Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wastaafu wamteka JK

RAIS Jakaya Kikwete amehujumiwa na viongozi wakuu wastaafu waliomlazimisha kuachana na msimamo wa muundo wa muungano wa serikali tatu na kukumbatia serikali mbili zilizopendekezwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Taarifa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Friends of Simba wamteka Okwi

Mshambuliaji Emmanuel Okwi. Na Nicodemus Jonas
SAA chache kabla ya mechi ya watani, Yanga dhidi ya Simba, kama kawaida vituko vinazidi kuongezeka na mshambuliaji Emmanuel Okwi anazidi kuwa tatizo. Okwi alikuwa acheze mechi ya leo, akasusa kwa kuwa anawadai Yanga dola 40,000 (Sh milioni 64), lakini sasa Friends of Simba wameingilia na kumteka mawazo zaidi kuwa hana haja ya kucheza mechi ya leo, ataangushiwa mzigo wakipoteza....

 

11 years ago

Bongo5

Boko Haram wamteka mke wa makamu waziri mkuu wa Cameroon

Wanamgambo wa kundi la Boko Haram, wamemteka mke wa makamu wa waziri mkuu wa Cameron, na kuwaua watu watatu baada ya kuushambulia mji wa kaskazini wa Kolofata. Wanamgambo hao walivamia makazi ya waziri Amadou Ali huko Kolofata na kumteka mke wake. Kiongozi wa dini ambaye pia ni meya wa mji huo Seini Boukar Lamine naye […]

 

10 years ago

Habarileo

Wastaafu kukopeshwa

BENKI ya Posta Tanzania kwa kushirikiana na Mfuko wa Pensheni wa LAPF, wamezindua mpango maalumu wa kutoa mikopo kwa wastaafu.

 

11 years ago

Mwananchi

Marais wastaafu wakutana

Marais wastaafu barani Afrika wameanza kuweka mikakati ya pamoja ili kulisaidia bara hili namna linavyoweza kukabiliana na changamoto za kiuchumi hasa wakati huu ambako dunia inahimizwa kuwa na ushirikiano wa kimaendeleo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wastaafu wataka mafao

WASTAAFU wa iliyokuwa Tanganyika Packers, wameitaka serikali kuwalipa mafao yao kabla ya kuruhusu Shirika la Nyumba (NHC), kubomoa nyumba zao. Wakizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, wazee...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wastaafu Moro wamwangukia JK

CHAMA cha Wafanyakazi wastaafu Mkoa wa Morogoro (Chawawamo), kimemuomba Rais Jakaya Kikwete kutowatelekeza kwa kuhitimisha uongozi wake kwa kuboresha sheria ya wastaafu ili wanufaike nayo kwa ongezeko la pensheni za...

 

10 years ago

Mwananchi

Wastaafu Mwenge kupewa maeneo

Serikali kupitia mrajisi wa vyama vya ushirika, imekiwezesha Chama cha Ushirika cha Ujenzi wa Nyumba Mwenge (MHCS Ltd), kupata eneo la kiwanja chenye ukubwa wa ekari 800 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za makazi kwa wanachama na vitega uchumi vingine katika eneo la Kibiki, Chalinze Mkoa wa Pwani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mafao ya pensheni ya wastaafu juu

KILIO cha muda mrefu cha wastaafu kutofautina mafao ya pensheni  katika Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, sasa kimepatiwa majibu baada ya Serikali kuamua kuanzisha fomula mpya ya kukokotoa. Fomula hiyo mpya...

 

10 years ago

Mwananchi

Wastaafu kuanza kukopeshwa fedha

Wastaafu wanatarajiwa kuanza kunufaika na mikopo ya fedha baada ya zaidi ya Sh13 bilioni zilizotengwa kwa ushirikiano wa taasisi za fedha kuanza kutolewa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani