Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watakaowakamata magaidi kuzawadiwa Saudia

Utawala wa Saudia umetoa tangazo kwamba utatoa dola milioni mbili za Marekani kama zawadi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Atakayekamata CD ‘feki’ kuzawadiwa

KAMPUNI ya Hamadombe Distributor inayomiliki kundi la sanaa la Hamadombe, imetangaza kutoa dau nono kwa yeyote atakayemkamata mtengenezaji ama muuzaji wa CD bandia za filamu ya ‘Yote ni Baba’ iliyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wateja Fastjet waendelea kuzawadiwa

SHIRIKA la Ndege ya Fastjet limeendelea kuwazawadia wateja wake zawadi ya tiketi kwa ajili ya watu wawili na kulala katika hoteli yenye mandhari nzuri iliyoko katika ufukwe wa Bahari ya...

 

11 years ago

Habarileo

Watakaowasaidia wajawazito kujifungua salama kuzawadiwa

HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilala, imetangaza donge nono kwa kuwazawadia fedha za motisha watoa huduma kwenye zahanati za Manispaa hiyo watakaowasaidia wajawazito kujifungua salama.

 

10 years ago

GPL

MWANA DAR LIVE ATAKAYEFUNIKA CHEKECHA CHEKETUA KUZAWADIWA

Andrew Carlos/Risasi
IKIWA imebaki wiki na siku kadhaa kufika Aprili 5, mwaka huu (Sikukuu ya Pasaka) ambapo ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar kutakuwa na bonge moja la shoo kutoka kwa Ali Kiba ‘Mwana Dar Live’ kizuri ni kwamba atakayefunika kwa kucheza Wimbo wa Chekecha Cheketua kuzawadiwa. Ali kiba. Akizungumza na Mikito Nusunusu, mratibu wa burudani katika ukumbi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Washindi 100 kuzawadiwa Samsung Gear S, kifaa pacha cha Galaxy Note 4 mpya

samsung-galaxy-note-4.

 Kampuni ya vifaa vya kieletroniki ya Samsung imezindua kampeni ya kuweka oda kwa bidhaa yake mpya ya Galaxy Note 4 nchini Tanzania, ikiwa ni sehemu ya kushamirisha uzinduzi mkubwa utakofuatia wa bidhaa inayosubiriwa kwa shauku ya Samsung Galaxy Note 4.  Kampeni hiyo itakayoendeshwa kuanzia tarehe 31 Oktoba hadi 14 Novemba 2014, inadhamiria kuwapa wateja wake wa kudumu nafasi ya kujipatia bidhaa hiyo ya kisasa zaidi katika familia ya simu za kiganjani za Note.  Hali kadhalika kampeni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Facebook yadaiwa kuwaficha magaidi

Bunge la Uingereza limedai kuwa kampuni ya facebook inawaficha magaidi,swala lililopingwa na kampuni hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Msikiti Moro wawakana ‘magaidi

Wakati msikiti wa Sunni uliopo Kidatu wilayani Kilombero ukimkana Hamadi Makwendo aliiyeuawa katika tukio la kuwakamata watu 10 wanaotuhumiwa kuhusika na vitendo vya ugaidi, dereva wa bajaji iliyowabeba baadhi ya watuhumiwa hao, amemuelezea mtu huyo kuwa alikuwa hana shughuli za kikazi zaidi ya kucheza karate.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mazito yaibuka‘magaidi’ Kidatu



 Imamu awakana Makwendo na wenzake
NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
DEREVA  wa bajaji, Alphonce Maurus, aliyebeba watu wanaodhaniwa kuwa watuhumiwa wa ugaidi, Kidatu wilayani Kilombero, ameweka hadharani namna alivyomfahamu mmoja wao.
Amesema mtuhumiwa ambaye aliuawa na wananchi baada ya kumjeruhi polisi, Hamad Makwendo, alijihusisha na mchezo wa kareti na masuala ya dini ya Kiislamu.
 Dereva huyo huyo aliwaeleza waandishi wa habari waliofuatilia taarifa za kina za tukio hilo jana kwamba Makwendo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani