Wasaa wa mazingira unufaishe jiji la Arusha
Jiji la Arusha limeteuliwa kuwa ni kati ya majiji 7,000 duniani kushiriki shindano la wasaa wa mazingira linalolenga kupunguza athari za mabadiliko ya tabia nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi23 Oct
10 years ago
Habarileo02 Sep
Kashfa yanyemelea Jiji la Arusha
KASHFA ya matumizi mabaya ya madaraka, inainyemelea Halmashauri ya Jiji la Arusha, baada ya kuibuka madai ya kutumika kwa nyaraka za kughushi, kuipa zabuni kampuni iliyokosa sifa ya uwakala wa ukusanyaji ushuru wa maegesho ya magari.
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Uvunaji maliasili za Taifa lazima unufaishe Watanzania — Sumaye
11 years ago
Habarileo12 Dec
CCM waibana Halmashauri ya Jiji Arusha
KAMATI ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Arusha imeuagiza uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kuhakikisha miradi yote iliyokuwa imeanza kujengwa inakamilika kwa wakati bila ya kuwa na visingizio.
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Safisha jiji yawakera madiwani Arusha
BAADHI ya madiwani wa Jiji la Arusha, wameeleza kukerwa na zoezi la safisha safisha jiji hilo zilivyoendeshwa kwa misingi ya kukiuka haki za binadamu. Madiwani hao wametaka zoezi hilo lifanyike...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nEg2Rwm_GIM/VWniR-_BzII/AAAAAAAHay0/lReYgI5H_LM/s72-c/MMGL2459.jpg)
LOWASSA ALITIKISA JIJI LA ARUSHA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-nEg2Rwm_GIM/VWniR-_BzII/AAAAAAAHay0/lReYgI5H_LM/s640/MMGL2459.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CvFmHCRh7AI/VWniRv94KcI/AAAAAAAHayw/W-5KngZaDzg/s640/MMGL2705.jpg)
9 years ago
Habarileo08 Dec
Jiji Arusha wazindua baraza la madiwani
BARAZA la kwanza la Madiwani waliochaguliwa katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu katika Halmashauri ya Jiji la Arusha linatarajiwa kufanyika leo.
10 years ago
Habarileo23 Oct
Jiji la Arusha laongezewa kata sita
MSTAHIKI Meya wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Gaudence Lyimo amesema kuwa jiji hilo sasa litakuwa na kata 25.