Rais Magufuli Awaasa Watanzania kutunza chakula
![](https://1.bp.blogspot.com/-o5zvm4xHMEU/XtJDhi5lBBI/AAAAAAALsFI/65V6FtrA4s4npslZ8U4bQ1y9rxsjcOvUgCLcBGAsYHQ/s72-c/6AAA-1-768x609.jpg)
Rais John Magufuli amewaasa watanzania kutunza chakula kwani kutakuwa na uhitaji mkubwa kwa nchi za Afrika na mataifa mengine yalijifungia bila kulima sababu ya virus vinavyosababisha Corona.
Akihutubia wananchi leo Dodoma katika uzinduzi wa majengo ya ofisi za ikulu Chamwino, Rais Magufuli amesema watanzania wasikubali kulanguliwa mazao yao waliyozalisha kwa wingi mwaka huu.
" Nawaasa watanzania mtunze chakula na muuze kwa bei ya juu mazao mliyostawisha kwa wingi mwaka huu. Nawaambia watwange...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi26 Dec
Watanzania liombeeni Taifa - Rais Magufuli
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Rais Magufuli aongoza Watanzania kufanya usafi
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIS Dk. John Magufuli jana aliwaongoza Watanzania kote nchini kutumia siku ya maadhimisho ya sherehe za Uhuru wa Tanganyika kufanya usafi katika maeneo ya soko la Feri jijini Dar es Salaam.
Akiwahutubia wananchi wakiwamo wavuvi alioshirikiana nao katika kazi ya kufanya usafi, Dk. Magufuli aliwashukuru kwa kujitokeza na kusema kwamba hiyo ni chachu kwa wananchi wengine kujitolea kufanya usafi katika maeneo wanayoishi.
“Ni aibu kwa nchi yetu ya Tanzania...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-R5kWAeNMFfU/Ux4A--JfeiI/AAAAAAAFSy8/6oYjoP8mWhQ/s72-c/mc1.jpg)
Serikali yawaasa watanzania kuthamini na kutunza viwanja vya michezo
![](http://3.bp.blogspot.com/-R5kWAeNMFfU/Ux4A--JfeiI/AAAAAAAFSy8/6oYjoP8mWhQ/s1600/mc1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5TedMsx01Hs/Ux4A_rJE6cI/AAAAAAAFSzI/M5EnrKL9Fsw/s1600/mc3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1IJzxYuXJ1Y/Ux4A_bemEzI/AAAAAAAFSzA/c2ob1aNezE0/s1600/mc4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HPL5vosY_ac/VBFW5Z5oQEI/AAAAAAAGixY/XRROZF9d91o/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Watanzania waaswa kutunza vipato vyao wawe na maisha bora
![](http://4.bp.blogspot.com/-HPL5vosY_ac/VBFW5Z5oQEI/AAAAAAAGixY/XRROZF9d91o/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-_1ZVY5iB9CA/Xtyn5oDmW5I/AAAAAAAC6_s/Jy55OAPnHoob8JHXx3TiJ0S61jEoZ8d3ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AWASHUKURU VIONGOZI WA DINI NA WATANZANIA WOTE
![](https://1.bp.blogspot.com/-_1ZVY5iB9CA/Xtyn5oDmW5I/AAAAAAAC6_s/Jy55OAPnHoob8JHXx3TiJ0S61jEoZ8d3ACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Ametoa shukrani hizo katika Misa takatifu kwenye Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Imaculata Chamwino Dodoma
Akiwa Kanisani hapo, Rais Magufuli ameendesha harambee ya kuchangia upanuzi wa Kanisa hilo na kufanikiwa kuchangisha zaidi ya Tsh. Mil 17 ikiwemo Tsh. Mil 10 aliyochangia yeye mwenyewe na mifuko 76 ya saruji, ametaka upanuzi wa kanisa uanze kesho.
![](https://1.bp.blogspot.com/-5kCfZzkJ2so/Xtyn5odtjtI/AAAAAAAC6_o/0yqx2kCtkTgsTx7DoO8yhOc0foS10qESgCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TiWw7YbgAe4/VmnamAOXIzI/AAAAAAAILjs/c1FcayDh9yE/s72-c/0D6A2900.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi awaasa watanzania kuzingatia Maadili katika Utumishi
![](http://1.bp.blogspot.com/-TiWw7YbgAe4/VmnamAOXIzI/AAAAAAAILjs/c1FcayDh9yE/s400/0D6A2900.jpg)
Watanzania wameaswa kuzingatia Maadili ya Kitaifa ambayo ni kiini cha kuboresha na kusimamia maadili ya viongozi, watumishi wa Umma na watu wanaojishughulisha na sekta binafsi nchini ili kuendelea kuimarisha utendaji kazi na kupambana na uovu katika jamii.
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es salaam na Mhe. Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika maadhimisho hayo ambapo alisema kuwa maadili ya Taifa ni moja ya tunu muhimu...