Wanaopambanisha wabunge na Serikali wakemewa
MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli amekemea tabia za baadhi ya watu na vyombo vya habari, kuwagonganisha viongozi wa serikali na wabunge kwa lengo la kuleta mgogoro.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 Jun
Wabunge waibana Serikali
WABUNGE wameendelea kuitaka Serikali kubuni vyanzo vipya vya mapato, huku baadhi yao wakionesha wasiwasi kama Serikali itafanikiwa kukusanya Sh trilioni 19, kutokana na kukosa mbinu za upanuzi wa wigo wa kodi.
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Wabunge waibana serikali
NA SELINA WILSON, DODOMA
WABUNGE wameendelea kuikalia kooni serikali juu ya misamaha ya kodi kwa wawekezaji wakitaka ipunguzwe na wengine wakitaka ibuni vyanzo vipya vya ukusanyaji mapato badala ya kutegemea wahisani.
Bajeti Kuu ya Serikali inatarajiwa kusomwa bungeni kesho, ambapo kwa wiki nzima, wabunge wamekuwa wakiibana serikali kuitaka kueleza namna...
10 years ago
Habarileo01 Jul
Wabunge, Serikali wavutana gesi
WABUNGE wameishauri Serikali isifanye haraka kwa kuwasilisha bungeni miswada ya sheria kuhusiana na masuala ya mafuta na gesi kwa sababu mawazo yao hivi sasa yapo katika Uchaguzi Mkuu na wana mgogoro wa utulivu wa mawazo na fikra.
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Serikali ya TZ yakana mafao kwa wabunge
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0xyY5QDXxz4/U8wuDxjiVAI/AAAAAAAF4Jc/_Ks21eodOUw/s72-c/unnamed+(4).jpg)
Serikali, Wabunge waibana Kabanga Nickel
![](http://1.bp.blogspot.com/-0xyY5QDXxz4/U8wuDxjiVAI/AAAAAAAF4Jc/_Ks21eodOUw/s1600/unnamed+(4).jpg)
10 years ago
Habarileo01 Apr
Wabunge wataka serikali kuwajibika mgomo wa wafanyabiashara
WABUNGE wameitaka Serikali kuharakisha mazungumzo yake kuhusu tatizo lililopo la mgomo wa wafanyabiashara nchi nzima, ili suala hilo lipatiwe ufumbuzi mapema.
11 years ago
Habarileo17 May
Wabunge waonya serikali utitiri wa NGOs za dini
WABUNGE wameshauri Serikali kuwa makini katika kusajili asasi za kiraia, hasa za madhehebu ya dini ili kudhibiti kuwepo utitiri wa vyama hivyo vya kijamii.
11 years ago
Habarileo04 Apr
Wazee CCM: Wabunge teteeni serikali mbili
WAZEE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, wamewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuhakikisha wanatetea muundo wa Muungano wa serikali mbili.
10 years ago
Mwananchi23 Jun
MAONI : Utoro wa wabunge umeathiri Bajeti ya Serikali