WARIOBA: BUNGE LITAPOTEZA FEDHA ZA WANANCHI ENDAPO HAKUNA MARIDHIANO
Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema kuendelea vikao vya Bunge Maalumu la Katiba bila kuwapo maridhiano baina ya pande zinazovutana na upande mmoja ukibaki nje ya Bunge, ni sawa na kutumia vibaya fedha za Watanzania.
Amesema kauli kwamba akidi ya wajumbe wa Bunge hilo imetimia na vikao vinaweza kuendelea haiwezi kuzaa Katiba itakayokubaliwa na wananchi wote na ni tofauti na Sheria ya Mabadiliko ya Katiba inavyoeleza katika sehemu ya kufanya uamuzi.
...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 May
Warioba ahimiza maridhiano Bunge la Katiba
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Uhusiano wa mwajiri, mfanyakazi endapo hakuna mkataba wa ajira — 2
WIKI iliyopita nilisema kwamba ili kuhakikisha mambo ya msingi yanawekwa wazi, Sheria ya Ajira na Uhusiano Kazini inamtaka mwajiri kumpa mfanyakazi maelezo ya ajira yake kwa maandishi baada ya siku...
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Uhusiano wa mwajiri, mfanyakazi endapo hakuna mkataba wa ajira
NGUZO na msingi wa uhusiano wa kiajira kati ya mfanyakazi na mwajiri ni mkataba wa ajira. Mkataba wa ajira unaweza kuwa wa mdomo au wa maandishi. Ili kuhakikisha mambo ya...
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Serikali tatu ‘matakwa ya wananchi’, Warioba aliambia Bunge la #Katiba [VIDEO]
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Maridhiano yamruhusu Warioba kuhutubia
9 years ago
VijimamboMaalim Seif kuviunda upya vikosi vyua Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar endapo atapata ridhaa ya wananchi
11 years ago
Habarileo13 Mar
Sitta na Bunge la Maridhiano
MWENYEKITI mteule wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta ameonesha wazi kuwa ataongoza Bunge hilo kwa maridhiano, baada ya kueleza kundi lililokuwa nyuma yake wakati wa kampeni.
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
ACT wataka maridhiano Bunge la Katiba
CHAMA cha Aliance for Change and Transparency (ACT- Tanzania), kimeyataka makundi yanayosigana ndani ya Bunge Maalum la Katiba watafute maridhiano yatakayowezesha kupatikana kwa katiba iliyo bora. ACT-Tanzania imeyataka makundi hayo...
11 years ago
Tanzania Daima14 May
SCOC wataka maridhiano Bunge la Katiba
KAMATI Maalumu ya Wataalamu wa Katiba (SCOC) imetaka mamlaka ya juu ya nchi kuutafutia suluhu mgogoro uliosababisha wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kususia Bunge Maalumu la Katiba....