Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi watahadharishwa kutoshabikia maandamano

 Wakati vuguvugu la Kampeni za Uchaguzi likizidi kushika kasi kote nchini,Mgombea kiti cha uraisi kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Dokta John Pombe Magufuli amewaomba wananchi kuacha kushabikia maandamano ambayo kwa kiasi kikubwa yamesababisha uchumi kushuka katika maeneo mbalimbali nchini

Dokta Magufuli amesema kuwa suala la msingi ni kukichagua chama cha Mapinduzi CCM ambacho ndio chama pekee chenye dhamira ya kufanya mabadiliko katika nyanja mbalimbali ikiwa ni pamoja na kukomesha...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Wananchi waishio pembezoni watahadharishwa juu ya Volcano.

Na Magesa Magesa,

Arusha.

 

Wananchi wanaoishi pembezo mwa mlima Meru mkoani Arusha wametakiwa kuchukua tahadhari kutokana na kuwepo kwa viashiria vya kulipuka kwa volcano katika mlima huo.

 

Tahadhari hiyo imetolewa na wadau wa utekelezaji wa mradi wa kimataifa wa kudhibiti majanga unaotekelezwa katika nchi zaidi ya mia moja duniani ikiwemo Tanzania ambapo inaelezwa kuwa Mlima Meru una volcano ambayo miaka ya nyuma iliwahi kulipuka na sasa upo uwezekano ikalipuka tena kwa miaka...

 

9 years ago

StarTV

Wananchi Zanzibar watahadharishwa kutoshiriki kufanya fujo

 

Jeshi la polisi Zanzibar limewatahadharisha wananchi wa Zanzibar kutohamasika kufanya fujo kutokana na kauli za baadhi ya viongozi wa kisiasa kauli zinazoashiria uvunjifu wa amani.

Aida jeshi hilo linasema lipo tayari  kwa hali yeyote kupambana na atakae ashiria kufanya vitendo vyya kuvunja amani kwa kisingizio cha kufutwa kwa uchaguzi mkuu wa Zanzibar.

Kuhusu kauli ya katibu mkuu wa CUF kuwa atawachia wananchi kuamuwa wanavyotaka kutetea haki yao Jeshi  linasema kauli hizo sio nzuri na...

 

9 years ago

Michuzi

wananchi watahadharishwa dhidi ya bidhaa feki za IVORI

Kampuni ya IVORI-IRINGA Inawataadharisha Wateja wake  Hususani Wasambazaji na Wauzaji wa Maduka ya Jumla na Reja reja kuwa, kumekuwepo na matapeli katika baadhi ya mikoa Nchini, Wakiuza bidhaa Feki kwa kutumia jina la pipi za Ivori kwa madai ya muonekano mpya wa bidhaa zetu.

Kampuni ya Ivori Iringa haijaubadilisha muonekano wa pipi zake wala Nembo yake,Hakikisha kila pipi unayonunua  ina nembo halisi ya Ivori kutoka Iringa.

kwa yeyote atakaenunua na Kutumia bidhaa  zinazofananishwa na Pipi za...

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wa dini watakiwa kutoshabikia siasa chafu

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck SadikiVIONGOZI wa dini nchini wametakiwa kutojihusisha na kampeni chafu za siasa hasa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu ndani ya nyumba za ibada.

 

10 years ago

Michuzi

KINANA AWAPONDA WAPINZANI KWA TABIA YAO YA KUANDAA MAANDAMANO BADALA YA MANDELEO YA WANANCHI

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (katikati) akihutubia katika mkutano wa hadhara mjini Maneromango leo wakati wa ziara yake wilayani Kisarawe, Pwani ya  kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kuata Ilani ya Uchaguzi ya chama hicho pamoja na kusikiliza kero za wananchi kwa lengo la kuzipatia ufumbuzi.PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG Wananchi wa Kata ya Maneromango wakisikiliza kwa makini hotuba ya Kinana katika mkutano huo. ambapo...

 

10 years ago

Michuzi

KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.

 Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo  maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).


Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watahadharishwa kuepuka magonjwa

WAKAZI wa Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, wametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa malaria ili kupunguza idadi ya vifo vya watoto na wajawazito. Kauli hiyo imetolewa  jana na Kaimu...

 

9 years ago

Mtanzania

Waandishi wa habari watahadharishwa

Pg 2 kibandaNA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM

JUKWAA la Wahariri (TEF), limewataka waandishi wa habari kuchukua tahadhari, hasa wakati huu wa uchaguzi kwa kufanya kazi zao kwa weledi na kuzingatia maadili ya taaluma yao.

Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya mwandishi wa habari wa gazeti la Uhuru, Christopher Lissa, kudaiwa kupigwa wakati akipiga picha za watu wanaodaiwa kujifanya ni wanachama wa Chadema walioandamana kwenda makao makuu ya chama hicho kuunga mkono hotuba ya aliyekuwa Katibu Mkuu, Dk....

 

11 years ago

Mwananchi

Wahandisi nchini watahadharishwa

Wahandisi nchini wamekumbushwa kuwa makini kwa kutambua viashiria vya hatari na hasara zinazoweza kutokea katika miradi mbalimbali ya ujenzi wanayoisimamia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani