Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msikiti Moro wawakana ‘magaidi

Wakati msikiti wa Sunni uliopo Kidatu wilayani Kilombero ukimkana Hamadi Makwendo aliiyeuawa katika tukio la kuwakamata watu 10 wanaotuhumiwa kuhusika na vitendo vya ugaidi, dereva wa bajaji iliyowabeba baadhi ya watuhumiwa hao, amemuelezea mtu huyo kuwa alikuwa hana shughuli za kikazi zaidi ya kucheza karate.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Jinsi ‘magaidi’ kumi walivyonaswa Moro

Na Waandishi Wetu

SIKU moja baada ya Jeshi la Polisi kukamata watu tisa waliokuwa na milipuko, sare za jeshi na silaha za jadi msikitini mkoani Morogoro, imebainika kuwa walikamatwa saa tatu kabla ya kutoka kwenye eneo hilo na kwenda kutekeleza azma yao.
Ingawa haijajulikana kuwa watu hao walikuwa waende wapi, habari hizo zimebainisha kwamba walipanga kuondoka saa 11 alfajiri, lakini polisi wakawakamata saa nane usiku.
Mwandishi wa gazeti hili alivyofika kwenye Kijiji cha Chikago, Kata ya...

 

9 years ago

Bongo5

Video mpya ya Belle 9 ‘Burger Movie Selfie’ iliyoshutiwa Moro na director wa Moro kutambulishwa Trace Urban wiki Ijayo

Belle99

Kabla mwaka 2015 haujaisha, Belle 9 amefanikisha kupiga hatua nyingine ya mafanikio ya muziki wake, ambapo wiki ijayo video ya wimbo wake mpya uitwao “Burger Movie Selfie” itaanza kuoneshwa kwa mara ya kwanza na Trace Urban wiki ijayo.

Belle99

What's up Trace Family! Watch "Burger Movie Selfie" by @bellenine starting next week on @TRACE_Urban channel #325 on @DStv_Kenya

— TRACE East Africa (@TRACEEastAfrica) December 2, 2015

Hii itakuwa ni video ya pili ya Belle 9 kwa mwaka huu na toka ameanza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Facebook yadaiwa kuwaficha magaidi

Bunge la Uingereza limedai kuwa kampuni ya facebook inawaficha magaidi,swala lililopingwa na kampuni hiyo.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mazito yaibuka‘magaidi’ Kidatu



 Imamu awakana Makwendo na wenzake
NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
DEREVA  wa bajaji, Alphonce Maurus, aliyebeba watu wanaodhaniwa kuwa watuhumiwa wa ugaidi, Kidatu wilayani Kilombero, ameweka hadharani namna alivyomfahamu mmoja wao.
Amesema mtuhumiwa ambaye aliuawa na wananchi baada ya kumjeruhi polisi, Hamad Makwendo, alijihusisha na mchezo wa kareti na masuala ya dini ya Kiislamu.
 Dereva huyo huyo aliwaeleza waandishi wa habari waliofuatilia taarifa za kina za tukio hilo jana kwamba Makwendo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Iran yakana uhusiano na magaidi

Serikali ya Iran imekana kuwa na uhusiano wowote na wanaume wawili waliokamatwa wakikisiwa kupanga mashambulizi nchini kenya

 

10 years ago

BBCSwahili

Magaidi washambulia hoteli,Libya

Watu wenye silaha wamevamia Hoteli ya hadhi ya juu mjini Tripoli nchini Libya na kisha kutega mabomu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi wapambana na magaidi Tunisia

Vikosi vya usalama vimeizingira nyumba ambapo afisa wa polisi na washukiwa 2 wanaotuhumiwa kuwa wapiganaji wa kiislamu waliuawa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Magaidi wajifaidisha na uwindaji haramu

Magaidi na wanamgambo wamekuwa wakifaidi kutokana na uwindaji haramu pamoja na uharibifu wa mazingira

 

10 years ago

BBCSwahili

Magaidi kuchukuliwa hatua Ufaransa

Waendesha mashtaka nchini Ufaransa watakiwa kuchukua hatua dhidi ya Magaidi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani