Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASTARA: WANASIASA WANATUTUMIA KAMA BIG G TU

Hamida Hassan
Staa wa filamu za Kibongo Wastara Juma, ameibuka na kusema kuwa wanasiasa wanawatumia wasanii wakiwa na shida zao lakini wakishapata uongozi huwasahau na kuwaona ni wasumbufu pale wanapohitaji msaada. Staa wa filamu za Kibongo Wastara Juma. Akipiga stori na Ijumaa hivi karibuni, Wastara alisema kuwa kwa sasa wao watakuwa lulu kwa wanasiasa na kutumiwa ipasavyo lakini baada ya mchakato wa uchaguzi kuisha wataonwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Wastara: Cheka Kinafiki Kama Ulienae Mnafiki!

Mrembo na mwigizaji wa filamu, Wastara Juma alifunguka mtandaoni kama ifuatavyo;

"Siku zote napenda kusmile hata kama nina magumu napitia, siku zote moyo wangu baridi upoza machngu ninayopewa na ninayotwikwa na kulazimishwa kuumizwa hata kama staki lakini tabasamu moyo wangu uliyopoa sura yangu ya upole isiyo na hatia ndio imekuwa fimbo ya kuchapwa kwa kuamini nina moyo wa kusahau mabaya na mwepesi wa kusamehe".

"Kweli niko hivyo lakini nikikusamehe kwa mabaya uliyonitendea auwezi kuwa na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wastara: Siwahi Kuona Kiongozi Kama Steve Nyerere

Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amempongeza na kumsifu aliyekuwa mwenyekiti wa klabu ya Bongo Movies Unity, Steven Mengere 'Stive Nyerere' kwa kumuelezea kuwa ni kiongozi anayeweka wajali  na kuwafikiria anaowaongoza.

Wastara alieleza hayo mtandaoni mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu ya Steve Nyerere akiwa kwenye kaburi la marehemu Adam Kumbiana.

“Hongera kaka kwa kikubwa ulichokifanya maneno yasikuludishe nyuma ukiona unasemwa sana ujue umewashika sijawahi kuona kiongizi wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray: Wasanii Tusitumike Kama ‘Big G’

Staa wa Bongo Movies, Vicent Kigosi amewatahadhalisha wasanii wenzake kuwa wasitumike kwenye kampeni za uchaguzi za mwaka huu bila kuangalia nani hasa atakaesaidia tasnia ya sanaa.

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa instagram, Ray aliandika

Wasanii tuwe makini sana na campaign za siasa za mwaka huu tusitumike kama bigijii watutafune alafu watuteme, tuwe makini kumsapoti mgombea atakayesaidia tasnia ili maisha yetu yasogee hata kumi mbele, si kwa kudaganywa na pesa. Utabaki kuwa...

 

5 years ago

Michuzi

TAASISI YA AMANI TANZANIA YAWATAKA WANASIASA KUACHA KUTUMIA JANGA LA CORONA KAMA MTAJI WA KISIASA, WAUNGA MKONO HOTUBA YA RAIS MAGUFULI

 Mwenyekiti wa Taasisi ya Amani Tanzania Sadiki  Godigodi(kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari leo Mei 20 jijini Dar es Salaam wakati akielezea taasisi hiyo inavyomuunga mkono Rais Dk.John Magufuli katika mapambano dhidi ya janga la Corona.Katikati ni Mkurugenzi wa Siasa na Dini wa taasisi hiyo Alhaji Dk.Sule Seif na kushoto ni Mshauri wa taasisi hiyo Issa Mkalinga.
 Mshauri wa Taasisi ya Amani Tanzania Issa Mkalinga (kushoto) akisisitiza jambo wakati wa mkutano huo.Wengine ni...

 

10 years ago

Bongo5

Big Brother Africa ‘Hot Shots’ kufanyika Uingereza kwenye nyumba ya ‘Big Brother ya UK’?

Kuna habari mpya zinazosema kuwa kuna uwezekano shindano la Big Brother Africa ‘Hot Shots’ likahamishiwa jijini London, Uingereza baada ya nyumba ya Afrika Kusini iliyokuwa imeandaliwa kwaajili ya msimu wa tisa kuungua wiki iliyopita na kupelekea uzinduzi uliokuwa umepangwa kufanyika Jumapili iliyopita (September 7) kuahirishwa. Taarifa hiyo ambayo bado haijathibitishwa imetolewa kupitia ukurasa rasmi wa […]

 

10 years ago

BBC

Big walls can cause big problems

The problems that come from building mega walls

 

5 years ago

The Next Web

New research sheds light on the big bang that was bigger than the Big Bang

New research sheds light on the big bang that was bigger than the Big Bang  The Next Web

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray: Napata Wasiwasi Kama Tunaweza Kumpata Rais Kama Kikwete

Napata kigugumizi na mgagasuko mkubwa sana ndani ya kilindi cha moyo wangu, kama tutaweza kumpata Rais atakaye tuthamini kama wewe baba yetu, Mh. Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Wewe ni kiongozi wa mfano wa kuigwa na hao watakaokupokea kijiti chako, nimeilewa sana hotuba yako siku ya leo (jana) hasa pale uliposema Bongo Fleva na Bongo Movie wameitangaza sana nchi yako ya Tanzania kimataifa na kusahau hata yale machungu unayoyapataga kwenye soka tutakukumbuka sana rais wetu

Vicent Kigosi “Ray”...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani