Maridhiano yamruhusu Warioba kuhutubia
>Mtafaruku ulioibuka juzi bungeni na kusababisha kusitishwa kwa kikao bila ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kuwasilisha Rasimu ya Katiba, ulihitimishwa kwa maridhiano baada ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta kukutana na viongozi wa Umoja wa Katiba ya Watanzania (Ukawa) juzi usiku.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Jaji Warioba kuhutubia Bunge
11 years ago
Mwananchi07 May
Warioba ahimiza maridhiano Bunge la Katiba
11 years ago
CloudsFM06 Aug
WARIOBA: BUNGE LITAPOTEZA FEDHA ZA WANANCHI ENDAPO HAKUNA MARIDHIANO
Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema kuendelea vikao vya Bunge Maalumu la Katiba bila kuwapo maridhiano baina ya pande zinazovutana na upande mmoja ukibaki nje ya Bunge, ni sawa na kutumia vibaya fedha za Watanzania.
Amesema kauli kwamba akidi ya wajumbe wa Bunge hilo imetimia na vikao vinaweza kuendelea haiwezi kuzaa Katiba itakayokubaliwa na wananchi wote na ni tofauti na Sheria ya Mabadiliko ya Katiba inavyoeleza katika sehemu ya kufanya uamuzi.
...
11 years ago
Michuzi12 Feb
10 years ago
BBCSwahili05 May
Korti yamruhusu Nkurunziza kuwania urais
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s72-c/1.jpg)
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA KWENYE KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KAWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-D6jzGhxpqTw/VgFSU7wmRFI/AAAAAAAAn6U/Tt1AlaI5QWY/s640/3.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s72-c/1.jpg)
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wj5l-WSI6eA/VgFSUm3kmGI/AAAAAAAAn6Y/SduVxz1S-9c/s640/2.jpg)
9 years ago
Habarileo19 Sep
Mtoto wa Kitanzania kuhutubia UN
MTOTO mwenye umri wa miaka 16, Suhaila Mwarimwana anatarajiwa kuhutubia katika Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa mjini New York, Marekani kuhusu masuala mbalimbali yanayowakabili watoto nchini Tanzania.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpHtM0rqVxIXggAHu7CUo7zJtq2QTW7lMkwjbP5NwOXOscjMdFSPIwY1L*n0w8ZXxJwwrqO2S0IZb20-CQzLWXJq/RAISKIKWETE.jpg)
LEO MEI MOSI JK KUHUTUBIA