Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasaa wa mazingira unufaishe jiji la Arusha

Jiji la Arusha limeteuliwa kuwa ni kati ya majiji 7,000 duniani kushiriki shindano la wasaa wa mazingira linalolenga kupunguza athari za mabadiliko ya tabia nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kashfa yanyemelea Jiji la Arusha

KASHFA ya matumizi mabaya ya madaraka, inainyemelea Halmashauri ya Jiji la Arusha, baada ya kuibuka madai ya kutumika kwa nyaraka za kughushi, kuipa zabuni kampuni iliyokosa sifa ya uwakala wa ukusanyaji ushuru wa maegesho ya magari.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uvunaji maliasili za Taifa lazima unufaishe Watanzania — Sumaye

p>WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema Waafrika wakiwamo Watanzania wanapaswa kujiandaa kunufaika na uvunaji mpya unaofanyika katika rasilimali zake. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa biashara na vitega uchumi...

 

11 years ago

Habarileo

CCM waibana Halmashauri ya Jiji Arusha

KAMATI ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Arusha imeuagiza uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kuhakikisha miradi yote iliyokuwa imeanza kujengwa inakamilika kwa wakati bila ya kuwa na visingizio.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Safisha jiji yawakera madiwani Arusha

BAADHI ya madiwani wa Jiji la Arusha, wameeleza kukerwa na zoezi la safisha safisha jiji hilo zilivyoendeshwa kwa misingi ya kukiuka haki za binadamu. Madiwani hao wametaka zoezi hilo lifanyike...

 

10 years ago

Michuzi

LOWASSA ALITIKISA JIJI LA ARUSHA LEO

 Mtangaza nia ya kuwania Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono maelfu ya wananchi waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid,jijini Arusha jioni ya leo, wakati wa kutangaza nia yake hiyo ya kuwania Urais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mbunge wa Jimbo la Mwibara, Mh. Kangi Lugola akisalima umati wa watanzania uliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa michezo wa...

 

9 years ago

Habarileo

Jiji Arusha wazindua baraza la madiwani

 BARAZA la kwanza la Madiwani waliochaguliwa katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu katika Halmashauri ya Jiji la Arusha linatarajiwa kufanyika leo.

 

10 years ago

Habarileo

Jiji la Arusha laongezewa kata sita

MSTAHIKI Meya wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Gaudence Lyimo amesema kuwa jiji hilo sasa litakuwa na kata 25.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani