Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wassira: Umaskini, dhuluma vitavuruga amani

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu, Stephen Wassira amesema kukosekana kwa haki, kuongezeka kwa umaskini uliokithiri na dhuluma ni mambo yanayoweza kuvuruga amani ya nchi. Kauli ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Tufanye yote, wimbo wetu uwe amani, amani, amani

Wiki hii Raia Mwema lilifanya mahojiano na mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

BBCSwahili

US kuzuia dhuluma za ngono jeshini

Baraza la Senate la Marekani limeidhinisha kwa kauli moja mageuzi ya hatua zinazopaswa kuchukuliwa kuhusiana na unyanyasaji wa kimapenzi katika jeshi.

 

11 years ago

BBCSwahili

7 wakamatwa kwa dhuluma za ngono Misri

Wanaume 7 wamekamatwa baada ya kushukiwa kuwadhulumu kiongono mwanamke wakati wa sherehe za kumkabidhi mamlaka Rais Abdul Fattah al Sisi.

 

11 years ago

Habarileo

Dhuluma kwa wakulima yamsikitisha Kinana

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesikitishwa na taarifa ya wakulima wa tumbaku kuhusu dhuluma wanayofanyiwa na vyama vya ushirika na wanunuzi wa tumbaku yao kila msimu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Cosby ashtakiwa kwa dhuluma za kimapenzi

Mwigizaji na mchekeshaji mkongwe wa Marekani Bill Cosby ameshitakiwa kwa kumdhulumu kimapenzi mwanamke anayedai kuwa alibakwa na mwigizaji huyo alipokuwa na umri wa miaka 15.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanajeshi apatikana na hatia ya dhuluma za ngono

Umoja wa Mataifa umesema mwanajeshi wake wa kutunza amani nchini Jamuhuri ya Afrika ya Kati apatikana na hatia ya dhuluma za kimapenzi

 

11 years ago

Mwananchi

Kulipwa bila kazi ni dhuluma na ufisadi

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo kiuchumi tunaweza kusema inafaida ya nguvu kazi yaani population bonus.

 

11 years ago

BBCSwahili

Misri yataka Youtube kuondoa kanda ya dhuluma

Misri imeomba YouTube kuondoa video ya mwanamke akinyanyaswa kimapenzi katika mkutano wa kisiasa Cairo

 

10 years ago

Habarileo

Ajinyonga kupinga dhuluma, mama wanawe wauawa

MKAZI wa Mji mdogo wa Mirerani, wilayani Simanjiro mkoani Manyara, amekufa baada ya kujinyonga kwa kanga, pembeni ya mlango wa chumba chake, nyumbani kwake. Akithibitisha kutokea kwa kifo hicho, Kaimu Kamanda wa polisi wa mkoa wa Manyara, Kamishna Msaidizi wa Polisi Mussa Marambo alimtaja marehemu huyo kuwa ni Patrice Shirima (52) maarufu kwa jina la Manywele.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani