano wa miaka 307 baina ya nchi hiyo na Uingereza katika...

 

9 years ago

Dewji Blog

Muungano wa Utepe Mweupe wa Uzazi Salama Tanzania kuzindua ripoti ya Sauti za Wananchi LEO

MlayBi. Rose Mlay-Mratibu wa Taifa, Muungano wa Utepe Mweupe wa Uzazi Salama Tanzania akifafanua jambo katika moja ya shughuli za Muungano huo wa Utepe Mweupe hapa nchini.  Muungano huo asubuhi ya leo katika makao makuu ya ofisi zao,  wanatarajia kuzindua rasmi ripoti ya sauti ya wananchi.

Soma hapa kwa taarifa zaidi:

UZINDUZI WA RIPOTI YA SAUTI ZA WANANCHI.pdf 

 

10 years ago

Dewji Blog

Maandalizi ya sherehe za miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar yakamilika, wananchi waombwa kujitokeza kwa wingi

Picha DC TMK

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam. Maadhimisho ya mwaka huu yatapambwa na Kauli Mbiu isemayo Miaka 51 ya Muungano, Tudumishe Amani Na Umoja, Ipigie Kura ya Ndiyo Katiba inayopendekezwa na Kushiriki Uchaguzi Mkuu.

Picha na 1

Askari watakaoshiriki kwenye Gwaride la heshima litakalohusisha vyombo vya ulinzi na usalama wakati wa maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wakiwa wamebeba bendera za Majeshi ya Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani