Watakaowakamata magaidi kuzawadiwa Saudia
Utawala wa Saudia umetoa tangazo kwamba utatoa dola milioni mbili za Marekani kama zawadi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Atakayekamata CD ‘feki’ kuzawadiwa
KAMPUNI ya Hamadombe Distributor inayomiliki kundi la sanaa la Hamadombe, imetangaza kutoa dau nono kwa yeyote atakayemkamata mtengenezaji ama muuzaji wa CD bandia za filamu ya ‘Yote ni Baba’ iliyo...
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Wateja Fastjet waendelea kuzawadiwa
SHIRIKA la Ndege ya Fastjet limeendelea kuwazawadia wateja wake zawadi ya tiketi kwa ajili ya watu wawili na kulala katika hoteli yenye mandhari nzuri iliyoko katika ufukwe wa Bahari ya...
11 years ago
Habarileo26 May
Watakaowasaidia wajawazito kujifungua salama kuzawadiwa
HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilala, imetangaza donge nono kwa kuwazawadia fedha za motisha watoa huduma kwenye zahanati za Manispaa hiyo watakaowasaidia wajawazito kujifungua salama.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLraisz-Nhk2fC-1J0mAJzygAaZQWXTT15vOHzRw1SfcyL4hm7ph*yuhKHwEIVBj27BBkdWnxZx*YjaJHFure*JA/kibaaaaaaa.jpg)
MWANA DAR LIVE ATAKAYEFUNIKA CHEKECHA CHEKETUA KUZAWADIWA
10 years ago
Dewji Blog31 Oct
Washindi 100 kuzawadiwa Samsung Gear S, kifaa pacha cha Galaxy Note 4 mpya
Kampuni ya vifaa vya kieletroniki ya Samsung imezindua kampeni ya kuweka oda kwa bidhaa yake mpya ya Galaxy Note 4 nchini Tanzania, ikiwa ni sehemu ya kushamirisha uzinduzi mkubwa utakofuatia wa bidhaa inayosubiriwa kwa shauku ya Samsung Galaxy Note 4. Kampeni hiyo itakayoendeshwa kuanzia tarehe 31 Oktoba hadi 14 Novemba 2014, inadhamiria kuwapa wateja wake wa kudumu nafasi ya kujipatia bidhaa hiyo ya kisasa zaidi katika familia ya simu za kiganjani za Note. Hali kadhalika kampeni...
10 years ago
BBCSwahili29 Nov
Facebook yadaiwa kuwaficha magaidi
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Msikiti Moro wawakana ‘magaidi
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Apr
Mazito yaibuka‘magaidi’ Kidatu
Imamu awakana Makwendo na wenzake
NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
DEREVA wa bajaji, Alphonce Maurus, aliyebeba watu wanaodhaniwa kuwa watuhumiwa wa ugaidi, Kidatu wilayani Kilombero, ameweka hadharani namna alivyomfahamu mmoja wao.
Amesema mtuhumiwa ambaye aliuawa na wananchi baada ya kumjeruhi polisi, Hamad Makwendo, alijihusisha na mchezo wa kareti na masuala ya dini ya Kiislamu.
Dereva huyo huyo aliwaeleza waandishi wa habari waliofuatilia taarifa za kina za tukio hilo jana kwamba Makwendo...