Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapo wenye mapenzi na CCM, CDM isisahau hili!

KAMA nilivyodokeza wiki iliyopita naomba wiki hii niangalize jambo moja ambalo inaonekana kwa wale wapinzani na wengine wanaopenda mabadiliko ya kweli ya kisiasa wanaanza kulisahau; kuwa, wapo Watanzania wenye mapenzi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana wenye sifa za kuajiriwa wapo vijijini

ASILIMIA 80 ya vijana wenye sifa na uwezo wa kuajiriwa wapo vijijini. Hayo yalielezwa jijini Dar es Salaam jana na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Wazee wapo, ila wenye hekima Tanzania wamepungua

Kutokana na mchakato wa katiba mpya sasa kusuasua nchini Tanzania, imenifikirisha sana na kufikia kuja na hitimisho kuwa Tanzania wazee wapo wa kutosha, lakini wenye hekima na wanaosikilizwa wamepungua sana.

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Mtibwa; wapo wapo tu, wanaishi kwa mazoea

Msimu mwingine kwa Mtibwa Sugar. Ni rahisi kutabiri kwamba maisha yao yataendelea kuwa vile vile kama ilivyokuwa kwa msimu uliopita. Wapo katika Ligi kwa misimu 18 mfululizo tangu walipopanda Ligi Kuu mwaka 1996.

 

11 years ago

TZToday

UJUMBE WA KICHUNGAJI WA PASAKA 2014 KWA WAAMINI NA WATU WOTE WENYE MAPENZI MEMA

UJUMBE WA KICHUNGAJI WA PASAKA 2014

KWA WAAMINI NA WATU WOTE WENYE MAPENZI MEMA


“Sote tuwe na Umoja” (rej. Yn 17:21)
UTANGULIZI:
Ndugu wapendwa, tunapohitimisha kipindi cha Kwaresima kilichokuwa na ujumbe: “Ukweli utawaweka huru” (Yn. 8: 32), tunawaletea ujumbe wa “Umoja” ili kuongeza msisitizo kwenye ujumbe wetu wa Kwaresma. Tunaitwa kukubali kuwa umoja ni ukweli msingi wa kila mafanikio ya jumuiya ya mwanadamu.

Ufufuko ni Pasaka inayomaanisha kivuko au kupita kwa Wayahudi...

 

5 years ago

Michuzi

WANAOUGUA CORONA NI WENGI ZAIDI KULIKO WENYE VIRUSI VYA CORONA ...MUNGU TUPONYE NA JANGA HILI


Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii

TUKUBALIANE nitakachoelezea hapa hakuna uhusiano na ukweli wa moja kwa moja ila ni mtazamo wangu wa kijinga uliojaa na upumbavu ndani yake.

Nataka kuzungumzia ugonjwa hatari wa COVID-19 ( Corona) ambao umeifanya dunia kuhaha kutafuta kinga yake kwa ajili ya kuokoa maisha ya wanadamu. Corona haina adabu kabisa inakatisha maisha ya watu bila huruma. Ukweli dunia imekosa furaha kabisa kutokana na virusi vya Corona ambavyo havina tiba wala chanjo.

Nenda...

 

10 years ago

GPL

HILI LA MAKUNDI CCM, MAGUFULI AMEMALIZA!

Mgombea urais wa Serikali ya awamu ya nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, John Pombe Magufuli. WOTE tunatambua kwamba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefanikiwa kuvuka moja kati ya vikwazo vikubwa na hatari zaidi kuwahi kutokea katika historia yake, kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu....Soma zaidi===>http://bit.ly/1I7WLQ2 ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wasipoelewa somo hili basi tuwaache

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na ujeuri wake wote wa kushikilia misimamo hata ile isiyokuwa na tija kwa wananchi, lakini kwa somo hili la muundo wa serikali tatu kinapaswa kuelewa....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani