Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaopambanisha wabunge na Serikali wakemewa

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli amekemea tabia za baadhi ya watu na vyombo vya habari, kuwagonganisha viongozi wa serikali na wabunge kwa lengo la kuleta mgogoro.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wabunge waibana Serikali

WABUNGE wameendelea kuitaka Serikali kubuni vyanzo vipya vya mapato, huku baadhi yao wakionesha wasiwasi kama Serikali itafanikiwa kukusanya Sh trilioni 19, kutokana na kukosa mbinu za upanuzi wa wigo wa kodi.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Wabunge waibana serikali

Wataka bajeti mpya iwe ya utekelezaji si ahadi Misamaha ya kodi kwa vigogo yazidi kupingwa January: Misamaha iwe asilimia moja ya bajeti
NA SELINA WILSON, DODOMA
WABUNGE wameendelea kuikalia kooni serikali juu ya misamaha ya kodi kwa wawekezaji wakitaka ipunguzwe na wengine wakitaka ibuni vyanzo vipya vya ukusanyaji mapato badala ya kutegemea wahisani.
Bajeti Kuu ya Serikali inatarajiwa kusomwa bungeni kesho, ambapo kwa wiki nzima, wabunge wamekuwa wakiibana serikali kuitaka kueleza namna...

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge, Serikali wavutana gesi

WABUNGE wameishauri Serikali isifanye haraka kwa kuwasilisha bungeni miswada ya sheria kuhusiana na masuala ya mafuta na gesi kwa sababu mawazo yao hivi sasa yapo katika Uchaguzi Mkuu na wana mgogoro wa utulivu wa mawazo na fikra.

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali ya TZ yakana mafao kwa wabunge

Serikali ya Tanzania imekanusha taarifa kuwa wabunge wa nchi hiyo watalipwa kiasi cha zaidi ya dola laki moja za kimarekani watakapomaliza muda wao wa kipindi cha miaka 5 kama kiinua mgongo.

 

11 years ago

Michuzi

Serikali, Wabunge waibana Kabanga Nickel

Ujumbe kutoka Tanzania ukiongozwa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (wa kwanza kushoto), ukimsikiliza Bw.Stephen Flewelling (aliyesimama), Mtendaji wa kampuni ya Glancore yenye leseni ya kuchimba Nickel katika eneo la Kabanga wilayani Ngara wakati walipofika katika makao makao makuu ya kampuni hiyo yaliyoko Toronto, Canada. Wengine katika picha ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge, Nishati na Madini, Victor Mwambalaswa (Mb.), (wa pili kushoto), Deogratias...

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge wataka serikali kuwajibika mgomo wa wafanyabiashara

Naibu Spika Job NdugaiWABUNGE wameitaka Serikali kuharakisha mazungumzo yake kuhusu tatizo lililopo la mgomo wa wafanyabiashara nchi nzima, ili suala hilo lipatiwe ufumbuzi mapema.

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge waonya serikali utitiri wa NGOs za dini

WABUNGE wameshauri Serikali kuwa makini katika kusajili asasi za kiraia, hasa za madhehebu ya dini ili kudhibiti kuwepo utitiri wa vyama hivyo vya kijamii.

 

11 years ago

Habarileo

Wazee CCM: Wabunge teteeni serikali mbili

WAZEE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, wamewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuhakikisha wanatetea muundo wa Muungano wa serikali mbili.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Utoro wa wabunge umeathiri Bajeti ya Serikali

Bunge kwa siku kadhaa limekuwa likijadili Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2015/16. Jambo la kusikitisha ni kuwa, kinyume na mijadala ya bajeti kuu za Serikali iliyofanyika miaka ya nyuma, mjadala wa bajeti ya mwaka wa fedha ujao umekuwa na upungufu mkubwa kutokana na kuhusisha idadi ndogo sana ya wabunge.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani