Warioba- Muungano ni wa wananchi
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba amesema faida kubwa iliyopatikana katika miaka hamsini ya Muungano, ni kuungana kwa wananchi. Amesema hayo jana alipokuwa akiwasilisha Rasimu ya Katiba Mpya katika Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Warioba afichua siri ya JWTZ kuhusu Muungano
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, ametoa siri ya msimamo wa majeshi ya Tanzania kuhusu muundo wa Muungano wa sasa. Jaji Warioba ametoa siri hiyo...
11 years ago
Mwananchi30 Apr
DIRA: Muungano huu sawa, lakini ujibu maswali 7 ya Jaji Warioba
10 years ago
GPL
WANANCHI WAWASUBIRI WARIOBA, SITTA MTAANI
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Wananchi Serengeti waikumbuka rasimu ya pili ya Jaji Warioba
11 years ago
CloudsFM06 Aug
WARIOBA: BUNGE LITAPOTEZA FEDHA ZA WANANCHI ENDAPO HAKUNA MARIDHIANO
Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema kuendelea vikao vya Bunge Maalumu la Katiba bila kuwapo maridhiano baina ya pande zinazovutana na upande mmoja ukibaki nje ya Bunge, ni sawa na kutumia vibaya fedha za Watanzania.
Amesema kauli kwamba akidi ya wajumbe wa Bunge hilo imetimia na vikao vinaweza kuendelea haiwezi kuzaa Katiba itakayokubaliwa na wananchi wote na ni tofauti na Sheria ya Mabadiliko ya Katiba inavyoeleza katika sehemu ya kufanya uamuzi.
...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
Maoni ya wananchi kuhusu Muungano
JUMATANO iliyopita tulichapisha mojawapo ya hotuba za Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere aliyoitoa mwaka 1995 kuhusu Muungano. Kwa mtazamo wake, Muungano ukivunjika, matokeo yake ni kusambaratika kwa Watanganyika...
10 years ago
Habarileo25 Apr
Wananchi washawishiwa kufurika Muungano 51
WANANCHI wa Mkoa wa Dar es Salaam na viunga vyake wametakiwa kufika kwa wingi katika sherehe za maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zitakazofanyika kesho katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
11 years ago
TheCitizen18 Mar
‘Wananchi want a 3-govt Union’, Warioba tells raucous #Katiba House [VIDEO]
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Serikali tatu ‘matakwa ya wananchi’, Warioba aliambia Bunge la #Katiba [VIDEO]