Wanamichezo wamwangukia Magufuli
Wadau wa michezo wamemtaka Rais Dk John Magufuli kuiangalia sekta ya michezo na burudani kama alivyosema wakati wa kampeni ili kuleta maendeleo ya kweli kwa wanamichezo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo01 Nov
TASWA yampongeza Magufuli, wanamichezo
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini (TASWA), kimempongeza Dk John Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Tanzania. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Taswa, Juma Pinto ilieleza kuwa chama hicho kina imani kubwa na Dk Magufuli na kumuahidi ushirikiano wa kutosha katika kutekeleza majukumu yake.
9 years ago
Habarileo11 Dec
Magufuli amkabidhi Nape wanamichezo, wasanii
RAIS John Magufuli amemteua Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo. Wakati wa kampeni zake za urais, Rais Magufuli mara kadhaa alikaririwa akisema atakuwa mstari wa mbele kuwasaidia wanamichezo na wasanii katika masuala mbalimbali wakati wa utawala wake.
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Wastaafu Moro wamwangukia JK
CHAMA cha Wafanyakazi wastaafu Mkoa wa Morogoro (Chawawamo), kimemuomba Rais Jakaya Kikwete kutowatelekeza kwa kuhitimisha uongozi wake kwa kuboresha sheria ya wastaafu ili wanufaike nayo kwa ongezeko la pensheni za...
10 years ago
Mwananchi18 Jul
Wazee wa kimila sasa wamwangukia Lowassa
11 years ago
Dewji Blog09 Jul
Bodaboda wamwangukia Mkuu wa Mkoa wa Dar
Baadhi ya viongozi na wanachama wa bodaboda wakiwa katika mazungumzo na wanahabari (hawapo pichani).
Na Mwandishi wetu.
Kamati maalum ya madereva Bodaboda Mkoa wa Dar es Salaam, wamemtaka mkuu wa mkoa Saidi Meck Sadiki kusitisha agizo la vyombo hivyo kutoingia katikati ya jiji (Central Business District CBD).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, katibu wa kamati hiyo Daudi Laurian, alisema kuwa mkuu wa mkoa alitoa agizo hilo bila kuwashirikisha kwa kuwapa taarifa ...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Wadau wamwangukia mratibu Kombe la Muungano Mufindi
WADAU wa michezo wamemwomba Mratibu wa Kombe la Muungano Mufindi, Daud Yassin, kufikiria zaidi uamuzi wake wa kustaafu kuandaa mashindano hayo na kuongeza muda zaidi wa kuratibu kwa lengo ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-u65NsD7QSYA/VWnTY5w_fEI/AAAAAAAB9Yw/gtg-Q74JniY/s72-c/DSC_0259.jpg)
WANAWAKE MUFINDI WAMWANGUKIA ,MWENYEKITI WA UWT MUFINDI MARCELINA MKINI UBUNGE JIMBO LA MUFINDI KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-u65NsD7QSYA/VWnTY5w_fEI/AAAAAAAB9Yw/gtg-Q74JniY/s640/DSC_0259.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-g4xGryBONpI/VWnSVrzOw2I/AAAAAAAB9YQ/2P4jJNZnBx8/s640/DSC_0245.jpg)
WAKATI joto la uchaguzi mkuu likiendelea kushika kasi ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) kwa wanachama wake kujitokeza kutia nia ya kuwania urais...
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Wanawake Mufindi wamwangukia , Mwenyekiti wa UWT Mufindi Marcelina Mkini ubunge jimbo la Mufindi kusini
![](http://2.bp.blogspot.com/-u65NsD7QSYA/VWnTY5w_fEI/AAAAAAAB9Yw/gtg-Q74JniY/s640/DSC_0259.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-g4xGryBONpI/VWnSVrzOw2I/AAAAAAAB9YQ/2P4jJNZnBx8/s640/DSC_0245.jpg)
Na MatukiodaimaBLOG
WAKATI joto la uchaguzi mkuu likiendelea kushika kasi ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) kwa wanachama wake kujitokeza kutia...
10 years ago
Mwananchi16 Jul
Wanamichezo wajitosa siasa