Watanzania liombeeni Taifa - Rais Magufuli
Rais John Magufuli amewataka Watanzania kuendelea kuliombea Taifa na wao binafsi ili waishi kwa amani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PwGX7BFrTek/XsrTY90r_yI/AAAAAAALrcI/LARPgY95aNUgSwnc2cRHmsCviyrkEKURgCLcBGAsYHQ/s72-c/62008664_908008829540519_65130529049018368_n.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI AWASHUKURU WATANZANIA KWA KULIOMBEA TAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PwGX7BFrTek/XsrTY90r_yI/AAAAAAALrcI/LARPgY95aNUgSwnc2cRHmsCviyrkEKURgCLcBGAsYHQ/s640/62008664_908008829540519_65130529049018368_n.jpg)
Hayo yamesemwa leo (Jumapili, Mei 24, 2020) na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, wakati akizungumza na waumini wa dini ya kiislam mara baada ya kumaliza kuswali sala ya Eid El Fitri katika Msikiti wa Gaddafi, jijini Dodoma. Pia Rais Dkt. Magufuli amewashukuru...
5 years ago
CCM Blog24 May
PROF. KABUDI: KAULI YA RAIS DK. MAGUFULI KUHIMIZA WATANZANIA KUSALI ILI TAIFA LIONDOKANE NA COVID 19 HAIKUWA IKIMAANISHA KUPUUZA KANUNI ZA KISAYASI KATIKA KUKABILIANA NA UGONJWA HUO
Akitoa salam za Shukrani kwa Mungu na watanzania kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ikiwa ni hitimisho la siku tatu za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-o5zvm4xHMEU/XtJDhi5lBBI/AAAAAAALsFI/65V6FtrA4s4npslZ8U4bQ1y9rxsjcOvUgCLcBGAsYHQ/s72-c/6AAA-1-768x609.jpg)
Rais Magufuli Awaasa Watanzania kutunza chakula
![](https://1.bp.blogspot.com/-o5zvm4xHMEU/XtJDhi5lBBI/AAAAAAALsFI/65V6FtrA4s4npslZ8U4bQ1y9rxsjcOvUgCLcBGAsYHQ/s400/6AAA-1-768x609.jpg)
Akihutubia wananchi leo Dodoma katika uzinduzi wa majengo ya ofisi za ikulu Chamwino, Rais Magufuli amesema watanzania wasikubali kulanguliwa mazao yao waliyozalisha kwa wingi mwaka huu.
" Nawaasa watanzania mtunze chakula na muuze kwa bei ya juu mazao mliyostawisha kwa wingi mwaka huu. Nawaambia watwange...
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Rais Magufuli aongoza Watanzania kufanya usafi
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIS Dk. John Magufuli jana aliwaongoza Watanzania kote nchini kutumia siku ya maadhimisho ya sherehe za Uhuru wa Tanganyika kufanya usafi katika maeneo ya soko la Feri jijini Dar es Salaam.
Akiwahutubia wananchi wakiwamo wavuvi alioshirikiana nao katika kazi ya kufanya usafi, Dk. Magufuli aliwashukuru kwa kujitokeza na kusema kwamba hiyo ni chachu kwa wananchi wengine kujitolea kufanya usafi katika maeneo wanayoishi.
“Ni aibu kwa nchi yetu ya Tanzania...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-_1ZVY5iB9CA/Xtyn5oDmW5I/AAAAAAAC6_s/Jy55OAPnHoob8JHXx3TiJ0S61jEoZ8d3ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AWASHUKURU VIONGOZI WA DINI NA WATANZANIA WOTE
![](https://1.bp.blogspot.com/-_1ZVY5iB9CA/Xtyn5oDmW5I/AAAAAAAC6_s/Jy55OAPnHoob8JHXx3TiJ0S61jEoZ8d3ACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Ametoa shukrani hizo katika Misa takatifu kwenye Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Imaculata Chamwino Dodoma
Akiwa Kanisani hapo, Rais Magufuli ameendesha harambee ya kuchangia upanuzi wa Kanisa hilo na kufanikiwa kuchangisha zaidi ya Tsh. Mil 17 ikiwemo Tsh. Mil 10 aliyochangia yeye mwenyewe na mifuko 76 ya saruji, ametaka upanuzi wa kanisa uanze kesho.
![](https://1.bp.blogspot.com/-5kCfZzkJ2so/Xtyn5odtjtI/AAAAAAAC6_o/0yqx2kCtkTgsTx7DoO8yhOc0foS10qESgCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VfUYYGOb59w/XslT6I53CNI/AAAAAAALrX8/K_wtCXYD3zYJusL_HX_pDYAuBv6ckqH4gCLcBGAsYHQ/s72-c/1-22-768x576.jpg)
OLE SENDEKA AWATAKA WATANZANIA KUMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VfUYYGOb59w/XslT6I53CNI/AAAAAAALrX8/K_wtCXYD3zYJusL_HX_pDYAuBv6ckqH4gCLcBGAsYHQ/s640/1-22-768x576.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka, (kulia) akishuhudia mazishi ya mdogo wake Sumleck Ole Sendeka ambaye alikuwa Katibu mwenezi wa CCM Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, yaliyofanyika nyumbani kwao Losokonoi Kata ya Naberera.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-14-1024x768.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka (kulia) akipokea rambirambi kutoka kwa Katibu wa CCM Mkoani Manyara, Naomi Kapambala kwenye msiba wa mdogo wake Sumleck Ole Sendeka ambaye alikuwa Katibu mwenezi wa CCM wilayani Simanjiro aliyezikwa nyumbani...
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Kauli ya Rais wa Tanzania, John Magufuli inawaondolea hofu watanzania?
9 years ago
Habarileo30 Dec
Rais Magufuli kuongoza mkesha kuombea taifa
RAIS John Magufuli kesho anatarajiwa kuongoza maelfu ya Watanzania katika Mkesha Mkubwa Kitaifa wa Kuombea Amani ya Nchi. Mkesha huo utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na mikoa mingine zaidi ya 10 ikiwa ni pamoja na Zanzibar, utawashirikisha watu wote bila kujali itikadi za kisiasa, dini wala kabila lengo likiwa ni kumshukuru Mungu kwa kuivusha nchi katika Uchaguzi Mkuu kwa amani na utulivu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jRy8XwWsMMQ/Xq6IKbfL10I/AAAAAAALo4g/INcd4xtG2YAzmX5k7HaxbXiNp9zy5BYsgCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
RAIS MAGUFULI:WATANZANIA OONDOENI HOFU KUHUSU CORONA, ENDELEENI KUCHAPA KAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-jRy8XwWsMMQ/Xq6IKbfL10I/AAAAAAALo4g/INcd4xtG2YAzmX5k7HaxbXiNp9zy5BYsgCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
*Awahakikishia watumishi wote wa umma kuendelea kulipwa mishahara yao
RAIS Dk.John Magufuli tangu tanga la Coroa limeibuka kila nchi inao utaratibu wake wa kushughulika na tatizo hilo na kwa Watanzania hakuna sababu ya kuwa na hofu yoyote na waendelee kuchapa kazi.
Ametumia nafasi hiyo kuwahakikisha watumishi wote wa umma wakiwemo walimu ambao ndio wengi zaidi kuwa Serikali itaendelea kuwalipa mshahara hadi shule zitakapofunguliwa ingawa kuna nchi nyingine zimeshindwa kulipa mishahara...