Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanariadha watishia kususia mashindano

Ya kimataifa baada ya serikali ya Kenya kutangaza kuwa mapato yao yataanza kutozwa ushuru

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Watishia kususia chaguzi zote zijazo

BAADHI ya wakazi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, mkoani Pwani, wamesema hawatashiriki kupiga kura katika chaguzi mbalimbali zinazotarajiwa kuanza hivi karibuni endapo jirani zao wa Mtaa wa Vingunguti...

 

11 years ago

Michuzi

WANARIADHA WA MBIO NDEFU WAWASILI ADDIS ABABA KWA AJILI YA MAZOEZI YA KUJIAANDAA NA MASHINDANO YA JUMUIYA YA MADOLA

Mhe. Naimi Aziz, Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia ( wa nne kutoka kulia) akiwa na baadhi ya wanariadha wa Mbio ndefu kutoka Tanzania waliowasili jijini Addis Ababa siku ya Alhamisi tarehe 1/5/2014, kwa ajili ya kufanya mazoezi ya nguvu ya kujiandaa na Mashindano ya Jumuiya ya Madola yatakayofanyika nchini Scotland mwezi wa Saba mwaka huu. Wizara ya Michezo ya Ethiopia imeamua kutoa makocha watatu ambao watasaidiana na kocha Shabaan Bayu katika kukinoa kikosi hicho. Aidha, mwanariadha...

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema yatishia kususia Bunge

Zikiwa zimebaki siku nne kabla ya kuanza kwa Bunge la Katiba mjini Dodoma, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kitasusia bunge hilo, iwapo mapendekezo yaliyotolewa na Tume ya Jaji Warioba hayatazingatiwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vyama 17 kususia uchaguzi Burundi

Kundi moja la vyama 17 nchini Burundi limekubaliana kususia uchaguzi mkuu wa mwezi ujao likisema kuwa hautakuwa huru na haki.

 

11 years ago

BBCSwahili

Malaysia:Familia zatishia kususia chakula

Jamaa za abiria wa China waliokuwa kwenye ndege ya Malaysia,wametisha kususia chakula ikiwa Malaysia haitasema ukweli kuhusu ndege iliyotoweka

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa kususia Kura ya Maoni ni matokeo tu

Kufikia leo, itakuwa zimesalia siku 35 kabla Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuruhusu asasi za kiraia kutoa elimu ya uraia juu ya Katiba Inayopendekezwa, hii ikiwa ni kwa mujibu wa kifungu cha 5 cha Sheria ya Kura ya Maoni. Ndani ya siku hizi 35 na kwa utaratibu wa kawaida inapasa tuwe tayari na wapigakura wetu ambao taarifa zao zimeboreshwa na wale walitimiza miaka 18 wameandikishwa upya na kila mtu ana kitambulisho chake.

 

11 years ago

Mwananchi

Msekwa: Msishangae, Ni kawaida kususia Bunge

>“Sijaweka orodha ya vitabu vya mwaka huu,  sijavi-document (sijaviorodhesha) pale.” Hii ni kauli ya mwanasiasa mkongwe, Pius Msekwa ambaye ameshika nyadhifa mbalimbali katika Bunge, chama tawala ambaye katika mahojiano maalum na waandishi wa Mwananchi alikuwa na mengi ya kusema.

 

9 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Burundi kususia mazungumzo Arusha

Serikali ya Burundi imesema haitashiriki mazungumzo ya amani ambayo yamepangiwa kuanza hapo kesho mjini Arusha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani