Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Warioba- Muungano ni wa wananchi

MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba amesema faida kubwa iliyopatikana katika miaka hamsini ya Muungano, ni kuungana kwa wananchi. Amesema hayo jana alipokuwa akiwasilisha Rasimu ya Katiba Mpya katika Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Warioba afichua siri ya JWTZ kuhusu Muungano

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, ametoa siri ya msimamo wa majeshi ya Tanzania kuhusu muundo wa Muungano wa sasa. Jaji Warioba ametoa siri hiyo...

 

11 years ago

Mwananchi

DIRA: Muungano huu sawa, lakini ujibu maswali 7 ya Jaji Warioba

>Tangu aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba akabidhi Rasimu ya Pili ya Katiba, kumekuwa na chokochoko, visa, matusi na  kejeli   kwa wajumbe wenzake hasa kwa sababu rasimu hiyo imependekeza muundo wa muungano wa Serikali tatu.

 

10 years ago

GPL

WANANCHI WAWASUBIRI WARIOBA, SITTA MTAANI

Stori: Ojuku Abraham
BAADA ya kutokea malumbano kati ya Mwenyekiti wa Tume Maalum ya Kukusanya Maoni ya wananchi juu ya mchakato wa Katiba mpya, Jaji Joseph Warioba na Mwenyekiti wa Bunge Maalum la katiba, Samuel Sitta, wananchi waliohojiwa wamesema wanawasubiri kwa hamu wanasiasa hao mitaani ili kuwasikiliza maneno yao. Mwenyekiti wa Bunge Maalum la katiba, Samuel Sitta. Mara baada ya Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Wananchi Serengeti waikumbuka rasimu ya pili ya Jaji Warioba

Baadhi ya wananchi waliokuwa wanafuatilia mjadala wa escrow juzi, katika mji wa Mugumu wilayani Serengeti, Mkoa wa Mkoa wa Mara walikumbuka Rasimu ya Pili ya Katiba iliyotupwa iliyokuwa ikitenganisha mihimili, hasa baada ya Spika Anna Makinda kuyumba kwa kuhofia mgongano wa mihimili na kusababisha kuvunjika kwa kikao cha Bunge.

 

11 years ago

CloudsFM

WARIOBA: BUNGE LITAPOTEZA FEDHA ZA WANANCHI ENDAPO HAKUNA MARIDHIANO

Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema kuendelea vikao vya Bunge Maalumu la Katiba bila kuwapo maridhiano baina ya pande zinazovutana na upande mmoja ukibaki nje ya Bunge, ni sawa na kutumia vibaya fedha za Watanzania.Amesema kauli kwamba akidi ya wajumbe wa Bunge hilo imetimia na vikao vinaweza kuendelea haiwezi kuzaa Katiba itakayokubaliwa na wananchi wote na ni tofauti na Sheria ya Mabadiliko ya Katiba inavyoeleza katika sehemu ya kufanya uamuzi.
...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maoni ya wananchi kuhusu Muungano

JUMATANO iliyopita tulichapisha mojawapo ya hotuba za Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere aliyoitoa mwaka 1995 kuhusu Muungano. Kwa mtazamo wake, Muungano ukivunjika, matokeo yake ni kusambaratika kwa Watanganyika...

 

10 years ago

Habarileo

Wananchi washawishiwa kufurika Muungano 51

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck SadikiWANANCHI wa Mkoa wa Dar es Salaam na viunga vyake wametakiwa kufika kwa wingi katika sherehe za maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zitakazofanyika kesho katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

TheCitizen

‘Wananchi want a 3-govt Union’, Warioba tells raucous #Katiba House [VIDEO]

Proposals for a 3-tier union structure purely reflect the will of the people, Katiba Team chair Judge (Rtd) Joseph Warioba told the Constituent Assembly in Dodoma today.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali tatu ‘matakwa ya wananchi’, Warioba aliambia Bunge la #Katiba [VIDEO]

Kati ya wananchi 38,000 waliotoa maoni yao kuhusu Muungano, 19,000 walizungumzia suala la muundo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani