Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Washtakiwa CUF wawazidi ujanja polisi

lipumbaNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam
HATI ya kuwafutia mashtaka wafuasi 30 wa Chama cha Wananchi (CUF) waliotakiwa kuunganishwa katika kesi moja na Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahimu Lipumba, imezua sintofahamu baada ya wafuasi hao kutoweka.
Wafuasi hao waliotakiwa kuachiwa na kukamatwa tena walitoweka jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Emilius Mchauru, baada ya kukubali maombi ya kuwaachia huru yaliyowasilishwa na DPP.
DPP aliwasilisha hati ya kuomba...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Music: Young Dee — Ujanja Ujanja

Rapper Young Dee baada ya kuacha video ya wimbo mpya wa “Ujanja Ujanja” hii ni Audio Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Video: Young Dee — Ujanja Ujanja

Video mpya ya rapper Young Dee wimbo unaitwa ” Ujanja Ujanja” video imeongozwa na Khalfani Khalmandro Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Mwananchi

CUF yatangaza kuigomea polisi

Chama cha Wananchi (CUF) kimesema uamuzi wa Jeshi la Polisi kuzuia misafara ya wagombea urais wakati wa kuchukua na kurejesha fomu batili, kinyume na Katiba ya nchi na sheria ya vyama vya siasa, na unalenga “kuionea huruma CCM” baada ya kufunikwa na vyama vinavyounda Ukawa.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi wafuta mkutano wa CUF

POLISI katika Mkoa wa Kaskazini Unguja wamezuia mkutano wa hadhara wa Chama cha Wananchi (CUF) ambao ulikuwa ufanyike katika Jimbo la Kitope kwa maelezo kuwa haukupata kibali cha jeshi hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi yazuia mkutano wa CUF Songea

Songea. Polisi mjini Songea, imezuia mkutano wa Chama cha Wananchi (CUF) uliokuwa ufanyike kwenye Viwanja vya mikutano vilivyopo eneo la Majengo Manispaa ya Songea.

 

9 years ago

Habarileo

Mbunge wa CUF apongeza NEC, Polisi

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Jeshi la Polisi mjini Lindi mkoani Lindi imepongezwa kwa utendaji wake wa kazi kwa kufuata taratibu na sheria kwenye kampeni za uchaguzi zinazoendelea wakati huu.

 

9 years ago

Habarileo

Polisi wazima vurugu za CUF Mji Mkongwe

WAKATI wakisubiri matokeo ya uchaguzi ya rais huku Tume ya Uchaguzi ikitangaza kura za wagombea wabunge na uwakilishi katika majimbo ya uchaguzi Zanzibar, Jeshi la Polisi limelazimika kuzima fujo na vurugu kutoka kwa wafuasi wa CUF waliotanda mitaa ya Mji Mkongwe na barabara kuu ya Darajani.

 

10 years ago

StarTV

Polisi yatawanya wafuasi wa CUF kwa mabomu.

Na Glory Matola,

Dar es Salaam.

Jeshi la Polisi limelazimika kulipua mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa Chama cha Wananchi CUF waliojiandaa kuandamana hadi Viwanja vya Zakhiem Mbagala jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya kumbukumbu ya mauaji ya baadhi ya wafuasi wake huko Zanzibar.

Pamoja na mabomu hayo, Jeshi hilo pia lilimkamata Mwenyekiti wa chama hicho Profesa Ibrahimu Lipumba, baadhi ya wanachama na mwandishi wa habari wa gazeti la Jambo Leo na kupelekwa kituo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CUF, NCCR walaani Polisi kupiga waandishi

CHAMA cha Wananchi (CUF), na NCCR Magaeuzi, vimelaani vikali kitendo cha Jeshi la Polisi kuwapiga Waandishi wa Habari waliokuwa wakifuaitilia kuhojiwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani