Wastaafu Moro wamwangukia JK
CHAMA cha Wafanyakazi wastaafu Mkoa wa Morogoro (Chawawamo), kimemuomba Rais Jakaya Kikwete kutowatelekeza kwa kuhitimisha uongozi wake kwa kuboresha sheria ya wastaafu ili wanufaike nayo kwa ongezeko la pensheni za...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Wanamichezo wamwangukia Magufuli
11 years ago
Dewji Blog09 Jul
Bodaboda wamwangukia Mkuu wa Mkoa wa Dar
Baadhi ya viongozi na wanachama wa bodaboda wakiwa katika mazungumzo na wanahabari (hawapo pichani).
Na Mwandishi wetu.
Kamati maalum ya madereva Bodaboda Mkoa wa Dar es Salaam, wamemtaka mkuu wa mkoa Saidi Meck Sadiki kusitisha agizo la vyombo hivyo kutoingia katikati ya jiji (Central Business District CBD).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, katibu wa kamati hiyo Daudi Laurian, alisema kuwa mkuu wa mkoa alitoa agizo hilo bila kuwashirikisha kwa kuwapa taarifa ...
10 years ago
Mwananchi18 Jul
Wazee wa kimila sasa wamwangukia Lowassa
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Wadau wamwangukia mratibu Kombe la Muungano Mufindi
WADAU wa michezo wamemwomba Mratibu wa Kombe la Muungano Mufindi, Daud Yassin, kufikiria zaidi uamuzi wake wa kustaafu kuandaa mashindano hayo na kuongeza muda zaidi wa kuratibu kwa lengo ya...
9 years ago
Bongo504 Dec
Video mpya ya Belle 9 ‘Burger Movie Selfie’ iliyoshutiwa Moro na director wa Moro kutambulishwa Trace Urban wiki Ijayo
![Belle99](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/Belle99-300x194.jpg)
Kabla mwaka 2015 haujaisha, Belle 9 amefanikisha kupiga hatua nyingine ya mafanikio ya muziki wake, ambapo wiki ijayo video ya wimbo wake mpya uitwao “Burger Movie Selfie” itaanza kuoneshwa kwa mara ya kwanza na Trace Urban wiki ijayo.
What's up Trace Family! Watch "Burger Movie Selfie" by @bellenine starting next week on @TRACE_Urban channel #325 on @DStv_Kenya
— TRACE East Africa (@TRACEEastAfrica) December 2, 2015
Hii itakuwa ni video ya pili ya Belle 9 kwa mwaka huu na toka ameanza...
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Wanawake Mufindi wamwangukia , Mwenyekiti wa UWT Mufindi Marcelina Mkini ubunge jimbo la Mufindi kusini
![](http://2.bp.blogspot.com/-u65NsD7QSYA/VWnTY5w_fEI/AAAAAAAB9Yw/gtg-Q74JniY/s640/DSC_0259.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-g4xGryBONpI/VWnSVrzOw2I/AAAAAAAB9YQ/2P4jJNZnBx8/s640/DSC_0245.jpg)
Na MatukiodaimaBLOG
WAKATI joto la uchaguzi mkuu likiendelea kushika kasi ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) kwa wanachama wake kujitokeza kutia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-u65NsD7QSYA/VWnTY5w_fEI/AAAAAAAB9Yw/gtg-Q74JniY/s72-c/DSC_0259.jpg)
WANAWAKE MUFINDI WAMWANGUKIA ,MWENYEKITI WA UWT MUFINDI MARCELINA MKINI UBUNGE JIMBO LA MUFINDI KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-u65NsD7QSYA/VWnTY5w_fEI/AAAAAAAB9Yw/gtg-Q74JniY/s640/DSC_0259.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-g4xGryBONpI/VWnSVrzOw2I/AAAAAAAB9YQ/2P4jJNZnBx8/s640/DSC_0245.jpg)
WAKATI joto la uchaguzi mkuu likiendelea kushika kasi ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) kwa wanachama wake kujitokeza kutia nia ya kuwania urais...
10 years ago
Habarileo19 Aug
Wastaafu kukopeshwa
BENKI ya Posta Tanzania kwa kushirikiana na Mfuko wa Pensheni wa LAPF, wamezindua mpango maalumu wa kutoa mikopo kwa wastaafu.
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Wastaafu wamteka JK
RAIS Jakaya Kikwete amehujumiwa na viongozi wakuu wastaafu waliomlazimisha kuachana na msimamo wa muundo wa muungano wa serikali tatu na kukumbatia serikali mbili zilizopendekezwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Taarifa...